Thursday , 2 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Makosa makubwa ya uhalifu yaongezeka nchini

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amesema jumla ya makosa makubwa 39,182 yameripotiwa katika vituo vya polisi katika kipindi cha...

Habari Mchanganyiko

Serikali yalipatia Jeshi la Polisi helkopta moja

  KATIKA utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya mwaka 2021/2022 Wizara ya Mambo, Serikali imelipatia jeshi la polisi helkopta moja kwaajili ya kutekeleza...

Habari Mchanganyiko

158,000 waomba ajira 17,000, Serikali yaongeza siku 4

  SERIKALI ya Tanzania imeongeza siku nne zaidi kwa waombaji wa ajira za ualimu na afya kutoka jana Jumatano tarehe 4 hadi 8...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro ataka wanaogoma kulipa hela ya ulinzi shirikishi wachukuliwe hatua

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, ameagiza wananchi wanaokataa kulipia huduma ya ulinzi shirikishi (Sungusungu), wachukuliwe hatua za kisheria kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata Panya Road: Masauni ampa siku saba IGP Sirro, mwenyewe ajitetea

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amempa siku saba Inspekta Jenerali wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, adhibiti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Ukinikuna vizuri nitakukuna na kukupapasa

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka waandishi wa habari nchini kuzingatia sheria na kufanya kazi kwa uungwana kwani wakimkorofisha hatowaacha. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari MchanganyikoTangulizi

NAPE: MSINITIE MAJARIBUNI

WAZIRI wa Habari Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amewaonya wanahabari wanaokiuka Sheria zilizopo katika utendaji kazi wao. Anaripoti mwandishi Wetu …...

Habari MchanganyikoTangulizi

TEF yaziomba Serikali Afrika kuziondolea karatasi tozo

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, ameziomba Serikali barani Afrika kuziondolea tozo karatasi za kuchapisha magazeti. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)...

Habari MchanganyikoTangulizi

Misa-Tanzania yabainisha changamoto 5

  TAASISI ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (Misa-Tanzania) limebainisha changamoto tano zinazokwaza tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa salamu za Eid

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatakia kheri ya Eid El Fitri Waislamu na Watanzania wote huku akiwataka kusherekea kwa amani na...

Habari MchanganyikoTangulizi

TUCTA wapendekeza kima cha chini cha mishahara kuwa Sh milioni 1

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limesema baada ya kufanya tafiti linapendekeza kiwango cha chini cha kumwezesha mfanyakazi kuishi kiwe Sh milioni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa matumaini nyongeza ya mishahara

RAIS Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa matumaini ya nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi nchini baada ya kuwadhibitishia kuwa atapandisha kima cha chini cha...

Habari Mchanganyiko

MEI MOSI – Waajiri walia mrundikano wa kodi

CHAMA cha Waajiri Tanzania (ATE) kimesema mrundikano wa kodi zinazotozwa na taasisi mbalimbali za Serikali, umesababisha waajiri kupunguza wafanyakazi. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Makamba atangaza masharti ununuzi nguzo za umeme ndani

WAZIRI wa Nishati, January Makamba, ameagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), liingie zabuni za ununuzi wa nguzo za kusambazia umeme kwa wakandarasi watakaokidhi...

Habari MchanganyikoTangulizi

LATRA yatangaza nauli mpya, daladala, mikoani

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza viwango vya nauli mpya za daladala na mabasi ya kwenda mikoani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Viwango...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mutunga wa Kenya azindua kitabu Tanzania

  JAJI Mkuu Mstaafu wa Kenya, Willy Mutunga amezindua kitabu chake alichokipa jina la ‘Beacons of Judiciary Transformation’ leo Ijumaa tarehe 29 Aprili...

Habari Mchanganyiko

Media Convergency, Meta waja na ‘NGOYaKidijitali’ kwa asasi za kiraia

KAMPUNI ya kidijitali ya Media Convergency kwa kushirikiana na kampuni ya Meta imezindua mpango wa kuwapatia mafunzo ya kidijitali Watanzania 1000 kutoka katika...

Habari Mchanganyiko

Wawili mbaroni tuhuma kuua madereva, kupora pikipiki

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili, kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya madereva wawili kisha...

Habari Mchanganyiko

Bilionea pekee Afrika Mashariki anatoka Tanzania

  KAMPUNI ya Utafiti ya New World Wealth na Henley, inayosaidia watu wenye thamani ya juu kupata makazi ,uraia kupitia uwekezaji, imeasema kuwa...

Habari Mchanganyiko

GF TRUCKS yafuturisha wadau na wafanyakazi, yatoa ujumbe

  WAISLAMU na wanajamii kwa ujumla wametakiwa kuutumia mwezi Mtukufu wa Ramadhani kubadili tabia kwa kutenda yaliyo mema na kuyaendeleza hata baada ya...

Habari Mchanganyiko

Prof. Hoseah aanika mafanikio aliyofanya TLS, aomba achaguliwe tena

  RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), anayetetea kiti chake, Profesa Edward Hoseah, amesema katika kipindi cha uongozi wake amefanikiwa kuimarisha...

Habari Mchanganyiko

Sungusia adai TLS imeshindwa kupeleka maoni bungeni kuhusu miswada

  MGOMBEA Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Harold Sungusia, amesema amejitosa katika kinyang’anyiro hicho, baada ya kuona chama hicho kimeshindwa...

Habari Mchanganyiko

Mtobesya aahidi kuimarisha uhuru wa TLS , kuondoa ukata

  MGOMBEA Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Jeremiah Mtobesya, ameahidi kuimarisha uhuru wa chama hicho pamoja na kuongeza mapato yake,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukata wateka mdahalo urais TLS

  CHANGAMOTO ya upungufu wa fedha inayokikumba Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), imeteka mdahalo wa wagombea urais wa chama hicho, uliofanyika leo...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar yafanya kikao na wananchi kujadili ‘panya road’

  KUFUATIA matukio ya wizi unaofanwa na vikundi vya vijana wenye umri wa miaka 14 mpaka 21 chanika jijini Dar es salaam, wakipita...

Habari Mchanganyiko

RC Makalla atoa onyo wizi miundombinu ya maji Dar

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amosi Makalla amekemea vikali wizi wa miundombinu ya maji ikiwemo mabomba na mita za maji...

Habari Mchanganyiko

Uzinduzi ‘Royal Tour’ kufunga barabara Arusha

MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongela, ametangaza kufungwa kwa baadhi ya barabara za katikati ya mji huo ili kutoa nafasi kwa wananchi...

Habari Mchanganyiko

SAG yaendeleza wema kwa yatima, yafuturu nao

  IKIWA  ni muendelezo wa kutenda mema Kampuni za Smart Africa Group (SAG) imefuturisha watoto yatima na waumini wengine kwenye mfungo wa mwezi...

Habari Mchanganyiko

TUICO wauburuza mahakamani uongozi Yacht Club madai udhalilishaji

CHAMA cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO) tawi la Dar es Salaam Yacht Club kimewafungulia shauri la...

Habari Mchanganyiko

SAG wafuturisha watoto yatima Mtambani

  KAMPUNI za Smart Africa Group (SAG) imetoa msaada wa vyakula na mafuta kwa ajili ya futari kwa watoto yatima wanaosoma kwenye shule...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia asamehe wafungwa 3,826

KATIKA kuadhimisha miaka 58 ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 26 Aprili, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan amesamehe wafungwa 3,826. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Kesi dhamana ya Wakili Madeleka: Mahakama yaipa Serikali siku tatu

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeipa Serikali siku tatu kuwasilisha kiapo kinzani katika kesi iliyofunguliwa na watetezi wa...

Habari Mchanganyiko

Kamati yaomba miradi ya maendeleo iliyozuiwa kurudishwa Ngorongoro

KAMATI ya kukusanya mapendekezo ya wananchi na wadau juu ya kumaliza mgogoro wa ardhi katika Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha, imeiomba Serikali irudishe...

Habari Mchanganyiko

Dangote kuzalisha sukari Tanzania

  BILIONEA wa Nigeria, Aliko Dangote, anatarajiwa kuanza uwekezaji katika sekta ya sukari nchini Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Mgodi wa Barrick wapigwa faini bilioni moja uchafuzi wa mazingira Mara

KAMPUNI ya Uchimbaji Mkubwa wa Madini ya Dhahabu wa Barrick kupitia mgodi wake wa Barrick North Mara umepigwa faini ya shilingi bilioni moja...

Habari Mchanganyiko

Vodacom, Smart Lab kutumia Mil 500 kuwapa shavu wajasiriamali

  KAMPUNI ya ya Mawasiliano ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania pamoja na Smart Lab imezindua mpango maalam wa kuwawezesha wajasiriamali wadogo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wanaohama Ngorongoro: Majaliwa atoa maagizo wizara 4

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka wizara ya maliasili na utalii kuendelea kusimamia kwa ukaribu na kuhakikisha shughuli za ujenzi katika...

Habari Mchanganyiko

NMB yafuturisha wabunge, Spika Tulia akunwa na mikopo maalum

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ameipongeza Benki ya NMB kwa hafla ya Iftari ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani iliyowaandalia...

Habari Mchanganyiko

Maandalizi sensa ya watu na makazi yamekamilika kwa asilimia 80

SERIKALI imesema Maandalizi ya Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti mwaka huu yamefikia hatua ya asilimia 80. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

TRC kufanya majaribio SGR Dar-Moro, yatahadharisha wananchi

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC), linatarajia kuanza majaribio ya mifumo ya umeme wenye ukubwa wa Volti 25,000, kwenye njia ya Reli ya Kisasa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watetezi haki za binadamu wafungua kesi ya dhamana kwa Madeleka

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), wamefungua kesi ya kuomba...

Habari Mchanganyiko

Rais Dk.Mwinyi: Mwalimu Nyerere alisisitiza umuhimu wa siasa kujenga uchumi

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amesema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alisisitiza umuhimu wa siasa katika kujenga uchumi unaojitegemea na matumizi...

Habari MchanganyikoTangulizi

MGOGORO KKKT: Siri zaidi zafichuka, Askofu Shoo, Malasula …

  KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Konde, limemtaka Msajili wa Jumuiya za Kiraia nchini, kuacha “kuingilia mambo ya ndani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchina ahukumiwa miaka 20 jela kwa kuwachapa wafanyakazi viboko

MAHAKAMA nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wa China kwa mashtaka ya mateso aliyowafanyia wanaume wanne aliokuwa akiwachapa huku wakiwa...

Habari Mchanganyiko

Familia Padri aliyefariki Dar, yafunguka

FAMILIA ya aliyekuwa Mkuu wa Wamisionari Afrika nchini Tanzania, Padri Francis Kangwa, imesema imepokea kifo chake kwa kuwa ni baraka na kwamba wanasherehekea...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa kesi 147 za rushwa waachiwa huru

  SERIKALI imesema watuhumiwa wa kesi 147 za rushwa wameachiwa huru baada ya kutopatikana na hatia katika kipindi cha mwaka mmoja. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yapanda kwa nafasi saba hali ya rushwa

TANZANIA imepanda imepanda kwa nafasi 7 katika vipimo vya nchi zenye rushwa kutoka nafasi ya 94 mwaka 2020 hadi nafasi ya 87 mwaka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Ruwa’ichi: Uchunguzi unaendelea kifo cha Padri Dar

ASKOFU Mkuu Yuda Thaddeus Ruwa’ichi, wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, amesema uchunguzi dhidi ya chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mkuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bashungwa amuagiza Makala kusitisha zuio la bajaji, bodaboda Dar

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

Habari Mchanganyiko

Wataka utafiti kubaini athari rushwa ya ngono kwa wanahabari

WADAU wa vyombo vya habari nchini Tanzania wameshauri utafiti ufanyike kuhusu hali ya unyanyasaji wa kingono mahali pa kazi, ili kujua ukubwa wa...

error: Content is protected !!