Thursday , 2 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoTangulizi

Mashtaka mapya 7 ya Sabaya na wezake, mvutano waibuka

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari Mchanganyiko

Wadau wajadili changamoto Sheria ya Habari

WADAU wa habari nchini, wameishauri serikali kuhakikisha sheria zinazokandamiza tasnia ya habari nchini, zinapatiwa ufumbuzi. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Katika mkutano wa mtandaoni uliofanyika...

Habari Mchanganyiko

Wasomi Marekani watua nchini kujifunza mabadiliko tabianchi

Wasomi Marekani watua nchini kujifunza mabadiliko tabianchi WASOMI kutoka chuo cha Northeastern kilichopo katika mji wa Boston nchini Marekani wametua nchini kupitia Tume...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia akemea magari ya Serikali kubeba mikaa, ‘sombasomba’

  RAIS Samia ameuagiza Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kushirikiana na TAMISEMI kuhakikisha magari 123 yaliyogawiwa kwa mfuko huo na Halmashauri, hayatumiki...

Habari Mchanganyiko

NMB yawapa ‘laptop’ madereva, wamiliki pikipiki Dar

BENKI ya NMB Tanzania imekabidhi kompyuta mpakato ‘laptop’ kwa Chama cha Madereva na Wamiliki wa Pikipiki Mkoa wa Dar es Salaam (CMPD) ili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya apandishwa tena kortini

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya leo Jumatano tarehe 1 Juni 2022, amepandishwa katika...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Zambia kujenga bomba mafuta safi Dar-Ndola

SERIKALI imetenga Sh. 500 milioni katika mwaka wa fedha 2022/23 kwaajili ya kuanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta...

Habari Mchanganyiko

Ukusanyaji mapato: Majaliwa atoa maagizo vigogo Tamisemi

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent...

Habari Mchanganyiko

TBL, Vodacom wazindua mfumo wa malipo kwa wakulima ‘BanQu’

KAMPUNI ya Bia ya Tanzania (TBL) kwa kushirikiana na Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania amezindua mfumo wa malipo...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu anayetuhumiwa ubakaji, ulawiti wanafunzi apandishwa kortini

  MWALIMU wa Shule ya Msingi Global International School iliyipo Vijana Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Daniel Chacha Magere (26) amefikishwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Niombeeni nikidhi matamanio ya Watanzania

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amewaomba viongozi wa dini waendelee kuiombea Serikali ili aendelee kuongoza kwa uadilifu, haki pamoja na kukidhi matamanio ya...

Habari Mchanganyiko

Askofu Shoo alilia amani, upendo Tanzania

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ametoa mwito kwa Watanzania kuwa na imani thabiti badala ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hukumu ya Sabaya yapigwa kalenda, sababu yatajwa

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania imeahirisha kutoa hukumu ya kesi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro,...

Habari Mchanganyiko

NMB yawaita wafanyabiashara kuchangamkia fursa miradi ya kimkakati

BENKI ya NMB nchini Tanzania imesema ipo tayari kutoa fedha kuwezesha wafanyabisahara wakubwa, wakati na wadogo kuchangamkia fursa kwenye miradi mbalimbali ya kimkakati...

Habari Mchanganyiko

Vibanda 453 vyateketekea kwa moto Soko la Vetenari

SOKO la Vetenari, lililoko wilayani Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam, limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Jumatatu, huku taarifa za awali...

Habari Mchanganyiko

Mbarawa akagua barabara VETA-Uhasibu, atoa darasa kwa madereva

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewataka madereva kutumia barabara ya juu ya Veta Chang’ombe na Uhasibu kwa kufuata sheria za...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hii hapa mikoa mitano kinara kwa ukeketaji

SERIKALI ya Tanzania, imesema inaendelea kutoa afua za kutokomeza ukeketaji katika mikoa mitano yenye takwimu za juu, ikiongozwa na Manyara yenye asilimia 58...

Habari Mchanganyiko

Dk. Gwajima alia na uhaba wa maafisa ustawi wa jamii

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, amesema wizara yake ina uhaba wa maafisa maendeleo ya jamii...

Habari Mchanganyiko

Ekari 140 zatengwa ujenzi soko la kimataifa mpakani mwa Tanzania, Kenya

SERIKALI kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Moshi imetenga eneo lenye ukubwa wa ekari 140 katika eneo la Lokolova kwa ajili ya ujenzi wa...

Habari Mchanganyiko

Flaviana Matata Foundation, Marie Stopes yaamsha ari matumizi ya taulo za kike kipindi cha hedhi

MWANAMITINDO maarufu nchini Tanzania, Flaviana Matata kwa kushirikiana na Taasisi MarieStopes Tanzania wameitaka jamii kuamini hedhi iwe kama moja ya maisha ya kawaida...

Habari Mchanganyiko

Mfumo kuchakata majitaka wa DUWASA wamkosha katibu mkuu

KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais nchini Tanzania, Mary Maganga ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kwa kuwa...

HabariHabari Mchanganyiko

Pollicy wazindua mtaala wa ‘Vote Women’ kuwapiga msasa madiwani wanawake kukabili ukatili mitandaoni

KATIKA kuwajengea uwezo wanasiasa wanawake kuhusu matumizi sahihi ya majukwaa ya mitandaoni, Shirika la Pollicy limezindua mtaala unaofahamika kwa jina la ‘Vote Women’...

Habari Mchanganyiko

Bosi NMB ashinda tuzo ya Mkurugenzi Mtendaji Bora wa Kibenki Afrika 2022

AFISA Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna ametangazwa kuwa mshindi wa kipengele cha Afisa Mtendaji Mkuu Bora Africa kwa Mwaka 2022...

Habari Mchanganyiko

Bashungwa aagiza nafasi za kukaimu zijazwe

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amewaelekeza Katibu Mkuu, Utumishi na TAMISEMI kufanya maamuzi...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim Yakabidhi Msaada wa Madawati 100 Shinyanga

BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya Sh milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,  Sophia Mjema...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chongolo awapa ujumbe wa matumiani wakumila tumbaku

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewataka wananchi wa Mkoa wa Shinyanga na maeneo mengine kuchangamkia kilimo cha tumbaku...

Habari Mchanganyiko

Chongolo atoa siku 60 kwa MSD kupeleka vifaatiba hospitali Ushetu

  KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameitaka Serikali ichukue hatua za haraka na ndani ya miezi miwili ya Bohari ya...

Habari Mchanganyiko

NMB yafadhili wiki ya unywaji maziwa Katavi

  BENKI ya NMB nchini Tanzania imekabidhi tisheti 300 kwa uongozi wa Mkoa wa Katavi zitakazotumika katika maadhimisho ya wiki ya unywaji maziwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

#LIVE: Tuzo za EJAT2021, Majaliwa atoa ujumbe kwa MCT

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amelitaka Baraza la Habari Tanzania (MCT), kusimamia vyema vyombo vya habari ili vitekeleze majukumu yake kwa...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wataka chombo huru usimamizi Hifadhi ya Ngorongoro

  KAMATI ya kutafuta suluhu za mgogoro wa ardhi katika Hifadhi ya Ngorongoro nchini Tanzania imeshauri kiundwe chombo maalumu kitakachosimamia, ratibu na kudhibiti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa viwanda 10 viendelezwe, yawapa siku 21

  SERIKALI ya Tanzania kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imekabidhi kwa taasisi nne viwanda 10 ambavyo wawekezaji wake walishindwa kuviendeleza kulingana na...

Habari Mchanganyiko

Uchaguzi TLS: Mtobesya atoa ujumbe

  SAA chache kupita tangu Profesa Edward Hoseah kutangzwa mshindi wa urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Jeremiah Mtobesya ametoa ujumbe wa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu apokea maoni ya wakazi wa Ngorongoro

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa jana tarehe 25 Mei, 2022 amepokea mapendekezo kutoka kwa wananchi wa Tarafa za Loliondo, Ngorongoro na Sale kuhusu namna...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ni Profesa Hoseah tena TLS

  PROFESA Edward Hoseah kwa mara nyingine amechaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea) Ni...

Habari Mchanganyiko

BRELA watangaza operesheni maalum, kufuta kampuni 5,000

  WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni nchini (BRELA), imetangaza kusudio la kufanya operesheni endelevu ya kuzifuta kampuni zinazokiuka sheria, ambapo zaidi...

Habari Mchanganyiko

NMB yapiga tafu milioni 20 kinara wa ubunifu UDSM

BENKI ya NMB nchini Tanzania, imekabidhi mfano wa hundi ya Sh.20   milioni kwa kinara wa ubunifu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Huduma ya Teleza Kidigitali yazinduliwa Morogoro

BENKI ya NMB nchini Tanzania, imezindua huduma ya Teleza Kidigitali na NMB MshikoFasta yenye lengo la kumuwezesha mteja kufungua akaunti mara moja na...

Habari Mchanganyiko

Taasisi yaanzisha mafunzo kuwanoa wadau wa mawasiliano nchini

TAASISI mpya ya Mahusiano na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania (IPRT) imetangaza hatua kutoa mafunzo kuhusu mawasiliano ya kimkakati mahususi kwa watendaji wakuu,...

Habari Mchanganyiko

GGML yatoa msaada wa magari manne VETA Mwanza

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa msaada wa magari manne aina ya Toyota Land Cruiser kwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo...

Habari Mchanganyiko

Sauda awa mwanamke wa pili kuwa Naibu Gavana BoT

  RAIS wa Tanzania amemteua Sauda Kassim Msemo kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Bosi DAWASA ateuliwa NARCO

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Cyprian Luhemeja kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mulamula ashiriki mkutano wa Baraza la Mawaziri AU

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula ameshiriki Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje...

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa ubaguzi wa rangi

ZAIDI ya walimu 50 wenye asili ya Kiafrika kwenye shule ya Sekondari ya The Agha Khan Mzizima wamegoma kuingia darasani kufundisha wanafunzi kwa...

Habari Mchanganyiko

NMB yatenga bilioni 1 kusaidia wabunifu wachanga, Waziri apongeza

BENKI ya NMB nchini Tanzania imetenga kiasi Sh.1 bilioni kwa ajili ya kuwasaidia wabunifu wachanga waweze kuimarika na kuzifanya bunifu zao kuwa bora...

Habari Mchanganyiko

AngloGold Ashanti yaahidi kuendelea kuwekeza zaidi Tanzania

AFISA Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya AngloGold Ashanti, Dk. Alberto Calderon jana tarehe 23 Mei, 2022 amekutana na Rais Samia Suluhu Hassan na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Diwani CCM aliyetoweka akutwa kwa mwanamke akiwa amelewa

  DIWANI wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare (CCM), aliyetoweka tangu Februari 2022, amepatikana akiwa katika hali ya ulevi kwenye nyumba ya rafiki...

Habari Mchanganyiko

NMB Teleza Kidijitali yatua Arusha

KWA mara nyingine Benki ya NMB nchini Tanzania, katika kuendeleza ubunifu na kuwarahisishia huduma wateja wake, imekuja na mfumo mpya wa malipo ya...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim yaombwa kujitanua zaidi Kanda ya Ziwa

BENKI ya Exim Tanzania imeombwa kuangalia namna ya kujitanua zaidi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani katika mkoa wa Mwanza kwa kufungua...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NBC yakutana na wateja Mbeya, yatambulisha huduma mpya

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wadogo na wakubwa wa jijini Mbeya ili kujadili fursa za biashara, kutambulisha huduma...

Habari Mchanganyiko

DUWASA yajivunia miradi ya UVIKO-19 kufikia asilimia 81

  KAIMU Meneja Ufundi Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (DUWASA), Mhandisi Emmanuel Mwakabole amesema utekelezaji wa Mradi wa UVIKO-19...

error: Content is protected !!