WATU saba wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Landcruiser yenye namba za usajili STL 9534...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, ameipongeza timu ya madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, waliofanikisha upasuaji wa kuwatenganisha mapacha waliokuwa...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemueleza Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum kwamba dua aliyomuombea ili aoe mke...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2022MAKUSANYO ya mapato ya Tanzania, kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2021/22, yameongezeka kwa kwa asilimia 22.77, kutoka Sh. 18.15 trilioni (2020/21)...
By Regina MkondeJuly 2, 2022WATU watano wamepoteza maisha mkoani Tabora, huku wengine 17 wakijeruhiwa katika ajali ya basi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora … (endelea). Akitoa taarifa...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2022SHEIKH Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2022WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amezindua mitambo wa hewa tiba ya Oksijeni wenye thamani ya bilioni 1.5 katika hospitali ya Benjamnin Mkapa iliyoko...
By Gabriel MushiJuly 1, 2022HOSPITALI ya Taifa Muhimbili leo tarehe 1 Julai, 2022 imefanya upasuaji mkubwa wa kutenganisha watoto pacha waliozaliwa wameungana sehemu ya kifua, tumbo na...
By Gabriel MushiJuly 1, 2022WAKAZI wa Kijiji cha Kiparang’anda Wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wa zaidi ya kilomita 16...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2022KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGM) kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) inatarajia kukusanya fedha kiasi cha...
By Gabriel MushiJuly 1, 2022VIGOGO wanne wa Mamlaka ya Bandari nchini (TPA), wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la kuisababishia...
By Mwandishi WetuJune 30, 2022MAREKANI kupitia Shirika la Maendeleo la Kimataifa (USAID), imetoa msaada wa chakula tani 12,000 zinazogharimu Sh20 bilioni kwaajili ya wakimbizi 204,000 walioko...
By Seleman MsuyaJune 30, 2022HATUA ya mhariri wa chombo cha habari kuelekezwa na serikali taarifa za kuchapisha, kama ilivyolekezwa na kifungu cha cha 7 (2) (b)...
By Mwandishi WetuJune 30, 2022INSPEKTA Jenerali wa Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro, amesema wanafunzi 156 wa Chuo cha Jeshi la Polisi, wamefukuzwa katika mafunzo ya awali...
By Mwandishi WetuJune 29, 2022MKAZI wa Sinza, jijini Dar es Salaam, Gladness Gaithan Lugenge, ameingia kwenye orodha ya mamilionea baada ya kushinda fedha taslimu Sh Milioni 10,...
By Gabriel MushiJune 29, 2022KATIKA kukidhi mahitaji na suluhuhishi za kifedha kwa watembeleaji na kampuni shiriki za Maonyesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa maarufu ‘Sabasaba’ yanayoratibiwa...
By Gabriel MushiJune 29, 2022MKUTANO wa kwanza wa kihistoria uliojumuisha mahakama ya haki barani Afrika na mbili za kikanda umemalizika leo kwa matumaini ya kupatikana msingi...
By Mwandishi WetuJune 29, 2022RAIS wa Mahakama ya Haki za Kibinaadamu na Watu ya Afrika, Jaji Imani Daudi Aboud amehimiza vyombo vya habari vya Tanzania kuchukua...
By Jabir IdrissaJune 29, 2022JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewapa angalizo watumishi wa mahakama wanaohama kwa sababu ya maslahi, akisema siku maslahi ya mahakama...
By Mwandishi WetuJune 29, 2022SABABU kuu tatu zimetajwa kuwakosesha ajira watu wenye ulemavu nchini licha ya kuwa wanakuwa na sifa zinazotastahili. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Sababu hizo zilitolewa...
By Gabriel MushiJune 28, 2022SERIKALI ya Tanzania imesema makazi bora ni muhimu katika maendeleo ya taifa huku Benki ya NMB ikiahidi kuchangia kikamilifu kufanikisha azma hiyo kupitia...
By Gabriel MushiJune 27, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania imelizindua rasmi jukwaa la kuwawezesha vijana la “GO na NMB” Visiwani Zanzibar na kusema iko tayari kusaidia kuwajenga...
By Gabriel MushiJune 27, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Innocent Bashungwa (Mb) ametoa maelekezo ya msingi mbalimbali yanayopaswa...
By Gabriel MushiJune 26, 2022IMEELEZWA kwamba iwapo Tanzania itawekeza kwenye utafutaji na uchimbaji wa gesi asilia iliyogundulika nchini uchumi utakuwa na kupunguza ugumu wa maisha. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiJune 26, 2022JUMLA ya watu 17 wamepoteza maisha katika klabu moja ya usiku iliyopo katika Mji wa London Mashariki nchini Afrika Kusini, kutokana na hali...
By Gabriel MushiJune 26, 2022BANDARI ya Mtwara pamoja na wakulima wa korosho wameendelea kupata neema baada ya tarehe 24 Juni mwaka huu kupokea meli nyingine kubwa iliyobeba...
By Gabriel MushiJune 26, 2022BENKI ya NMB imefikia makubaliano na Serikali ya Zanzibar kutunza bustani ya Forodhani Zanzibar ikiwa ni moja ya juhudi za kuunga mkono azma...
By Gabriel MushiJune 26, 2022KAIMU Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Said Maditto, ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) na Asasi za Kiraia, kufikisha malalamiko yao...
By Mwandishi WetuJune 25, 2022WAFANYABIASHARA watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa 13 yakiwamo kukwepa kodi iliyopelekea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupata...
By Faki SosiJune 25, 2022WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Tumaini mkoani Dar es Salaam (TUDARCo) wameunga mkono juhudi za Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hasssan...
By Masalu ErastoJune 24, 2022SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kutangaza masharti mapya ya usajili wa maduka ya kubadilisha fedha za kigeni, ili kuchochea ukuaji wa biashara hiyo...
By Mwandishi WetuJune 24, 2022WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe, amesema wizara yake inafanya maboresho katika sekta ndogo ya mbolea , ili kudhibiti mfumuko wake wa bei...
By Mwandishi WetuJune 24, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imefuta pendekezo lake kuwapa wamachinga asilimia tano kati ya 10, ya fedha...
By Mwandishi WetuJune 24, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza kuhusu utayari wake katika kufanikisha ustawi wa biashara baina ya Tanzania na Afrika kusini kupitia huduma...
By Gabriel MushiJune 24, 2022CHANZO cha ugomvi uliosababisha kifo cha Esther Gadeu anayedaiwa kuuawa na mumewe, Godbles Sawe kimetajwa kuwa ni madai ya wivu wa kimapenzi...
By Mwandishi WetuJune 24, 2022SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kutumia njia shirikishi katika utatuzi wa mgogoro wa ardhi kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, mkoani Arusha, ili wananchi watoe...
By Mwandishi WetuJune 23, 2022MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali ihakikishe maridhiano yanapatikana katika utatuzi wa sakata la Loliondo, kwa kuunda...
By Mwandishi WetuJune 23, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora nchini Tanzania, Jenista Mhagama ametoa rai kwa Benki ya NMB...
By Mwandishi WetuJune 23, 2022MKUU wa Wilaya ya Ilala (DC) jijini Dar es Salaam, Ng’wilabuzu Ludigija ameishauri jamii kutumia kondom ili kudhibiti mimba zisizotarajiwa pamoja ya...
By Mwandishi WetuJune 23, 2022HATIMAYE leo tarehe 22 Juni, 2022 meli ya mwisho kupitia kampuni ya Sibatanza ya nchini Vietnam imeng’oa nanga katika Bandari ya Mtwara...
By Gabriel MushiJune 22, 2022KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji nchini Tanzania, Dk. Anna Makakala, ametangaza kuanza kwa operesheni maalum ya siku 10 kusaka wahamiaji haramu...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022TRENI ya abiria kutoka Kigoma kwenda jijini Dar es Salaam leo Jumatano tarehe 22 Juni 2022 imepata ajali eneo la Kata ya...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022BARAZA la NGO’s la Taifa, limeiomba Serikali kuzipa nafasi taasisi hizo zishauriane na wadau wake ili kutoa ushauri wa namna bora ya...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) nchini Tanzania, imewaomba wananchi wa Mtaa wa Amani, Kata ya Buza...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022BALOZI wa Ufaransa nchini Tanzania, Nabil Hajlaoui, amesema kwa miaka 60 ya uhifadhi katika nchi hiyo wamekuwa wakitumia njia ya kushirikisha wananchi...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amewataka Mameneja wa Wilaya na Mikoa wa Mamlaka za Usambazaji Maji Vijijini (RUWASA) kufanya kazi...
By Danson KaijageJune 22, 2022SERIKALI imeahidi kukiwezesha Chuo cha Bahari cha Dar es Salaam (DMI) kwa miundombinu bora na vifaa vya kisasa vya kufundishia ili kiweze...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022WAKUU wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDC) nchini Tanzania wametakiwa kutumia kwa umahiri uwekezaji wa miundombinu na vifaa uliofanywa na Serikali...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022MGODI wa Barrick Bulyanhulu uliopo mkoani Geita umefanikiwa kuboresha miundombinu ya elimu, afya na maji kutokana na fedha za kusaidia huduma za...
By Mwandishi WetuJune 21, 2022SERIKALI imeahidi kukiwezesha Chuo cha Bahari (DMI), cha jijini Dar es Salaam kwa miundombinu bora na vifaa vya kisasa vya kufundishia ili...
By Mwandishi WetuJune 21, 2022