Thursday , 2 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Wataka utafiti kubaini athari rushwa ya ngono kwa wanahabari

WADAU wa vyombo vya habari nchini Tanzania wameshauri utafiti ufanyike kuhusu hali ya unyanyasaji wa kingono mahali pa kazi, ili kujua ukubwa wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG abaini ‘madudu’ kwenye majeshi

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) nchini Tanzania katika ukaguzi wake kwa mwaka 2020/21 amebaini udhaifu wa usimamizi, ufuatiliaji na ukiukwaji...

Habari Mchanganyiko

Sita wafariki dunia ajali iliyohusisha Noah na lori Arusha

  WATU sita (06) wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari Toyota Noah kugongana na lori aina ya scania katika...

Habari Mchanganyiko

‘Jambazi’ akiri kutumia ndumba kupora

  MTUHUMIWA wa ujambazi Mayala John (40) mkazi wa Kata ya Ludete, Katolo mkoani ameeleza mbinu ya uchawi wanayotumia kupora. Anaripoti Paul Kayanda,...

Habari Mchanganyiko

Ofisi ya Msajili aipiga ‘stop’ Umoja Party

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa ameagiza watu wanaofanya siasa kwa kutumia jina la Chama cha Umoja Party, kuacha kufanya shughuli hizo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha Padri Dar; Polisi wasema kuna dalili amejiua

SAKATA la kifo cha Padri Francis Kangwa (49) raia wa Zambia aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano...

Habari Mchanganyiko

COSTECH kumpiga jeki Kipanya, yalia wabunifu wengine kuingia mitini

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imeunga mkono ubunifu wa gari la umeme la Mwandishi wa habari na mchoraji vibonzo maarufu...

Habari Mchanganyiko

Simulizi kifo cha Padri Dar, Polisi wasema…

UTATA umeibuka juu ya kifo cha Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano, jijini Dar es Salaam, Padri Francis...

Habari Mchanganyiko

NMB yafuturisha Dar, Mufti Zubery atoa neno

  BENKI ya NMB nchini Tanzania, imefuturisha waumini wa Kiislamu jijini Dar es Salaam huku ikiwakumbusha kuutumia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufanya tafakari...

Habari Mchanganyiko

Bajeti TARURA ni pasua kichwa

LICHA ya kuongezewa bajeti hadi kufikia Sh. 900.45 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22, hadi kufikia Februari 2022, Wakala wa Barabara za Vijijini...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa maagizo kwa wenyeviti vijiji, vitongoji

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wenyeviti wa vijiji na vitongoji kutekeleza majukumu yao kwa uwazi, ikiwemo kuitisha mikutano ya wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango ataka kamati usuluhishi migogoro viongozi wa dini

  MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, ameshauri kamati za amani ziundwe kwa ajili ya kutatua migogoro inayoibuka katika nyumba za ibada. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Afrika Kusini yamshutumu Balozi wa Ukraine

AFRIKA Kusini imemshutumu Balozi wa Ukraine nchini humo, Liubov Abravitova kwa kutumia njia zisizo za kidiplomasia kuomba mazungumzo na Rais Cyril Ramaphosa. Hayo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia mgeni rasmi kilele Mei mosi Dodoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho siku ya wafanyakazi dunian (Mei mosi) yatakayofanyika...

Habari Mchanganyiko

Bajeti TARURA 2022/23 yaongezeka kwa bilioni 120

WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imetengewa bajeti ya kiasi cha Sh. 802.29 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, ikiwa...

Habari Mchanganyiko

TMA kutoa tuzo kwa waandishi wa habari

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA), inatarajia kutoa tuzo kwa waandishi wa habari bora wa taarifa za hali ya hewa pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Bajeti 2022/23 kutoa neema kwa wabunge, madiwani

MAKADIRIO ya Bajeti ya Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, kwa mwaka wa fedha 2022/23, yanatarajia kutoa neema kwa wabunge, kutokana na kuongezwa kwa...

Habari Mchanganyiko

TAMISEMI waomba bajeti ya Sh trilioni 8.77

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ya Ofisi ya Raia (TAMISEMI), imeliomba Bunge kuwaidhinishia bajeti yake kwa mwaka wa...

Habari Mchanganyiko

Wasafirishaji washauriwa kubana matumizi badala ya kupandisha nauli

BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA CCC), limeshauri wadau wa usafirsihaji kuziba mianya ya upotevu wa mapato ili...

Habari Mchanganyiko

Msanii Maunda Zorro afariki dunia

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Maunda Zorro amefariki dunia usiku wa jana Jumatano tarehe 13 Aprili 2022, kwa ajali ya gari. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kupanda kwa bei ya nauli kwaibua mvutano, wamiliki watishia kusitisha huduma

MVUTANO umeibuka katika kikao cha wadau cha kujadili bei mpya za nauli kilichoitishwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), baada ya Baraza...

Habari Mchanganyiko

UWADAR wataka nauli Dar iongozeke kwa Sh 400

UMOJA wa Usafirishaji Abiria Mkoa wa Dar es Salaam, umependekeza bei ya nauli ipande kwa Sh. 400, ili kukabiliana na ongezeko la gharama...

Habari Mchanganyiko

LATRA yaanza kupokea maoni nauli za mabasi

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imeanza kupokea maoni ya wadau juu ya nauli za mabasi, ili kutafuta nafuu ya changamoto ya upandaji...

Habari Mchanganyiko

URU wanyweshwa maji yenye matope, mradi uligharimu bilioni 2

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imethibitisha kuwa Mradi wa Maji wa Mang’ana uliotekelezwa kwa ajili ya kusambaza maji...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkandarasi aliyepewa kazi TPA ‘apiga cha juu’ bilioni 64

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini mkandarasi aliyepewa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG aanika mabilioni yalivyochotwa TPA na kutafunwa Mwanza, ataka yarejeshwe

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebaini kiasi cha Sh bilioni 22.64 kilichohamishwa kutoka makao makuu ya Mamlaka ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watano mbaroni kwa kukutwa na dawa za kulevya Uwanja wa Ndege Dar

WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Viwanja vya Ndege Tanzania, kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

CAG: Bil 18.5/- zilizokusanywa na KADCO hazikupelekwa TRA

KIASI cha Sh 18.5 bilioni zilizokusanywa na Kampuni ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) kama malipo ya tozo za kutumia...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi SGR Makutupora- Tabora kugharimu Sh 4.6 trilioni

  MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Makutupora-...

Habari Mchanganyiko

Reli ya kisasa Tabora-Kigoma yanukia

  SERIKALI imesema ipo mbioni kuanza utekelezaji wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Tabora hadi Kigoma na hatimaye kuiunganisha na nchi za...

Habari Mchanganyiko

Shekhe ahukumiwa kwa kumwagia mtu majimoto

  MAHAKAMA ya Wilaya imemhukumu Shekhe wa Mkoa wa Katavi, Mashaka Nassoro ‘Kakukulu’ kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh...

Habari Mchanganyiko

Treni ya umeme kutoka Dar es Salaam -Morogoro kujaribiwa

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema wiki ya mwisho ya mwezi Aprili, treni inayotumia umeme itatoka Dar es...

Habari Mchanganyiko

Manara amvaa Makonda

  SAKATA la aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kudai kuna makundi yanataka kumuua ama kumfikishwa mahakamani kwa matumizi...

Habari Mchanganyiko

Mama mbaroni kwa mauaji ya mwanaye

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia Latifa Bakari (33), mkazi wa Mabibo, kwa tuhuma za mauaji ya mtoto...

Habari Mchanganyiko

ACT Wazalendo wataka tume huru uchunguzi masoko kuungua moto

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali iunde tume huru itakayojumuisha wafanyabiashara wadogo ‘wamachinga’ kuchunguza vyanzo vya masoko kuungua moto. Pia kimesema tume hiyo...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo ataka Tanzania iwe na satelaiti yake

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter (CCM) ameshauri Serikali kufikiria kuwa na satelaiti yake kwaajili ya tafiti zake za masuala mbalimbali ya maendeleo....

Habari MchanganyikoTangulizi

Madiwani wamng’oa Meya Moshi, yeye aondoka kwa bodaboda

  HATIMAYE Bazara la Madiwani Manispaa ya Moshi Mjini Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania limemng’oa Meya wao, Juma Raibu kwa kumpigia kura ya...

Habari Mchanganyiko

LHRC yaonya uibukaji mauaji ya Albino

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimeonya juu ya uibukaji mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Albino’ na kuitaka...

Habari Mchanganyiko

Miradi ya ujenzi yawainua wanawake Ruvuma

KATIKA kuunga mkono kauli ya ‘Kazi iendelee’ iliyoasisiwa na Rais Samia Suluhu Hassan, wanawake kutoka mkoani Ruvuna wamejitosa katika kazi za ufundi ujenzi...

Habari Mchanganyiko

Ripoti LHRC 2021 yabaini matukio watu kupotezwa na ‘wasiojulikana’

RIPOTI ya Haki za Binadamu Tanzania ya 2021, iliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), imebaini uwepo wa matukio ya...

Habari Mchanganyiko

AZAKI wajinoa kutekeleza mapendekezo 187 ya UN

WADAU wa Asasi za Kiraia (AZAKI), wameandaa mpango mkakati wa utekelezaji mapendekezo 187 ya Umoja wa Mataifa (UN), ambayo Serikali ya Tanzania, imekubali...

Habari Mchanganyiko

Miradi ya Uviko-19 Ruvuma yafikia asilimia 52

  UTEKELEZAJI wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko-19, kupitia sekta ya maji vijijini mkoani Ruvuma nchini...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa mgeni rasmi miaka 100 ya Mwalimu Nyerere Butiama

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania, Balozi Pindi Chana amewaomba Watanzania kujitokeza katika maadhimisho ya kusherehekea miaka 100 ya Urithi wa...

Habari Mchanganyiko

NBC yaandaa futari kwa ajili ya wateja wake Zanzibar

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeandaa hafla ya futari kwa ajili ya wateja wake visiwani Zanzibar, huku Spika wa Baraza la Wawakilishi,...

Habari Mchanganyiko

Papa Francisco amteua Padri Pisa Askofu Jimbo la Lindi

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisco, amemteua Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino, Tawi la Arusha, Padre Wolfgang Pisa, kuwa Askofu...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ashinda tuzo ya Africa Road Builders – Babacar Ndiaye

RAIS Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa mshindi wa tuzo ya Africa Road Builders–Babacar Ndiaye Trophy kwa mwaka 2022. Tuzo hiyo inatolewa kwa watu...

Habari Mchanganyiko

Sensa kufanyika Agosti 23

SENSA ya Watu na Makazi ya 2022, imepangwa kufanyika siku ya Jumatatu, tarehe 23 Agosti 2022. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Tarehe...

Habari Mchanganyiko

Waandishi waiburuta Quality Group ya Manji kortini

  WAANDISHI wa habari nchini Tanzania waliokuwa waajiriwa katika Kampuni ya Quality Group Limited, wameiburuta kampuni hiyo mahakamani, wakishinikiza walipwe Sh.232 milioni. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia akaombe nafuu bei mafuta-Mbunge

MBUNGE WA Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu, amemshauri Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, afanye ziara katika nchi zinazozalisha mafuta, ili akaziombe ziuze nishati...

Habari Mchanganyiko

Meli kubwa yenye magari 4,041 yawasili Dar

  BANDARI ya Dar es Salaam nchini Tanzania,l imeweka rekodi nyingine kwa kupokea meli kubwa kuwahi kufika bandarini hapo ikiwa na shehena ya...

error: Content is protected !!