INSPEKTA Jenerali wa Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro leo Jumatano tarehe 6 Aprili 2022, ametangaza mabadiliko na uhamisho wa makamanda wa Polisi wa wakuu wa upelelezi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Mabadiliko hayo yametangazwa na David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Leave a comment