SERIKALI kupitia Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa kiasi Sh.4.2 bilioni ili kujenga daraja jipya la Msadya lililopo kata ya...
By Mwandishi WetuMay 21, 2022HALMASHAURI ya Wilaya ya Morogoro Vijijini, mkoani Morogoro nchini Tanzania imesema katika mwaka wa fedha 2022/2023 imetenga Sh.milioni 30 kwa ajili ya...
By Seleman MsuyaMay 20, 2022MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amemuagiza meneja wa TARURA Mkoa wa Katavi, Mhandisi Innocent...
By Mwandishi WetuMay 19, 2022SERIKALI nchini Tanzania imesema imefanikiwa kuwapatia vijana 45,047 mafunzo ya ukakamavu, stadi za kazi, kuwajengea uzalendo na umoja wa kitaifa katika operesheni...
By Mwandishi WetuMay 19, 2022WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolph Mkenda, amesema marekebisho ya sera ya elimu na mitaala, yatakamilika Desemba 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiMay 19, 2022MBUNGE wa Nzega Vijijini, Dk. Hamisi Kigwangalla (CCM), ameishauri Serikali ibadili mfumo wa utoaji ajira za watumishi wa umma, akitaka iajiri watu kutoka...
By Gabriel MushiMay 19, 2022WIZARA ya ulinzi nchini Tanzania imekusanya maduhuli yake kwa asilimia 1,288.95 baada ya kukusanya kiasi cha Sh 15.4 milioni kati ya Sh...
By Mwandishi WetuMay 19, 2022MKUU wa Wilaya ya Nzega, ACP Advera Bulimba amesema kiasi cha Sh bilioni 24.4 ambacho fedha za mapambano ya Uviko-19 zilizopelekwa kutekeleza miradi...
By Gabriel MushiMay 19, 2022CHAMA Cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini Tanzania (Tamwa), kimeishauri serikali kuanzisha sera maalum ya familia ili kukabiliana na changamoto zinazoibuka kwenye...
By Mwandishi WetuMay 18, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema kodi na tozo za mazao zinachangia kurejesha nyuma maendeleo ya sekta ya kilimo na wakulima kwa ujumla. Anaripoti Rhoda...
By Gabriel MushiMay 18, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imeahirisha kesi namba 3/2022 na kesi namba 14/2022 inayohusu mgogoro wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...
By Gabriel MushiMay 18, 2022WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba, amesema ifikapo Desemba mwaka huu vijiji vyote vya mkoa wa Tabora ambavyo havijafikiwa na umeme vitakuwa vimeunganishwa....
By Mwandishi WetuMay 18, 2022MTENDAJI Mkuu wa Mamlaka ya Barabara Vijijini na Mijini (Tarura), Mhandisi Victor Seff ametoa mwezi mmoja kwa Tarura Wilaya ya Tanganyika Mkoa...
By Mwandishi WetuMay 18, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewafikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, watuhumiwa 25 wa uhalifu wa kutumia...
By Mwandishi WetuMay 17, 2022MKUU wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, Saidi Nkumba amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuitangaza Hifadhi ya Taifa Kigosi iliyopo wilayani...
By Gabriel MushiMay 16, 2022WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula leo tarehe 16, Mei, 2022 amesaini kitabu cha maombolezo katika...
By Gabriel MushiMay 16, 2022WAZIRI wa Utalii na Mambo ya Kale Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Simai Mohammed Said amevutiwa na kasi ya Benki ya NMB kushiriki kuibua...
By Gabriel MushiMay 16, 2022VYOMBO vya habari nchini Tanzania, vimetakiwa kuacha kutoa taarifa za kihalifu kwa njia ambazo zinawapa sifa wahalifu, kuumiza wahanga na kuzuia taharuki kwa...
By Gabriel MushiMay 14, 2022Watu weusi wana uwezekano mkubwa wa kujisikia upweke kuliko watu wengine kwa ujumla, kwa mujibu wa utafiti mpya. BBC imeripoti … (endelea). Takwimu...
By Mwandishi WetuMay 14, 2022NAIBU Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amewataka makandarasi, waajiri na wasimamizi wa mradi kuwa na ushirikiano mzuri ili kuwezesha miradi ya...
By Mwandishi WetuMay 14, 2022CHAMA cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mbeya (MBPC) kimepata pigo baada ya kuondokewa na mwanachama wake wa muda mrefu, Hannerole Mrosso...
By Mwandishi WetuMay 14, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watetezi wa haki za binadamu waache harakati zenye lengo la kupambana na Serikali bali wafanye...
By Regina MkondeMay 13, 2022MABALOZI wa nchi mbalimbali nchini Tanzania, wametumia sherehe za maadhimisho ya miaka 10 ya Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania...
By Regina MkondeMay 13, 2022MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), wamempa tuzo maalumu Rais Samia Suluhu Hassan, kufuatia mchango wake katika uimarishwaji wa...
By Regina MkondeMay 13, 2022WANAWAKE wanaoishi katika jamii zenye uhifadhi na usimamizi shirikishi wa misitu wameonesha mabadiliko makubwa katika kusimamia na utumiaji wa rasilimali hizo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 13, 2022TAASISI ya Bloomberg Media Initiative Africa (BMIA) imetangaza kuanza kwa awamu ya pili ya programu ya mafunzo ya uandishi wa habari za masuala...
By Mwandishi WetuMay 13, 2022SERIKALI imesema katika kuhakikisha matokeo chanya ya Filamu ya Royal Tour yanaonekana wanahakikisha wanazungumza na wawekezaji na wadau wa ya sekta ya utalii...
By Seleman MsuyaMay 12, 2022KAMANDA wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro, amesema wanawashikilia watuhumiwa 23 kwa tuhuma za unyang’anyi wa...
By Mwandishi WetuMay 12, 2022SERIKALI ya Marekani imeahidi kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, kama Tanzania itakubali kupokea msaada huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiMay 12, 2022KAMPUNI ya GF Trucks & Equipmentís imepanga kuanza kuwakopesha vitendea kazi wakandarasi ili kuhakikisha wakandarasi wadogo na wakati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuMay 12, 2022MAPENDEKEZO 65 ya uimarishaji haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa (UN), ambayo Serikali ya Tanzania ilikataa kuyatekeleza kwa sababu mbalimbali, yatafikishwa kwa...
By Gabriel MushiMay 12, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) na Asasi za Kiraia nchini, kufanya utetezi wa haki za binadamu...
By Gabriel MushiMay 12, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amewatakia kheri wauguzi wote nchini katika kusherehekea siku ya wauguzi duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika ujumbe aliobandika...
By Gabriel MushiMay 12, 2022MWENYEKITI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku ametoa wito kwa vijana nchini kutokubali kudanganyika na kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani...
By Gabriel MushiMay 11, 2022SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limesaini mkataba na Kampuni ya ABSA yenye makao yake nchini Swiss utakaoliwezesha shirika hilo kuiuzia kampuni hiyo...
By Gabriel MushiMay 10, 2022WANANCHI wametakiwa kutoa ushirikiano katika madawati ya kijinsia ya Jeshi la Polisi, utakaowezesha kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiMay 10, 2022SERIKALI ya Tanzania, imewaita wadau wa Asasi za Kiraia kutoa maoni yao juu ya maboresho ya rasimu ya mpango kazi wa pili...
By Regina MkondeMay 10, 2022ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (UDART), Robert Kisena na wenzake watatu wamesomewa mashataka 15 kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
By Faki SosiMay 9, 2022MKUTANO Mkuu Maalum wa Chama cha Waandishi wa Habari Dar es Salaam (DCPC) nchini Tanzania, umewavua nyadhifa viongozi wake kwa kutotimiza ipasavyo wajibu...
By Mwandishi WetuMay 9, 2022MWANGALIZI wa Makanisani ya Baptist Kanda ya Kati, Antony Mlyashimba ametoa wito kwa serikali kupunguza matumizi ya anasa ili kukabiliana na hali...
By Danson KaijageMay 8, 2022WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa miezi miwili kwa watumishi 30 wa Halmashauri ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa...
By Gabriel MushiMay 8, 2022KAIMU Kamanda Polisi Mkoa wa Tanga, David Mwasimbo amesema chanzo cha ajali ya gari aliyopata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basila Mwanukuzi jana...
By Gabriel MushiMay 8, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es limesema limefanikiwa kuwakamata watu 31 kwa tuhuma za unyang’anyi, kujeruhi na kupora maarufu kama...
By Mwandishi WetuMay 7, 2022CHAMA cha walimu Tanzania (CWT) kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na namna inavyowajali watumishi nchini wakiwemo walimu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma… (endelea.)...
By Gabriel MushiMay 7, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza kuzishikilia paspoti za wafanyakazi wa Kampuni ya Gas Entec Ship-building Engineering ya...
By Gabriel MushiMay 7, 2022MKUU wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulika amevunja Vyama vya Ushirika (AMCOS) 335 na kuwasimamisha kazi maofisa ushirika watano kwa kushindwa kutekeleza majukumu...
By Gabriel MushiMay 7, 2022MAHAKAMA ya Wilaya ya Kinondoni imepanga kutoa uamuzi tarehe 18 Mei 2022 juu ya maombi ya Mbunge wa zamani wa jimbo la...
By Faki SosiMay 6, 2022MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamekata rufaa...
By Mwandishi WetuMay 6, 2022MTOTO aliyejulikana kwa jina la Tofa Simchimba (5) mkazi wa kijiji cha Chizumbi kata ya Ukwile wilayani Mbozi mkoani Songwe, anadaiwa kuuawa...
By Mwandishi WetuMay 6, 2022SERIKALI imetangaza nafasi za kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa ya mwaka 2022 itakayofanyika Agosti 23 mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMay 5, 2022