Friday , 3 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Bilioni 4.2 kumaliza tatizo Daraja la Msadya, Diwani apongeza

  SERIKALI kupitia Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa kiasi Sh.4.2 bilioni ili kujenga daraja jipya la Msadya lililopo kata ya...

Habari Mchanganyiko

Milioni 30 kuhifadhi misitu ya vijiji Morogoro

  HALMASHAURI ya Wilaya ya Morogoro Vijijini, mkoani Morogoro nchini Tanzania imesema katika mwaka wa fedha 2022/2023 imetenga Sh.milioni 30 kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

Bosi Tarura aagiza ujenzi daraja Kaseke, 1.5 milioni zirejeshwe

  MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amemuagiza meneja wa TARURA Mkoa wa Katavi, Mhandisi Innocent...

Habari Mchanganyiko

Operesheni Samia yawapatia vijana 45,047 mafunzo JKT

  SERIKALI nchini Tanzania imesema imefanikiwa kuwapatia vijana 45,047 mafunzo ya ukakamavu, stadi za kazi, kuwajengea uzalendo na umoja wa kitaifa katika operesheni...

HabariHabari Mchanganyiko

Marekebisho sera ya elimu, mitaala kukamilika Desemba 2022

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolph Mkenda, amesema marekebisho ya sera ya elimu na mitaala, yatakamilika Desemba 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

HabariHabari Mchanganyiko

Kigwangalla ataka mabadiliko mgawanyo wa ajira

MBUNGE wa Nzega Vijijini, Dk. Hamisi Kigwangalla (CCM), ameishauri Serikali ibadili mfumo wa utoaji ajira za watumishi wa umma, akitaka iajiri watu kutoka...

Habari Mchanganyiko

Wizara yakusanya mapato kwa asilimia 1,288.9

  WIZARA ya ulinzi nchini Tanzania imekusanya maduhuli yake kwa asilimia 1,288.95 baada ya kukusanya kiasi cha Sh 15.4 milioni kati ya Sh...

HabariHabari Mchanganyiko

DC Nzega: Sh bilioni 24.4 zimezunguka kwa wazawa

MKUU wa Wilaya ya Nzega, ACP Advera Bulimba amesema kiasi cha Sh bilioni 24.4 ambacho fedha za mapambano ya Uviko-19 zilizopelekwa kutekeleza miradi...

Habari Mchanganyiko

Tamwa yaiomba serikali kutunga sera ya familia

  CHAMA Cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini Tanzania (Tamwa), kimeishauri serikali kuanzisha sera maalum ya familia ili kukabiliana na changamoto zinazoibuka kwenye...

HabariHabari Mchanganyiko

ACT Wazalendo walia na tozo, kodi za mazao

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema kodi na tozo za mazao zinachangia kurejesha nyuma maendeleo ya sekta ya kilimo na wakulima kwa ujumla. Anaripoti Rhoda...

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Mazungumzo KKKT Konde yaahirisha kesi hadi 31 Mei

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imeahirisha kesi namba 3/2022 na kesi namba 14/2022 inayohusu mgogoro wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...

Habari Mchanganyiko

Vijiji vyote Tabora kufikiwa na umeme ifikapo Desemba

  WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba, amesema ifikapo Desemba mwaka huu vijiji vyote vya mkoa wa Tabora ambavyo havijafikiwa na umeme vitakuwa vimeunganishwa....

Habari Mchanganyiko

Ujenzi Daraja la Ifume, Tarura Tanganyika yapewa siku 30

  MTENDAJI Mkuu wa Mamlaka ya Barabara Vijijini na Mijini (Tarura), Mhandisi Victor Seff ametoa mwezi mmoja kwa Tarura Wilaya ya Tanganyika Mkoa...

Habari Mchanganyiko

‘Panya Road’ wafikishwa kortini, wasomewa mashitaka sita

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewafikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, watuhumiwa 25 wa uhalifu wa kutumia...

Habari Mchanganyiko

DC Bukombe ataka wananchi kuchangamkia fursa hifadhi ya Taifa Kigosi

MKUU wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, Saidi Nkumba amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuitangaza Hifadhi ya Taifa Kigosi iliyopo wilayani...

HabariHabari Mchanganyiko

Waziri Mulamula asaini kitabu cha maombolezo U.A.E

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula leo tarehe 16, Mei, 2022 amesaini kitabu cha maombolezo katika...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Waziri Simai aimwagia sifa NMB kukuza utalii Z’bar

WAZIRI wa Utalii na Mambo ya Kale Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Simai Mohammed Said amevutiwa na kasi ya Benki ya NMB kushiriki kuibua...

Habari Mchanganyiko

Wanahabari watakiwa kuweka kando taarifa za kusifu wahalifu, kuzua taharuki

VYOMBO vya habari nchini Tanzania, vimetakiwa kuacha kutoa taarifa za kihalifu kwa njia ambazo zinawapa sifa wahalifu, kuumiza wahanga na kuzuia taharuki kwa...

Habari Mchanganyiko

Watu weusi wanaongoza kwa upweke duniani: Utafiti

Watu weusi wana uwezekano mkubwa wa kujisikia upweke kuliko watu wengine kwa ujumla, kwa mujibu wa utafiti mpya. BBC imeripoti … (endelea). Takwimu...

Habari Mchanganyiko

Kasekenya awataka makandarasi kuwajibika kifikra

  NAIBU Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amewataka makandarasi, waajiri na wasimamizi wa mradi kuwa na ushirikiano mzuri ili kuwezesha miradi ya...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa habari afariki baada ya kujifungua

  CHAMA cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mbeya (MBPC) kimepata pigo baada ya kuondokewa na mwanachama wake wa muda mrefu, Hannerole Mrosso...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia awapa makavu wanaharakati “kwangu mimi hakuna kupambana”

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watetezi wa haki za binadamu waache harakati zenye lengo la kupambana na Serikali bali wafanye...

Habari Mchanganyiko

Mabalozi wamchambua Rais Samia

  MABALOZI wa nchi mbalimbali nchini Tanzania, wametumia sherehe za maadhimisho ya miaka 10 ya Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania...

Habari Mchanganyiko

THRDC yampa tuzo ya utetezi wa haki za binadamu Rais Samia

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), wamempa tuzo maalumu Rais Samia Suluhu Hassan, kufuatia mchango wake katika uimarishwaji wa...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wawa chachu uhifadhi wa misitu

  WANAWAKE wanaoishi katika jamii zenye uhifadhi na usimamizi shirikishi wa misitu wameonesha mabadiliko makubwa katika kusimamia na utumiaji wa rasilimali hizo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Bloomberg Media yazindua mafunzo uandishi habari za fedha Tanzania

TAASISI ya Bloomberg Media Initiative Africa (BMIA) imetangaza kuanza kwa awamu ya pili ya programu ya mafunzo ya uandishi wa habari za masuala...

Habari Mchanganyiko

Royal Tour kufufua hoteli za kitalii nchini

SERIKALI imesema katika kuhakikisha matokeo chanya ya Filamu ya Royal Tour yanaonekana wanahakikisha wanazungumza na wawekezaji na wadau wa ya sekta ya utalii...

Habari Mchanganyiko

Panya Road 23 wadakwa, wadai walifanya matukio kulipa kisasi

KAMANDA wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro, amesema wanawashikilia watuhumiwa 23 kwa tuhuma za unyang’anyi wa...

HabariHabari Mchanganyiko

Marekani yajitosa ujenzi bandari ya Bagamoyo

SERIKALI ya Marekani imeahidi kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, kama Tanzania itakubali kupokea msaada huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

GF Truck yawatangazia neema wakandarasi wadogo

  KAMPUNI ya GF Trucks & Equipmentís imepanga kuanza kuwakopesha vitendea kazi wakandarasi ili kuhakikisha wakandarasi wadogo na wakati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Wananchi kuamua hatma mapendekezo ya UN yaliyowekwa kiporo na Serikali

MAPENDEKEZO 65 ya uimarishaji haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa (UN), ambayo Serikali ya Tanzania ilikataa kuyatekeleza kwa sababu mbalimbali, yatafikishwa kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia azipa maagizo NGO’s

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) na Asasi za Kiraia nchini, kufanya utetezi wa haki za binadamu...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awapa tano wauguzi

RAIS Samia Suluhu Hassan amewatakia kheri wauguzi wote nchini katika kusherehekea siku ya wauguzi duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika ujumbe aliobandika...

HabariHabari Mchanganyiko

Mradi wa ‘VijanaNaAmani255’ wazinduliwa, Mzee Butiku awafunda

MWENYEKITI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku ametoa wito kwa vijana nchini kutokubali kudanganyika na kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani...

BiasharaHabari Mchanganyiko

STAMICO, ABSA wasaini mkataba mnono wa biashara ya makaa ya mawe

SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limesaini mkataba na Kampuni ya ABSA yenye makao yake nchini Swiss utakaoliwezesha shirika hilo kuiuzia kampuni hiyo...

Habari Mchanganyiko

Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano madawati ya jinsia

WANANCHI wametakiwa kutoa ushirikiano katika madawati ya kijinsia ya Jeshi la Polisi, utakaowezesha kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaita maoni maboresho rasimu ya mpango kazi haki za binadamu

  SERIKALI ya Tanzania, imewaita wadau wa Asasi za Kiraia kutoa maoni yao juu ya maboresho ya rasimu ya mpango kazi wa pili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kisena, wenzake 3 wafikishwa kizimbani na kusomewa mashtaka 33

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (UDART), Robert Kisena na wenzake watatu wamesomewa mashataka 15 kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

Habari Mchanganyiko

Viongozi DCPC wavuliwa madaraka, wachaguliwa wapya

MKUTANO Mkuu Maalum wa Chama cha Waandishi wa Habari Dar es Salaam (DCPC) nchini Tanzania, umewavua nyadhifa viongozi wake kwa kutotimiza ipasavyo wajibu...

Habari Mchanganyiko

Mwangalizi Baptist aitaka Serikali kubana matumizi

  MWANGALIZI wa Makanisani ya Baptist Kanda ya Kati, Antony Mlyashimba ametoa wito kwa serikali kupunguza matumizi ya anasa ili kukabiliana na hali...

HabariHabari Mchanganyiko

Waziri Mkuu awashukia waliotafuna fedha Sengerema

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa miezi miwili kwa watumishi 30 wa Halmashauri ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

RPC Tanga ataja chanzo ajali DC Korogwe

KAIMU Kamanda Polisi Mkoa wa Tanga, David Mwasimbo amesema chanzo cha ajali ya gari aliyopata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basila Mwanukuzi jana...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar yakamata 31 tuhuma ‘panya road’

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es limesema limefanikiwa kuwakamata watu 31 kwa tuhuma za unyang’anyi, kujeruhi na kupora maarufu kama...

Habari Mchanganyiko

CWT yakoshwa na utendaji wa Rais Samia

CHAMA cha walimu Tanzania (CWT) kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na namna inavyowajali watumishi nchini wakiwemo walimu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma… (endelea.)...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa aagiza Uhamiaji kuzuia Paspoti za wakandarasi MV Mwanza

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza kuzishikilia paspoti za wafanyakazi wa Kampuni ya Gas Entec Ship-building Engineering ya...

Habari Mchanganyiko

Kafulila atimua maofisa 5 ushirika, avunja uongozi AMCOS 335

MKUU wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulika amevunja Vyama vya Ushirika (AMCOS) 335 na kuwasimamisha kazi maofisa ushirika watano kwa kushindwa kutekeleza majukumu...

Habari Mchanganyiko

Mbivu, mbichi shauri la Kubenea, Makonda Mei 18

  MAHAKAMA ya Wilaya ya Kinondoni imepanga kutoa uamuzi tarehe 18 Mei 2022 juu ya maombi ya Mbunge wa zamani wa jimbo la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake waachiwa huru

MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamekata rufaa...

Habari Mchanganyiko

Aua mwanawe akidaiwa kung’oa karanga kwa njaa

  MTOTO aliyejulikana kwa jina la Tofa Simchimba (5) mkazi wa kijiji cha Chizumbi kata ya Ukwile wilayani Mbozi mkoani Songwe, anadaiwa kuuawa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yatangaza nafasi za kazi makarani, wasimamizi sensa

SERIKALI imetangaza nafasi za kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa ya mwaka 2022 itakayofanyika Agosti 23 mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...

error: Content is protected !!