Friday , 3 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Hali ya dawa za kulevya Tanzania, bangi….

  KATIKA mwaka 2021 tani 22.74 za bangi zilikamatwa ikiwa ni ongezeko la asilimia 72 ya kiasi kilichokamatwa mwaka 2020. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Samia: Si matumani yetu kuona mifarakano nyumba za Mungu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameonesha kusikitishwa na mifarakano inayotokea katika nyumba za ibada baina ya viongozi wa dini. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yatangaza mpango kambambe Dar, Pwani

  AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Mamlaka hiyo imejipanga...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataka sheria makosa mtandaoni iandikwe upya

  WADAU wa tasnia ya habari nchini Tanzania, wameshauri Sheria ya Makosa ya Mtandaoni ya mwaka 2015, ifutwe ili kutoa nafasi ya kutungwa...

Habari Mchanganyiko

VETA yarasimisha vijana 10,000

  MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) nchini Tanzania imetoa mafunzo na vyeti kwa vijana zaidi ya 10,000 nchi nzima...

Habari Mchanganyiko

Maharage, mahindi yaongeza mapato Kasulu

ELIMU ya kilimo bora cha mazao ya mahindi na maharagwe, inayotolewa na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kupitia Mradi wa Kigoma...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Saudi Arabia zaahidi ushirikiano katika elimu

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ufalme wa Saudi Arabia zimeahidi kuendelea kushirikiana na kukuza sekta elimu kwa manufaa ya mataifa...

Habari Mchanganyiko

ACT Wazalendo watuma za rambirambi kifo cha Mwenyekiti wake Mafia

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetoa salaam za rambirambi kutokana na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Jimbo la Mafia, Suleiman Ismail maarufu kama...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 20 kufufua mashamba ya alizeti, michikichi

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imetenga Sh. 20 bilioni kwa ajili ya kuyaendeleza mashamba makubwa, ikiwemo ya alizeti na michikichi, kwa...

Habari Mchanganyiko

WFP, watajirisha wakulima 24,000

SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kupitia Mradi wa Kigoma Joint Program (KJP), limewezesha wakulima 24,000 wa wilaya tatu za Kasulu, Kibondo...

Habari Mchanganyiko

Mbunge ahoji wanyamapori kuingia makazi ya wananchi, Majaliwa amjibu

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali kwa sasa inaimarisha mifumo itakayozuia wanyamapori wakiwemo tembo kuingia katika makazi ya wananchi ili...

Habari Mchanganyiko

SOS Villages: Tuandae mazingira bora kwa watoto

  SHIRIKA la SOS Villages Tanzania limetoa wito kwa familia na jamii kuweka mazingira bora kwa watoto wanaoishi kwenye makazi ya kuwalelea ili...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NBC yaweka kambi Kanda ya Kaskazini, kuamsha sekta ya utalii, biashara na kilimo

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeelezea dhamira yake ya kukuza na kuchochea ukuaji wa kiuchumi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini kwa...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda Bukoba waomba Rais Samia warasimishwe

WAENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda mkoani Kagera wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupunguza gharama za mafuta, huku wakiomba kazi yao irasimishwea. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Benki Ya NBC Yashiriki Uzinduzi Kongamano La Kigoda Cha Mwalimu Nyerere

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeshiriki kwenye uzinduzi wa Kongamano la 13 la Kigoda Cha Mwalimu Nyerere uliofanyika leo tarehe 8 Juni,...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aipa siku 5 wizara ya kilimo ‘hii haikubaliki’

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa siku tano kuanzia leo Jumatano tarehe 8-12 Juni 2022 kwa Wizara ya Kilimo iwe imeondoa...

Habari Mchanganyiko

Ambaka mtoto wa miezi sita akijaribu dawa ya nguvu za kiume

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema Jeshi la Polisi mkoani Geita, linamshikiria mtu mmoja kwa tuhuma za...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara Tabora waombwa kuitumia benki ya Exim kuwekeza

MKUU wa Mkoa wa Tabora Balozi Dk. Batilda Burian amewaomba wafanyabiashara mkoani humo kuhakikisha wanachangamkia vema uwepo wa taasisi za kifedha ikiwemo Benki...

Habari Mchanganyiko

DC Ubungo aipongeza NMB kuchangia sekta elimu, afya

BENKI ya NMB nchini Tanzania imetoa vifaa mbalimbali vya shule za msingi, sekondari pamoja sekta ya afya vyenye thamani ya Sh.27 milioni kwa...

Habari Mchanganyiko

Kitengo cha kudhibiti fedha haramu chaelemewa

  KITENGO cha kudhibiti fedha haramu nchini Tanzania kimeelemewa na miamala iliyotiliwa mashaka ambayo inatakiwa kufanyiwa uchunguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Bagonza aibua mjadala Dk. Mwaikali kuvuliwa uaskofu

  ASKOFU wa Kanisa la Kiingili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza ametoa uchambuzi wa namna...

Habari Mchanganyiko

Mfumuko wa bei wapanda, mzunguko wa fedha waongezeka

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema katika kipindi cha Julai 2021 hadi Aprili 2022, mfumuko wa bei umeongezeka hadi...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Kasekenya ateta na watumishi wa NMB

BENKI ya NMB Tanzania walikuwa ni miongoni mwa washiriki wa Kongamano la Kitaifa la Wahandisi na Makandarasi wa miundombinu la kumpongeza Rais Samia...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Wizara ya Maji ilinipa tabu

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema mwanzoni Wizara ya Maji ilikuwa inampa tabu katika utekelezaji wa majukumu yake, lakini kwa sasa inakwenda vizuri kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aomba utulivu miji iliyokosa miradi ya maji

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameitaka miji iliyoachwa katika miradi ya maji ya miji 28, kuwa na utulivu kwa kuwa Serikali yake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkuu wa Majeshi Tanzania kustaafu

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo, anatarajia kumaliza utumishi wake ndani ya jeshi hilo, mwishoni mwa Juni, 2022. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Serikali yataja mkakati utafutaji nafasi za ‘Scholarship’ nje ya nchi

SERIKALI ya Tanzania, imeviagiza vyuo vikuu nchini humo, kuandaa mapendekezo kuhusu maeneo ambayo wanafunzi wa Kitanzania watakwenda kusomea nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Wanahisa NMB kuvuna bilioni 96.7

WANAHISA wa Benki ya NMB Plc nchini Tanzania wameidhinisha gawio la Sh96.7 bilioni kwa mwaka 2021 huku wakiwa na imani kubwa benki yao...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuhamia Dodoma, ndoa za vigogo zatikiswa

  NDOA za baadhi ya vigogo na watumishi wa umma waliohamishiwa Dodoma, lakini familia zao kubaki Dar es Salaam nchini Tanzania zimetikiswa na...

Habari Mchanganyiko

Wakandarasi: Sekta binafsi inafanya vizuri kwenye ujenzi

MWENYEKITI wa Chama cha Wakandarasi wazawa nchini Tanzania, Mhandisi Thobias Kiando, amesema takwimu mbalimbali duniani zinaonesha kuwa sekta binafsi inafanya vizuri zaidi ya...

Habari Mchanganyiko

TZ, Italia kuongeza nguvu sekta ya biashara na uwekezaji

TANZANIA na Italia zimeahidi kushirikiana kukuza na kuendeleza sekta ya biashara na uwekezaji kwa maslahi mapana ya pande zote mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

ZIC, Wadau waendesha mafunzo kuhusu bima ya kiislam kwa Wabunge Zanzibar

SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) kwa kushirikiana na wadau wengine Visiwani humo limeendesha mafunzo ya kujenga uwezo kwa wajumbe wa Baraza la wawakilishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukatili: Mke adaiwa kuuawa na mumewe, kiwiliwili chatenganishwa, viungo vyatawanywa

  KATIKA hali ya kushangaza na kusikitisha, mkazi wa kitongoji cha Lubela, mtaa wa Nyashimbi kata ya Mhongolo wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga,...

Habari Mchanganyiko

Mtaka aanika madhaifu wakandarasi wa ndani

WAKATI wahandisi na wakandarasi wa ndani wakimpongeza Rais Samia kwa mchango wake kuimarisha wakandarasi wa ndani, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka...

Habari Mchanganyiko

Mtaka awapa changamoto wakandarasi wa ndani

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amewataka wakandarasi na wahandisi washauri wa ndani kwenda kuomba kazi nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Ireland kuongeza maeneo ya ushirikiano

Tanzania na Ireland zimeahidi kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano ambayo ni biashara na uwekezaji, kilimo, viwanda vya nguo pamoja na ujenzi. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NBC yatoa gawio la Shilingi bilioni 4.5 kwa serikali

WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amepokea gawio la shilingi bilioni 4.5 linalotokana na uwekezaji wa Serikali ndani ya Benki ya...

Habari Mchanganyiko

Askofu Mwaikali ashindwa, mrithi wake KKKT Konde kusikimikwa J2

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya nchini Tanzania imeyatupitilia mbali maombi yote mawili ya aliyekuwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Konde, Edward Mwaikali...

Habari MchanganyikoTangulizi

‘Tattoo’ zazua mtafaruku sh Dar

  HOFU imetanda kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mtongani, kata ya Kunduchi, Kinondoni, Dar es Salaam nchini Tanzania baada ya wanafunzi wake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uamuzi Askofu mteule KKKT Konde kusimikwa kujulikana leo

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya leo Ijumaa tarehe 3 Juni 2022, inatarajia kutoa uamuzi wa kupinga Askofu mteule, Geofrey Mwakihaba...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatilia mkazo Sekta ya Madini

KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imetilia...

Habari Mchanganyiko

Mjadala sifa za waandishi wa habari waja

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema wanaanda mjadala wa kitaifa kwa ajili ya kupata maoni na mapendekezo ya wadau...

Habari Mchanganyiko

TEF yataka kibano kwa kampuni zisizolipa matangazo vyombo vya habari

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deudatus Balile, ameshauri Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya 2016, irekebishwe ile iwe na...

Habari Mchanganyiko

Bioteknolojia inavyowaibua wabunifu USDM

WANAFUNZI wabunifu za bioteknolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Ndaki ya Sayansi ya Asili na Sayansi Tumizi wameomba Serikali kuwawezesha...

Habari Mchanganyiko

Ulega aipongeza NMB kutoa mikopo ya riba nafuu

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania, Abdallah Ulega ameishukuru Benki ya NMB kwa kukubali kutoa mikopo yenye riba ndogo ya asilimia...

Habari Mchanganyiko

Mbunge ataka wananchi waunganishiwe umeme bure

  MBUNGE wa jimbo la Mlimba mkoani Morogoro nchini Tanzania, Godwin Kunambi, ameitaka Serikali kuja na mpango wa kuunganisha umeme bure na kisha...

Habari Mchanganyiko

Mjadala sifa za waandishi wa habari waja

  MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema wanaanda mjadala wa kitaifa kwa ajili ya kupata maoni na mapendekezo ya...

Habari Mchanganyiko

Bunge la Tanzania laahirishwa ghafla

BUNGE la Tanzania limeahirishwa kwa dharura leo Alhamisi tarehe 2 Juni 2022 kwa muda wa nusu saa kuanzia saa 4:00 asubuhi. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mgogoro KKKT Konde: Jaji atoa ushauri, uamuzi Juni 3

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imeshauri pande zinazokidhana ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheni Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde...

error: Content is protected !!