Friday , 29 March 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Lugha tatizo utafiti wa kilimo cha umwagiliaji

WATAFITI kutoka Vyuo vikuu mbalimbali nchini wametakiwa kutafsiri tafiti zinazofanyika kwa lugha nyepesi ili kuweza kutumika na kutatua matatizo yanayopatikana kwenye maeneo mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu astukia ufisadi Dodoma

KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu amestukia ufisadi wa Sh. 1.2 bilioni  katika sekta ya kilimo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akiwa kwenye ziara  yake...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaja na kibano cha AZAKI

SERIKALI imezikemea baadhi ya asasi za Kiraia ambazo zimekuwa zikitumia vibaya fedha za ruzuku zinazotolewa na wadau mbalimbali kwa ajili ya maendeleo. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wizara ya Kilimo yapata pigo, watumishi watano wafariki ajalini

WATUMISHI watano wa Wizara ya Kilimo na Chakula, wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Njirii, Manyoni mkoani Singida. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mo aitwa Singida, wazee wataka kufanya yao

MFANYABIASHARA maarufu Mohammed Dewji ‘Mo’ ameombwa kwenda mkoani Singida ili apozwe machungu. Anaandika Mwandishi Maalum … (endelea). Akizungumza na wanahabari kwenye viwanja vya...

Habari Mchanganyiko

Silaha za kivita zakutwa kwenye gari lililomteka Mo

MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema silaha ya kivita aina ya AK-47, pisto tatu pamoja na risasi 19 zimekutwa katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mo Dewji apatikana, awashukuru Watanzania

MFANYABIASHARA Bilionea nchini akiyetekwa na watu wasiojulikana Mohammed Dewji ‘Mo’ apatikana alfajiri ya leo akiwa hai. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Kupitia mtandao...

Habari Mchanganyiko

URA Saccos watakiwa kuanzisha viwanda

SERIKALI imeushauri Ushirika wa Kuweka na kukopa cha Polisi Tanzania (URA-SACCOS) kuona haja ya kuingia katika uwekezaji kwa kuanzisha viwanda vidogo vitakavyosaidia mambo...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro asema uchunguzi sio sawa na kubeba ‘changudoa’

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Simon Sirro amesema suala la kufanya uchunguzi sio sawa na kwenda barabarani na kumkuta mwanamke anayefanya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Gari lililomteka MO hili hapa

MKUU wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro amesema polisi wamefanikiwa kumtambua dereva na  gari lililohusika katika tukio la kutekwa mfanyabiashara Mohammed Dewji maarufu...

Habari Mchanganyiko

Isaac Gamba afariki dunia

ALIYEWAHI kuwa Mtangazaji wa Radio One na ITV, ambaye baadaye alijiunga na Idhaa ya Kiswahili ya Ujerumani (DW), Isaac Gamba amefariki dunia mjini...

Habari Mchanganyiko

Mvua kubwa yatabiriwa Dar, Pwani

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini,( TMA) imetahadharisha ujio wa mvua kubwa kuanzia tarehe 23 Novemba 2018 hadi Aprili 2019, katika mikoa mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Mwanafunzi afariki kwa kujinyonga Mwanza

ALIYEKUWA Mwanafunzi wa kidato cha tano katika shule ya Sekondari Sengerema mkoani Mwanza, Ayoub Yahya (19) amekutwa amefariki dunia baada ya kujinyonga asubuhi...

Habari Mchanganyiko

‘Sugar Dady’ achoma moto nyumba 12, kisa wivu wa mapenzi

POLISI mjini Mombasa nchini Kenya inamtafuta baba mmoja (40) anayetuhumiwa kuchoma moto nyumba ya mpenzi wake iliyoko maeneo ya Magongo, kutokana na wivu...

Habari Mchanganyiko

Vigogo Acacia wasomewa mashtaka 39

VIGOGO katika kampuni ya madini ya Acacia, akiwemo aliyekuwa Makamu wa Rais, Deo Mwanyika na Mshauri wa Serikali ndani ya kampuni hiyo, Alex...

Habari MchanganyikoTangulizi

Radi yaua wanafunzi sita Geita

SHULE ya Msingi Emaco Vision English Medium ya mjini Geita mkoa wa Mwanza imepata pigo baada ya kuondokewa na wanafunzi wake sita waliofariki...

Habari Mchanganyiko

Manara achomoka sakata la MO

MKUU wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Haji Manara pamoja na watu 19 waliokuwa wanashikiliwa kutokana na sakata la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Familia ya Dewji kutoa bil 1 kwa atakayesaidia kupatikana MO

FAMILIA ya Mfanyabiashara, Mohammed Dewji ‘MO’ aliyetekwa tangu Alhamisi ya Oktoka 11 2018, maeneo ya Osterbay jijini Dar es Salaam, imetangaza zawadi nono...

Habari MchanganyikoTangulizi

Familia ya Dewji kuvunja ukimya kutekwa kwa MO

FAMILIA ya mfanyabiashara, Mohammed Dewji ‘MO’ na Kampuni za Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) leo wanatarajia kuvunja ukimya juu ya kutekwa kwa bilionea...

Habari MchanganyikoTangulizi

DART yatoa tamko kuhusu hujuma za madereva wa Udart

WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umesema madereva wa kampuni ya mtoa huduma, (Udart) waliohusika kufanya hujuma ya kuzuia mabasi yaliyokuwa yameegeshwa katika...

Habari Mchanganyiko

Sakata la MO, Manara akamatwa

HATUA ya Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara kusambaza habari za kutekwa kwa Mohammed Dewji (MO) kwa madai ya kutumwa na familia, sasa...

Habari Mchanganyiko

Mil 3.9 kujenga vyoo Morogoro

JUMLA ya Sh. 3.9 milioni zimekusanywa na wanavijiji wa vijiji vinne vya kata ya Tomondo wilayani Morogoro na kutatua tatizo la uhaba wa...

Habari Mchanganyiko

Kisa cha Panya, Kuku, Mbuzi na Ng’ombe

NYUMBANI kwa mwanadamu uliwekwa mtego wa panya, lengo likiwa kumnasa panya. Anaandika Babu Jongo … (endelea). Panya alipoona mtego akamuambia kuku amsaidie kuutegua, kuku...

Habari Mchanganyiko

Balozi: Palestina haitalegeza kamba

TAIFA la Israel limeondoa furaha yetu, linataka kuondoa utambulisho wetu katika ardhi ya Palestina, kamwe hilo halitafanikiwa. Anaandika Yusuph Katimba…(endelea). Kauli hiyo imetolewa leo...

Habari Mchanganyiko

Wazungu wadaiwa kumteka kimafia MO Dewji

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeeleza kuwa, linawashilikia watu watatu wanaoshukiwa kuhusika na tukio la kutekwa kwa Mfanyabiashara Mohammed...

Habari Mchanganyiko

MO Dewji adaiwa kutekwa alfajiri ya leo

MFANYABIASHARA Mohammed Dewji, anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana waliokuwa na silaha za moto leo saa 11 Alfajiri wakati akiingia kufanya mazoezi Gym ya Colosseum,...

Habari Mchanganyiko

Madereva kuwaweka kikaangoni vigogo Udart

WAKATI Serikali ya mkoa wa Dar es Salaam, ikiagiza watendaji wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (Udart) kutoa sababu za kutochukua hatua madhubuti...

Habari Mchanganyiko

Wahujumu miondombinu ya maji wafikia saba

BAADA ya uchunguzi  unaofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) juu ya hujuma ya Maradi wa Maji wa Mtomoko uliopo...

Habari Mchanganyiko

Mabula aonesha njia utatuzi mgogoro wa ardhi Mara

NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angeline Mabula ameagiza zoezi la kupima upya mipaka ya vijiji vya Kono na Ketembere kuanza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Raia wa kigeni wanaswa wakitorosha dola 70,000

RAIA wawili wa kigeni, Nada Zaelnoon Ahamed (38) na Mohamed Belal (31), wanashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukutwa na kiasi cha...

Habari Mchanganyiko

Jamhuri kumbana Tido Mhando Oktoba 16

UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dodoma wawashikilia ‘machangudoa’ 22

WANAWAKE takribani 22 pamoja na wanaume watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya ngono....

Habari Mchanganyiko

Polisi Mbeya wamsaka dereva wa lori

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamsaka dereva wa lori la mafuta linalomilikiwa na Kampuni ya Mafuta ya Oil Com, baada ya lori hilo...

Habari Mchanganyiko

Mhasibu Mamlaka ya Elimu aburuzwa mahakamani kwa makosa 400

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kinondoni imemfikisha mahakamani aliyekuwa Mhasibu Mwandamizi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Isaya...

Habari Mchanganyiko

Mtoto wa miaka mitano afariki kwa moto

MTOTO wa miaka mitano, Solile Emannuel amefariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea tarehe 3 Oktoba 2018 nyumbani kwao maeneo ya Nh’obola wilayani...

Habari Mchanganyiko

Dk. Bashiru azitamani kura za wakulima

KATIBU mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amewataka wavuja jasho wakiwemo wakulima kutokata tamaa au kuwa na tamaa ya mabadiliko...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa leseni mpya za madini

LESENI mpya za madini takribani 7,879 zimetolewa na Tume ya Madini kuanzia mwezi Mei hadi Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza...

Habari Mchanganyiko

Walimu Pemba wapigwa marufuku kwenda harusini

WALIMU wa Shule za msingi na sekondari katika mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar wamepigwa marufuku kwenda katika sherehe hasa harusi wakati wa...

Habari Mchanganyiko

Watanzania milioni 21 hawapati maji safi na salama

KUKOSEKANA kwa usimamizi bora wa rasilimali za maji kumetajwa kuwa sababu ya watanzania takribani milioni 21 kutofikiwa na huduma ya maji safi na...

Habari Mchanganyiko

Ushirikiano ndiyo silaha pekee itakayowalinda waandishi-MCT

KAJUBI Mukajanga, Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), amesema silaha pekee itakayowakwamua waandishi wa habari nchini katika mazingira ya magumu wanayopitia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jengo la Benjamin Mkapa lawaka moto

MOTO umezuka katika jengo la Benjamin Mkapa Tower lililopo maeneo ya Posta jijini Dar es Salaam katika ghorofa ya nne hali iliyosababisha kuzua...

Habari Mchanganyiko

Watu 60 mbaroni kwa kuharibu miundombinu ya Tanesco

ZAIDI ya watu 60 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za uharibifu wa miundombinu ya Shirika...

Habari Mchanganyiko

WhatsApp ilivyotumika kuvujisha mtihani

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limewasimamisha kazi maafisa elimu, maafisa taaluma, waratibu wa elimu na wakuu wa shule za msingi  wa Wilaya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu mgeni rasmi Mviwata

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Khasim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 25 ya Mtandao wa Vikundi...

Habari Mchanganyiko

Waliotoroka Mgambo wapewa siku mbili kurudi kambini

VIJANA takribani 200 waliotoroka katika mafunzo ya mgambo wapewa saa 48 ambayo ni sawa na siku mbili kurudi kambini. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari Mchanganyiko

Fedha za maendeleo yavuruga mkutano

MWENYEKITI wa kijiji cha Kikundi, kata ya Tomondo, Morogoro, Musa Muhongo ameahirisha mkutano mkuu wa kijiji mara baada ya wanakijiji kuchachamaa wakidai kuelezwa...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yashinda tuzo ya kimataifa

TANZANIA imetunukiwa tuzo ya Kimataifa ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambikiza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Tuzo hiyo alikabidhiwa jana tarehe 27...

error: Content is protected !!