BARAZA la NGO’s la Taifa, limeiomba Serikali kuzipa nafasi taasisi hizo zishauriane na wadau wake ili kutoa ushauri wa namna bora ya...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) nchini Tanzania, imewaomba wananchi wa Mtaa wa Amani, Kata ya Buza...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022BALOZI wa Ufaransa nchini Tanzania, Nabil Hajlaoui, amesema kwa miaka 60 ya uhifadhi katika nchi hiyo wamekuwa wakitumia njia ya kushirikisha wananchi...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amewataka Mameneja wa Wilaya na Mikoa wa Mamlaka za Usambazaji Maji Vijijini (RUWASA) kufanya kazi...
By Danson KaijageJune 22, 2022SERIKALI imeahidi kukiwezesha Chuo cha Bahari cha Dar es Salaam (DMI) kwa miundombinu bora na vifaa vya kisasa vya kufundishia ili kiweze...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022WAKUU wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDC) nchini Tanzania wametakiwa kutumia kwa umahiri uwekezaji wa miundombinu na vifaa uliofanywa na Serikali...
By Mwandishi WetuJune 22, 2022MGODI wa Barrick Bulyanhulu uliopo mkoani Geita umefanikiwa kuboresha miundombinu ya elimu, afya na maji kutokana na fedha za kusaidia huduma za...
By Mwandishi WetuJune 21, 2022SERIKALI imeahidi kukiwezesha Chuo cha Bahari (DMI), cha jijini Dar es Salaam kwa miundombinu bora na vifaa vya kisasa vya kufundishia ili...
By Mwandishi WetuJune 21, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania kupitia mifumo yake mbalimbali ya malipo imesaidia Serikali ya nchi hiyo kukusanya Sh.8.6 trilioni kupitia Mfumo wa Kielektroniki...
By Gabriel MushiJune 21, 2022SERIKALI imetoa wito kwa watumishi wa Taasisi zilizo chini ya Sekta ya Uchukuzi kuongeza ufanisi na ubunifu ili kuongeza tija kazini na kukuza...
By Gabriel MushiJune 20, 2022IKIWA vuguvugu la marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari likizidi kuongezeka nchini Tanzania, wanahabari wamepaza sauti zao kuhusu uboreshwaji wa uhuru...
By Regina MkondeJune 20, 2022WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amepokea nakala ya Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi...
By Gabriel MushiJune 20, 2022JESHI la Polisi Mkoa wa Morogogo nchini Tanzania linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumshambulia Geoge Kaloya, ofisa mtendaji wa Kijiji ya...
By Mwandishi WetuJune 20, 2022SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) limehitimisha maadhimisho ya miaka 53 tangu kuanzishwa kwake kwa kuzindua program ya online (Online App) ijulikanayo kama ZIC...
By Gabriel MushiJune 20, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania imesaini randama ya makubaliano kati yake na Ofisi ya Mrajisi wa Vyama vya Ushirika wa kujenga maghala kwenye...
By Gabriel MushiJune 20, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wazazi na walezi kuwalea vizuri watoto wao kwani wasipolelewa ipasavyo watazalisha ‘panya road’ wengi, ambao wanaisumbua...
By Gabriel MushiJune 19, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango, Saada Mkuya hii jana tarehe 18 Juni, 2022 amewaongoza maofisa waandamizi pamoja na wafanyakazi...
By Gabriel MushiJune 19, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri maoni na mapendekezo yatakayotolewa na Kikosi Kazi kilichoundwa na Rais Samia kwa ajili ya kutafuta muarobaini wa changamoto za...
By Gabriel MushiJune 18, 2022KATIBU wa Chadema mkoani Ruvuma, Tasilo Bathlomew Milinga, leo Jumamosi, ametangaza kujiunga rasmi na Chama cha ACT-Wazalendo, huku akitaja sababu zilizopelekea kuchukua uamuzi...
By Gabriel MushiJune 18, 2022KIONGOZI wa chama cha Wiper nchini Kenya, Kalonzo Musyoka, amekutana na udhalilishaji akiwa jukwaani baada ya kundi kubwa la wananchi wanaomsikiliza kumzomea akifanya...
By Gabriel MushiJune 18, 2022MWANAUME mmoja raia wa Pakistani ameripotiwa kuchoma moto kaburi la mama mkwe wake aliyefariki miaka 25 iliyopita huko Layyah, jimbo la Punjab. BBC...
By Gabriel MushiJune 18, 2022WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia mradi wa EASTRIP imekipatia Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) zaidi ya Sh.49 bilioni kwa ajili...
By Gabriel MushiJune 18, 2022MAWAKILI wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mchungaji Diana Bundala, maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza...
By Mwandishi WetuJune 17, 2022SERIKALI ya Tanzania imewapandisha kizimbani aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk. John Pima na wenzake wanne kwa mashitaka kutenda makosa nane...
By Mwandishi WetuJune 17, 2022SERIKALI imesema jumla ya Sh66.86 bilioni zimekusanywa tangu kuanza kutoza tozo za kuvuka daraja la Kigamboni mwaka 2016. Anaripti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuJune 17, 2022MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Anthony Mtaka ameagiza Jiji la Dodoma kuharakisha sheria ndogondogo za mazingira ili kuweka hali ya usafi katikati...
By Gabriel MushiJune 16, 2022UNAWEZA kusema kwamba Mr Eazi, msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria aliyepata umaarufu mkubwa kupitia wimbo wake wa Leg Over, amepiga ndege wawili...
By Gabriel MushiJune 16, 2022GODBLES Sawe, mkazi wa Kimara jijini Dar es Salaam, anatafutwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma...
By Mwandishi WetuJune 16, 2022WANAFUNZI kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni miongoni mwa washiriki wa fainali za Mashindano ya kimataifa...
By Gabriel MushiJune 16, 2022SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) linararajia kununua tani 43,000 za mahindi, maharage na mtama kwa wakulima kutoka mikoa mbalimbali. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 16, 2022KATIBU Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine leo tarehe 15 Juni, 2022 amekutana na kufanya...
By Gabriel MushiJune 15, 2022WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula jana tarehe 14 Juni, 2022 amewasili nchini Finland kwa ziara...
By Gabriel MushiJune 15, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania wamekabidhi Sh30.7 bilioni kwa Serikali huku Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango akisema benki hiyo imefanya siku yake...
By Gabriel MushiJune 15, 2022WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Yusufu Masauni ameitaka Idara ya Uhamiaji nchini kusimamia uingiaji na utokaji wa wageni katika...
By Mwandishi WetuJune 15, 2022MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ameagiza mashirka yote yanayotakiwa kutoa gawio kwa Serikali kufanya hivyo mara moja. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJune 15, 2022MKUU wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel hivi karibuni aliungana maofisa waandamizi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuwafunda wafanyabiashara wakubwa...
By Gabriel MushiJune 15, 2022MSIMU wa tatu wa Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde iitwayo NMB Bonge la Mpango, inayoendeshwa na Benki ya NMB nchini Tanzania, umezinduliwa...
By Gabriel MushiJune 15, 2022BODI ya Wakurugenzi wa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC), imefanya ziara katika mradi wa reli ya kisasa (SGR) na...
By Mwandishi WetuJune 14, 2022BEI za nywele bandia maarufu kama mawigi, zinatarajiwa kupanda ifikapo Julai Mosi mwaka huu, baada ya Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika...
By Mwandishi WetuJune 14, 2022MAHAKAMA ya Wilaya ya Kinondoni imeahirisha kutoa uamuzi juu ya maombi ya familia ya marehemu Stella Moses (30) aliyedaiwa kujinyonga kwenye kituo...
By Faki SosiJune 14, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeishauri Serikali kuchukua hatua za haraka kupunguza changamoto ya uhaba wa walimu nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma…(endelea). Ushauri huo umetolewa...
By Gabriel MushiJune 13, 2022PROMOSHENI ya teleza kidigitali ya Benki ya NMB nchini Tanzania imeendelea kusambaa nchini humo kwa kufika Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Anaripoti...
By Gabriel MushiJune 13, 2022KUELEKEA maadhimisho ya miaka 53 tangu kuanzishwa kwake, Shirika la Bima Zanzibar (ZIC), limeandaa matukio kadhaa ikiwemo kutoa msaada wa vifaa tiba katika...
By Gabriel MushiJune 13, 2022JAJI Eliezer Feleshi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) nchini Tanzania, amesema wanahabari wanapaswa kuwa na bodi watayoisimamia wenyewe kulinda maadili ya habari....
By Mwandishi WetuJune 13, 2022WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), umefungua zoezi la usikilizaji kampuni zenye migogoro na changamoto mbalimbali, kwa ajili ya kutafuta...
By Regina MkondeJune 13, 2022SERIKALI imesema katika kuboresha sekta ya kilimo ikiwemo kuongeza mnyororo wa thamani imeongeza bajeti yake mara mbili zaidi kutoka Sh bilioni 228...
By Mwandishi WetuJune 13, 2022MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umekutana na wadau pamoja na Wabunge wanawake vinara wa jinsia bungeni Dodoma na kuwapa mafunzo ya umuhimu wa ...
By Gabriel MushiJune 13, 2022IKIWA imebaki siku moja Serikali kuwasilisha Bajeti Kuu bungeni, Askofu wa Kanda ya kati wa makanisa la Baptist, Antony Mlyashimba ameitaka ametoa wito...
By Gabriel MushiJune 13, 2022AFISA Mtendaji Mkuu wa NMB nchini Tanzania, Ruth Zaipuna ameongoza ujumbe wa benki hiyo kumtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,...
By Gabriel MushiJune 13, 2022JAMII imetakiwa kuendelea kujitokeza kwa wingi kusaidia kundi la wasichana wenye ulemavu taulo za kike ili kuwawezesha kujistili kipindi wanapoingia mzunguko wa...
By Mwandishi WetuJune 13, 2022