KATIKA mwaka 2021 tani 22.74 za bangi zilikamatwa ikiwa ni ongezeko la asilimia 72 ya kiasi kilichokamatwa mwaka 2020. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Mwandishi WetuJune 10, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameonesha kusikitishwa na mifarakano inayotokea katika nyumba za ibada baina ya viongozi wa dini. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 10, 2022AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Mamlaka hiyo imejipanga...
By Mwandishi WetuJune 10, 2022WADAU wa tasnia ya habari nchini Tanzania, wameshauri Sheria ya Makosa ya Mtandaoni ya mwaka 2015, ifutwe ili kutoa nafasi ya kutungwa...
By Regina MkondeJune 10, 2022MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) nchini Tanzania imetoa mafunzo na vyeti kwa vijana zaidi ya 10,000 nchi nzima...
By Danson KaijageJune 10, 2022ELIMU ya kilimo bora cha mazao ya mahindi na maharagwe, inayotolewa na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kupitia Mradi wa Kigoma...
By Gabriel MushiJune 10, 2022SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ufalme wa Saudi Arabia zimeahidi kuendelea kushirikiana na kukuza sekta elimu kwa manufaa ya mataifa...
By Gabriel MushiJune 10, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetoa salaam za rambirambi kutokana na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Jimbo la Mafia, Suleiman Ismail maarufu kama...
By Gabriel MushiJune 10, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imetenga Sh. 20 bilioni kwa ajili ya kuyaendeleza mashamba makubwa, ikiwemo ya alizeti na michikichi, kwa...
By Mwandishi WetuJune 9, 2022SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kupitia Mradi wa Kigoma Joint Program (KJP), limewezesha wakulima 24,000 wa wilaya tatu za Kasulu, Kibondo...
By Gabriel MushiJune 9, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali kwa sasa inaimarisha mifumo itakayozuia wanyamapori wakiwemo tembo kuingia katika makazi ya wananchi ili...
By Mwandishi WetuJune 9, 2022SHIRIKA la SOS Villages Tanzania limetoa wito kwa familia na jamii kuweka mazingira bora kwa watoto wanaoishi kwenye makazi ya kuwalelea ili...
By Mwandishi WetuJune 9, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeelezea dhamira yake ya kukuza na kuchochea ukuaji wa kiuchumi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini kwa...
By Gabriel MushiJune 8, 2022WAENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda mkoani Kagera wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupunguza gharama za mafuta, huku wakiomba kazi yao irasimishwea. Anaripoti...
By Gabriel MushiJune 8, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeshiriki kwenye uzinduzi wa Kongamano la 13 la Kigoda Cha Mwalimu Nyerere uliofanyika leo tarehe 8 Juni,...
By Gabriel MushiJune 8, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa siku tano kuanzia leo Jumatano tarehe 8-12 Juni 2022 kwa Wizara ya Kilimo iwe imeondoa...
By Mwandishi WetuJune 8, 2022WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema Jeshi la Polisi mkoani Geita, linamshikiria mtu mmoja kwa tuhuma za...
By Mwandishi WetuJune 8, 2022MKUU wa Mkoa wa Tabora Balozi Dk. Batilda Burian amewaomba wafanyabiashara mkoani humo kuhakikisha wanachangamkia vema uwepo wa taasisi za kifedha ikiwemo Benki...
By Gabriel MushiJune 7, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania imetoa vifaa mbalimbali vya shule za msingi, sekondari pamoja sekta ya afya vyenye thamani ya Sh.27 milioni kwa...
By Gabriel MushiJune 7, 2022KITENGO cha kudhibiti fedha haramu nchini Tanzania kimeelemewa na miamala iliyotiliwa mashaka ambayo inatakiwa kufanyiwa uchunguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuJune 7, 2022ASKOFU wa Kanisa la Kiingili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza ametoa uchambuzi wa namna...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema katika kipindi cha Julai 2021 hadi Aprili 2022, mfumuko wa bei umeongezeka hadi...
By Mwandishi WetuJune 7, 2022BENKI ya NMB Tanzania walikuwa ni miongoni mwa washiriki wa Kongamano la Kitaifa la Wahandisi na Makandarasi wa miundombinu la kumpongeza Rais Samia...
By Gabriel MushiJune 6, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema mwanzoni Wizara ya Maji ilikuwa inampa tabu katika utekelezaji wa majukumu yake, lakini kwa sasa inakwenda vizuri kwa...
By Gabriel MushiJune 6, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameitaka miji iliyoachwa katika miradi ya maji ya miji 28, kuwa na utulivu kwa kuwa Serikali yake...
By Gabriel MushiJune 6, 2022MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo, anatarajia kumaliza utumishi wake ndani ya jeshi hilo, mwishoni mwa Juni, 2022. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiJune 6, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeviagiza vyuo vikuu nchini humo, kuandaa mapendekezo kuhusu maeneo ambayo wanafunzi wa Kitanzania watakwenda kusomea nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiJune 6, 2022WANAHISA wa Benki ya NMB Plc nchini Tanzania wameidhinisha gawio la Sh96.7 bilioni kwa mwaka 2021 huku wakiwa na imani kubwa benki yao...
By Gabriel MushiJune 6, 2022NDOA za baadhi ya vigogo na watumishi wa umma waliohamishiwa Dodoma, lakini familia zao kubaki Dar es Salaam nchini Tanzania zimetikiswa na...
By Mwandishi WetuJune 5, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Wakandarasi wazawa nchini Tanzania, Mhandisi Thobias Kiando, amesema takwimu mbalimbali duniani zinaonesha kuwa sekta binafsi inafanya vizuri zaidi ya...
By Gabriel MushiJune 5, 2022TANZANIA na Italia zimeahidi kushirikiana kukuza na kuendeleza sekta ya biashara na uwekezaji kwa maslahi mapana ya pande zote mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Gabriel MushiJune 5, 2022SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) kwa kushirikiana na wadau wengine Visiwani humo limeendesha mafunzo ya kujenga uwezo kwa wajumbe wa Baraza la wawakilishi...
By Gabriel MushiJune 5, 2022KATIKA hali ya kushangaza na kusikitisha, mkazi wa kitongoji cha Lubela, mtaa wa Nyashimbi kata ya Mhongolo wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga,...
By Mwandishi WetuJune 5, 2022WAKATI wahandisi na wakandarasi wa ndani wakimpongeza Rais Samia kwa mchango wake kuimarisha wakandarasi wa ndani, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka...
By Gabriel MushiJune 4, 2022MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amewataka wakandarasi na wahandisi washauri wa ndani kwenda kuomba kazi nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Gabriel MushiJune 4, 2022Tanzania na Ireland zimeahidi kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano ambayo ni biashara na uwekezaji, kilimo, viwanda vya nguo pamoja na ujenzi. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiJune 3, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amepokea gawio la shilingi bilioni 4.5 linalotokana na uwekezaji wa Serikali ndani ya Benki ya...
By Gabriel MushiJune 3, 2022MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya nchini Tanzania imeyatupitilia mbali maombi yote mawili ya aliyekuwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Konde, Edward Mwaikali...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022HOFU imetanda kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mtongani, kata ya Kunduchi, Kinondoni, Dar es Salaam nchini Tanzania baada ya wanafunzi wake...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya leo Ijumaa tarehe 3 Juni 2022, inatarajia kutoa uamuzi wa kupinga Askofu mteule, Geofrey Mwakihaba...
By Mwandishi WetuJune 3, 2022KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imetilia...
By Gabriel MushiJune 2, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema wanaanda mjadala wa kitaifa kwa ajili ya kupata maoni na mapendekezo ya wadau...
By Gabriel MushiJune 2, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deudatus Balile, ameshauri Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya 2016, irekebishwe ile iwe na...
By Gabriel MushiJune 2, 2022WANAFUNZI wabunifu za bioteknolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Ndaki ya Sayansi ya Asili na Sayansi Tumizi wameomba Serikali kuwawezesha...
By Gabriel MushiJune 2, 2022NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania, Abdallah Ulega ameishukuru Benki ya NMB kwa kukubali kutoa mikopo yenye riba ndogo ya asilimia...
By Gabriel MushiJune 2, 2022MBUNGE wa jimbo la Mlimba mkoani Morogoro nchini Tanzania, Godwin Kunambi, ameitaka Serikali kuja na mpango wa kuunganisha umeme bure na kisha...
By Mwandishi WetuJune 2, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema wanaanda mjadala wa kitaifa kwa ajili ya kupata maoni na mapendekezo ya...
By Regina MkondeJune 2, 2022BUNGE la Tanzania limeahirishwa kwa dharura leo Alhamisi tarehe 2 Juni 2022 kwa muda wa nusu saa kuanzia saa 4:00 asubuhi. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiJune 2, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imeshauri pande zinazokidhana ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheni Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde...
By Mwandishi WetuJune 1, 2022