Friday , 3 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoTangulizi

BREAKING NEWS-Saba wafariki ajali ya gari, mkokoteni Dodoma

  WATU saba wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Landcruiser yenye namba za usajili STL 9534...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awapongeza madaktari waliowatenganisha mapacha Muhimbili

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ameipongeza timu ya madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, waliofanikisha upasuaji wa kuwatenganisha mapacha waliokuwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa amgomea Sheikh kuoa mke wa pili

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemueleza Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum kwamba dua aliyomuombea ili aoe mke...

Habari Mchanganyiko

Mapato yaongezeka kwa 22.77%, TRA yataja sababu tano

  MAKUSANYO ya mapato ya Tanzania, kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2021/22, yameongezeka kwa kwa asilimia 22.77, kutoka Sh. 18.15 trilioni (2020/21)...

Habari Mchanganyiko

Ajali Tabora yauwa watano, jeruhi 17

  WATU watano wamepoteza maisha mkoani Tabora, huku wengine 17 wakijeruhiwa katika ajali ya basi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora … (endelea). Akitoa taarifa...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Mkuu Dar amuombea Majaliwa aongeze mke wa pili

  SHEIKH Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy azindua mitambo ya hewa tiba ya oksijeni yenye thamani ya bilioni 1.5

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amezindua mitambo wa hewa tiba ya Oksijeni wenye thamani ya bilioni 1.5 katika hospitali ya Benjamnin Mkapa iliyoko...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mapacha walioungana vifua watenganishwa Muhimbili

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili leo tarehe 1 Julai, 2022 imefanya upasuaji mkubwa wa kutenganisha watoto pacha waliozaliwa wameungana sehemu ya kifua, tumbo na...

Habari Mchanganyiko

NMB yakamilisha ujenzi wa zahanati iliyokwama miaka 10 Pwani

  WAKAZI wa Kijiji cha Kiparang’anda Wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wa zaidi ya kilomita 16...

Habari Mchanganyiko

GGML waahidi kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGM) kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) inatarajia kukusanya fedha kiasi cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Vigogo wa Bandari kortini Dar, yumo aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu

  VIGOGO wanne wa Mamlaka ya Bandari nchini (TPA), wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la kuisababishia...

Habari Mchanganyiko

USAID yatoa tani 12,000 za chakula kwa wakimbizi

  MAREKANI kupitia Shirika la Maendeleo la Kimataifa (USAID), imetoa msaada wa chakula tani 12,000 zinazogharimu Sh20 bilioni kwaajili ya wakimbizi 204,000 walioko...

Habari Mchanganyiko

Uhuru wa uhariri wa habari unaingiliwa – Wakili Marenga

  HATUA ya mhariri wa chombo cha habari kuelekezwa na serikali taarifa za kuchapisha, kama ilivyolekezwa na kifungu cha cha 7 (2) (b)...

Habari Mchanganyiko

156 wafukuzwa mafunzo ya Polisi kwa utovu wa nidhamu

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro, amesema wanafunzi 156 wa Chuo cha Jeshi la Polisi, wamefukuzwa katika mafunzo ya awali...

Habari Mchanganyiko

Gladness Lugenge wa Sinza avuna Milioni 10 za Biko

MKAZI wa Sinza, jijini Dar es Salaam, Gladness Gaithan Lugenge, ameingia kwenye orodha ya mamilionea baada ya kushinda fedha taslimu Sh Milioni 10,...

Habari Mchanganyiko

NMB yafungua tawi maalum maonesho ya Sabasaba

KATIKA kukidhi mahitaji na suluhuhishi za kifedha kwa watembeleaji na kampuni shiriki za Maonyesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa maarufu ‘Sabasaba’ yanayoratibiwa...

Habari Mchanganyiko

Mkutano wa Mahakama ya Haki wafungwa

  MKUTANO wa kwanza wa kihistoria uliojumuisha mahakama ya haki barani Afrika na mbili za kikanda umemalizika leo kwa matumaini ya kupatikana msingi...

Habari Mchanganyiko

Jaji Imani awapa ujumbe waandishi wa habari

  RAIS wa Mahakama ya Haki za Kibinaadamu na Watu ya Afrika, Jaji Imani Daudi Aboud amehimiza vyombo vya habari vya Tanzania kuchukua...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu awapa angalizo watumishi wanaoihama Mahakama

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewapa angalizo watumishi wa mahakama wanaohama kwa sababu ya maslahi, akisema siku maslahi ya mahakama...

Habari Mchanganyiko

NMB yataja sababu tatu zinazowakwamisha wenye ulemavu

SABABU kuu tatu zimetajwa kuwakosesha ajira watu wenye ulemavu nchini licha ya kuwa wanakuwa na sifa zinazotastahili. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Sababu hizo zilitolewa...

Habari Mchanganyiko

Mikopo ya bilioni 33 ya NMB yasaidia kuboresha makazi Tanzania

SERIKALI ya Tanzania imesema makazi bora ni muhimu katika maendeleo ya taifa huku Benki ya NMB ikiahidi kuchangia kikamilifu kufanikisha azma hiyo kupitia...

Habari Mchanganyiko

Jukwaa la vijana “GO na NMB” lazinduliwa Zanzibar, SMZ yapongeza

BENKI ya NMB nchini Tanzania imelizindua rasmi jukwaa la kuwawezesha vijana la “GO na NMB” Visiwani Zanzibar na kusema iko tayari kusaidia kuwajenga...

Habari Mchanganyiko

Bashungwa atoa maagizo 10 kwa waajiri na waajiriwa wapya

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Innocent Bashungwa (Mb) ametoa maelekezo ya msingi mbalimbali yanayopaswa...

Habari Mchanganyiko

Gesi asilia kuinua uchumi wa wananchi

IMEELEZWA kwamba iwapo Tanzania itawekeza kwenye utafutaji na uchimbaji wa gesi asilia iliyogundulika nchini uchumi utakuwa na kupunguza ugumu wa maisha. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watu 17 wafariki dunia kwa mkanyagano ‘Night Club’

JUMLA ya watu 17 wamepoteza maisha katika klabu moja ya usiku iliyopo katika Mji wa London Mashariki nchini Afrika Kusini, kutokana na hali...

Habari Mchanganyiko

Tani 5,623 za salfa zawasili bandari Mtwara, wakulima wamshukuru Rais Samia

BANDARI ya Mtwara pamoja na wakulima wa korosho wameendelea kupata neema baada ya tarehe 24 Juni mwaka huu kupokea meli nyingine kubwa iliyobeba...

Habari Mchanganyiko

NMB yakubaliwa kuitunzaji bustani ya Forodhani Zanzibar

BENKI ya NMB imefikia makubaliano na Serikali ya Zanzibar kutunza bustani ya Forodhani Zanzibar ikiwa ni moja ya juhudi za kuunga mkono azma...

Habari Mchanganyiko

Serikali Mbeya yaziita mezani NGO’s

  KAIMU Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Said Maditto, ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) na Asasi za Kiraia, kufikisha malalamiko yao...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara kortini kwa kuisababishia Serikali hasara Bil 10.5

  WAFANYABIASHARA watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa 13 yakiwamo kukwepa kodi iliyopelekea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupata...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi wa TUDARCo wamuunga mkono Rais Samia

  WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Tumaini mkoani Dar es Salaam (TUDARCo) wameunga mkono juhudi za Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hasssan...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuja na masharti mapya usajili maduka ya fedha za kigeni

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kutangaza masharti mapya ya usajili wa maduka ya kubadilisha fedha za kigeni, ili kuchochea ukuaji wa biashara hiyo...

Habari Mchanganyiko

Sekta ya mbolea kufumuliwa kudhibiti mfumuko wa bei

  WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe, amesema wizara yake inafanya maboresho katika sekta ndogo ya mbolea , ili kudhibiti mfumuko wake wa bei...

Habari Mchanganyiko

Serikali yasitisha kuwapa mikopo ya halmashauri wamachinga

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imefuta pendekezo lake kuwapa wamachinga asilimia tano kati ya 10, ya fedha...

Habari Mchanganyiko

Benki Ya NBC Yafungua Milango Zaidi Kwa Wafanyabiashara Wa Tanzania Na Afrika Kusini

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza kuhusu utayari wake katika kufanikisha ustawi wa biashara baina ya Tanzania na Afrika kusini kupitia huduma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mme atuhumiwa kumuua mkewe kwa kuvunjwa vufu kwa jembe

  CHANZO cha ugomvi uliosababisha kifo cha Esther Gadeu anayedaiwa kuuawa na mumewe, Godbles Sawe kimetajwa kuwa ni madai ya wivu wa kimapenzi...

Habari Mchanganyiko

Serikali yashauriwa namna ya kushawishi wananchi kuhama Ngorongoro

  SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kutumia njia shirikishi katika utatuzi wa mgogoro wa ardhi kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, mkoani Arusha, ili wananchi watoe...

Habari Mchanganyiko

THRDC yataka tume huru uchunguzi sakata la Loliondo

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali ihakikishe maridhiano yanapatikana katika utatuzi wa sakata la Loliondo, kwa kuunda...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mhagama azindua ‘Mwalimu Spesho’ ya NMB, atoa maagizo

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora nchini Tanzania, Jenista Mhagama ametoa rai kwa Benki ya NMB...

Habari Mchanganyiko

DC Ilala: Tutumie kondom kudhibiti magonjwa, uzazi wa mpango

  MKUU wa Wilaya ya Ilala (DC) jijini Dar es Salaam, Ng’wilabuzu Ludigija ameishauri jamii kutumia kondom ili kudhibiti mimba zisizotarajiwa pamoja ya...

Habari Mchanganyiko

Korosho zote Mtwara zanunuliwa na kusafirishwa nje

  HATIMAYE leo tarehe 22 Juni, 2022 meli ya mwisho kupitia kampuni ya Sibatanza ya nchini Vietnam imeng’oa nanga katika Bandari ya Mtwara...

Habari Mchanganyiko

Siku 10 operesheni kusaka wahamiaji haramu Loliondo

  KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji nchini Tanzania, Dk. Anna Makakala, ametangaza kuanza kwa operesheni maalum ya siku 10 kusaka wahamiaji haramu...

Habari Mchanganyiko

Treni yapata ajali Tabora, mabehewa 6 yaanguka

  TRENI ya abiria kutoka Kigoma kwenda jijini Dar es Salaam leo Jumatano tarehe 22 Juni 2022 imepata ajali eneo la Kata ya...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zaomba Serikali iwape nafasi wadau sakata Ngorongoro

  BARAZA la NGO’s la Taifa, limeiomba Serikali kuzipa nafasi taasisi hizo zishauriane na wadau wake ili kutoa ushauri wa namna bora ya...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yawaita wakazi Buza iwaunganishie maji

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) nchini Tanzania, imewaomba wananchi wa Mtaa wa Amani, Kata ya Buza...

Habari Mchanganyiko

Ufaransa yaeleza inavyotumia njia jumuishi uhifadhi

  BALOZI wa Ufaransa nchini Tanzania, Nabil Hajlaoui, amesema kwa miaka 60 ya uhifadhi katika nchi hiyo wamekuwa wakitumia njia ya kushirikisha wananchi...

Habari Mchanganyiko

Waziri Aweso awaonya RUWASA, atoa maagizo

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amewataka Mameneja wa Wilaya na Mikoa wa Mamlaka za Usambazaji Maji Vijijini (RUWASA) kufanya kazi...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuiwezesha DMI majengo, vifaa vya kisasa

  SERIKALI imeahidi kukiwezesha Chuo cha Bahari cha Dar es Salaam (DMI) kwa miundombinu bora na vifaa vya kisasa vya kufundishia ili kiweze...

Habari Mchanganyiko

Wakuu FDC wapewa ujumbe

  WAKUU wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDC) nchini Tanzania wametakiwa kutumia kwa umahiri uwekezaji wa miundombinu na vifaa uliofanywa na Serikali...

Habari Mchanganyiko

Fedha za CSR za Barrick zafanikisha miradi ya Elimu, Afya  Nyang’hwale

  MGODI wa Barrick Bulyanhulu uliopo mkoani Geita umefanikiwa kuboresha miundombinu ya elimu, afya na maji kutokana na fedha za kusaidia huduma za...

HabariHabari Mchanganyiko

Serikali kuiwezesha DMI vifaa vya kisasa na majengo

  SERIKALI imeahidi kukiwezesha Chuo cha Bahari (DMI), cha jijini Dar es Salaam kwa miundombinu bora na vifaa vya kisasa vya kufundishia ili...

error: Content is protected !!