WADAU wa vyombo vya habari nchini Tanzania wameshauri utafiti ufanyike kuhusu hali ya unyanyasaji wa kingono mahali pa kazi, ili kujua ukubwa wa...
By Regina MkondeApril 20, 2022MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) nchini Tanzania katika ukaguzi wake kwa mwaka 2020/21 amebaini udhaifu wa usimamizi, ufuatiliaji na ukiukwaji...
By Masalu ErastoApril 20, 2022WATU sita (06) wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari Toyota Noah kugongana na lori aina ya scania katika...
By Mwandishi WetuApril 20, 2022MTUHUMIWA wa ujambazi Mayala John (40) mkazi wa Kata ya Ludete, Katolo mkoani ameeleza mbinu ya uchawi wanayotumia kupora. Anaripoti Paul Kayanda,...
By Mwandishi WetuApril 20, 2022OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa ameagiza watu wanaofanya siasa kwa kutumia jina la Chama cha Umoja Party, kuacha kufanya shughuli hizo...
By Gabriel MushiApril 19, 2022SAKATA la kifo cha Padri Francis Kangwa (49) raia wa Zambia aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano...
By Gabriel MushiApril 19, 2022TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imeunga mkono ubunifu wa gari la umeme la Mwandishi wa habari na mchoraji vibonzo maarufu...
By Gabriel MushiApril 18, 2022UTATA umeibuka juu ya kifo cha Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano, jijini Dar es Salaam, Padri Francis...
By Gabriel MushiApril 18, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania, imefuturisha waumini wa Kiislamu jijini Dar es Salaam huku ikiwakumbusha kuutumia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufanya tafakari...
By Mwandishi WetuApril 15, 2022LICHA ya kuongezewa bajeti hadi kufikia Sh. 900.45 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22, hadi kufikia Februari 2022, Wakala wa Barabara za Vijijini...
By Mwandishi WetuApril 14, 2022WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wenyeviti wa vijiji na vitongoji kutekeleza majukumu yao kwa uwazi, ikiwemo kuitisha mikutano ya wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiApril 14, 2022MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, ameshauri kamati za amani ziundwe kwa ajili ya kutatua migogoro inayoibuka katika nyumba za ibada. Anaripoti...
By Regina MkondeApril 14, 2022AFRIKA Kusini imemshutumu Balozi wa Ukraine nchini humo, Liubov Abravitova kwa kutumia njia zisizo za kidiplomasia kuomba mazungumzo na Rais Cyril Ramaphosa. Hayo...
By Gabriel MushiApril 14, 2022RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho siku ya wafanyakazi dunian (Mei mosi) yatakayofanyika...
By Gabriel MushiApril 14, 2022WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imetengewa bajeti ya kiasi cha Sh. 802.29 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, ikiwa...
By Gabriel MushiApril 14, 2022MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA), inatarajia kutoa tuzo kwa waandishi wa habari bora wa taarifa za hali ya hewa pamoja na...
By Gabriel MushiApril 14, 2022MAKADIRIO ya Bajeti ya Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, kwa mwaka wa fedha 2022/23, yanatarajia kutoa neema kwa wabunge, kutokana na kuongezwa kwa...
By Gabriel MushiApril 14, 2022Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ya Ofisi ya Raia (TAMISEMI), imeliomba Bunge kuwaidhinishia bajeti yake kwa mwaka wa...
By Gabriel MushiApril 14, 2022BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA CCC), limeshauri wadau wa usafirsihaji kuziba mianya ya upotevu wa mapato ili...
By Gabriel MushiApril 14, 2022MSANII wa muziki nchini Tanzania, Maunda Zorro amefariki dunia usiku wa jana Jumatano tarehe 13 Aprili 2022, kwa ajali ya gari. Anaripoti...
By Masalu ErastoApril 14, 2022MVUTANO umeibuka katika kikao cha wadau cha kujadili bei mpya za nauli kilichoitishwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), baada ya Baraza...
By Gabriel MushiApril 13, 2022UMOJA wa Usafirishaji Abiria Mkoa wa Dar es Salaam, umependekeza bei ya nauli ipande kwa Sh. 400, ili kukabiliana na ongezeko la gharama...
By Gabriel MushiApril 13, 2022MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imeanza kupokea maoni ya wadau juu ya nauli za mabasi, ili kutafuta nafuu ya changamoto ya upandaji...
By Gabriel MushiApril 13, 2022OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imethibitisha kuwa Mradi wa Maji wa Mang’ana uliotekelezwa kwa ajili ya kusambaza maji...
By Gabriel MushiApril 13, 2022OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini mkandarasi aliyepewa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya...
By Gabriel MushiApril 13, 2022OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebaini kiasi cha Sh bilioni 22.64 kilichohamishwa kutoka makao makuu ya Mamlaka ya...
By Gabriel MushiApril 13, 2022WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Viwanja vya Ndege Tanzania, kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiApril 12, 2022KIASI cha Sh 18.5 bilioni zilizokusanywa na Kampuni ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) kama malipo ya tozo za kutumia...
By Gabriel MushiApril 12, 2022MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Makutupora-...
By Mwandishi WetuApril 12, 2022SERIKALI imesema ipo mbioni kuanza utekelezaji wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Tabora hadi Kigoma na hatimaye kuiunganisha na nchi za...
By Mwandishi WetuApril 12, 2022MAHAKAMA ya Wilaya imemhukumu Shekhe wa Mkoa wa Katavi, Mashaka Nassoro ‘Kakukulu’ kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh...
By Mwandishi WetuApril 12, 2022MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema wiki ya mwisho ya mwezi Aprili, treni inayotumia umeme itatoka Dar es...
By Gabriel MushiApril 12, 2022SAKATA la aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kudai kuna makundi yanataka kumuua ama kumfikishwa mahakamani kwa matumizi...
By Mwandishi WetuApril 12, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia Latifa Bakari (33), mkazi wa Mabibo, kwa tuhuma za mauaji ya mtoto...
By Regina MkondeApril 12, 2022CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali iunde tume huru itakayojumuisha wafanyabiashara wadogo ‘wamachinga’ kuchunguza vyanzo vya masoko kuungua moto. Pia kimesema tume hiyo...
By Gabriel MushiApril 11, 2022MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter (CCM) ameshauri Serikali kufikiria kuwa na satelaiti yake kwaajili ya tafiti zake za masuala mbalimbali ya maendeleo....
By Gabriel MushiApril 11, 2022HATIMAYE Bazara la Madiwani Manispaa ya Moshi Mjini Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania limemng’oa Meya wao, Juma Raibu kwa kumpigia kura ya...
By Mwandishi WetuApril 11, 2022KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimeonya juu ya uibukaji mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Albino’ na kuitaka...
By Gabriel MushiApril 11, 2022KATIKA kuunga mkono kauli ya ‘Kazi iendelee’ iliyoasisiwa na Rais Samia Suluhu Hassan, wanawake kutoka mkoani Ruvuna wamejitosa katika kazi za ufundi ujenzi...
By Gabriel MushiApril 11, 2022RIPOTI ya Haki za Binadamu Tanzania ya 2021, iliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), imebaini uwepo wa matukio ya...
By Gabriel MushiApril 11, 2022WADAU wa Asasi za Kiraia (AZAKI), wameandaa mpango mkakati wa utekelezaji mapendekezo 187 ya Umoja wa Mataifa (UN), ambayo Serikali ya Tanzania, imekubali...
By Gabriel MushiApril 11, 2022UTEKELEZAJI wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko-19, kupitia sekta ya maji vijijini mkoani Ruvuma nchini...
By Mwandishi WetuApril 11, 2022WAZIRI wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania, Balozi Pindi Chana amewaomba Watanzania kujitokeza katika maadhimisho ya kusherehekea miaka 100 ya Urithi wa...
By Mwandishi WetuApril 11, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeandaa hafla ya futari kwa ajili ya wateja wake visiwani Zanzibar, huku Spika wa Baraza la Wawakilishi,...
By Gabriel MushiApril 10, 2022KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisco, amemteua Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino, Tawi la Arusha, Padre Wolfgang Pisa, kuwa Askofu...
By Gabriel MushiApril 9, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa mshindi wa tuzo ya Africa Road Builders–Babacar Ndiaye Trophy kwa mwaka 2022. Tuzo hiyo inatolewa kwa watu...
By Gabriel MushiApril 9, 2022SENSA ya Watu na Makazi ya 2022, imepangwa kufanyika siku ya Jumatatu, tarehe 23 Agosti 2022. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Tarehe...
By Regina MkondeApril 8, 2022WAANDISHI wa habari nchini Tanzania waliokuwa waajiriwa katika Kampuni ya Quality Group Limited, wameiburuta kampuni hiyo mahakamani, wakishinikiza walipwe Sh.232 milioni. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 8, 2022MBUNGE WA Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu, amemshauri Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, afanye ziara katika nchi zinazozalisha mafuta, ili akaziombe ziuze nishati...
By Mwandishi WetuApril 8, 2022BANDARI ya Dar es Salaam nchini Tanzania,l imeweka rekodi nyingine kwa kupokea meli kubwa kuwahi kufika bandarini hapo ikiwa na shehena ya...
By Mwandishi WetuApril 8, 2022