HABARI MCHANGANYIKO Serikali yaweka mikakati ya kudhibiti magugumaji Victoria May 19, 2025 Erasto Masalu KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, amesema kuwa Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha changamoto ya uwepo wa magugumaji katika ziwa Victoria inapatiwa ufumbuzi ili kuwezesha shughuli za kijamii ziweze…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu kutajwa tena Juni 2 May 19, 2025 Erasto Masalu MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeusisitiza upande wa Jamhuri kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kukamilisha upelelezi wa shauri hilo. Anaripoti…
HABARI MCHANGANYIKO Serikali: Punda wana haki kama wanyama wengine May 18, 2025 Erasto Masalu NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Abdul Mhinte, amesema kuwa punda ana haki kama ilivyo kwa wanyama wengine, ikiwa ni pamoja na haki ya kutolala njaa, kutopata…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO NBC yazindua kampeni ya “NBC Shambani’’ kwa wakulima wa Ufuta Lindi, Mtwara May 16, 2025 Erasto Masalu BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), imetambulisha kampeni yake ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ kwa wakulima wa zao la ufuta mkoa wa Lindi na Wilaya za Masasi na Nanyumbu mkoani…
HABARI MCHANGANYIKO Msajili Hazina: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa May 13, 2025 Erasto Masalu KATIKA jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa linalochomoza kwa kasi kiuchumi na kuvutia uwekezaji wa kimataifa.…
HABARI MCHANGANYIKO Polisi waeleza sababu za kumkamata Naibu Katibu Mkuu Chadema May 13, 2025 Erasto Masalu JESHI Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeleza sababu za kumkamata Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, Amani Golugwa. Anaripoti Joyce Ndeki, Dar es Salaam … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO Dk. Doriye awavisha vyeo vya kijeshi Maafisa 145 na askari 476 wa NCAA May 12, 2025 Erasto Masalu DK. Elirehema Doriye, Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) amewavisha vyeo vya kijeshi maafisa 145 na askari 476 wa mamlaka ya hifadhi ya eneo…
HABARI MCHANGANYIKO HABARI ZA AFYA Hospitali ya Mt. Joseph Peremiho yatoa nafuu mikoa ya Kusini May 12, 2025 Erasto Masalu WANANCHI wa mkoa wa Ruvuma na Mikoa ya jirani ya Njombe, Lindi na Mtwara, wametakiwa kutumia Hospitali ya Peramiho ili kupata huduma mbalimbali za afya kwakuwa hospitali hiyo ina watalaamu…
HABARI MCHANGANYIKO Wachimbaji Geita wampongeza Rais Samia May 12, 2025 Erasto Masalu WACHIMBAJI na wafanyabiashara wa madini wa mkoa wa Geita, wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia sekta ya madini katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake.…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO Meridianbet yaungana na Diwani wa Kata ya Africana kufanya usafi May 10, 2025 Erasto Masalu Ikiwa ni Jumamosi nyingine ya kijanja, wakali wa ubashiri Meridianbet leo hii wamefika Mbezi Africana pale Kituoni na kufanya zoezi la usafi. Lakini pia leo hii mitanange kibao inaendelea hivyo…