Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Bosi DAWASA ateuliwa NARCO
Habari Mchanganyiko

Bosi DAWASA ateuliwa NARCO

Mhandisi Cyprian Luhemeja
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Cyprian Luhemeja kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Utuuzi huo umetanagwa usiku wa jana Jumatano tarehe 25 Mei 2022 na Zuhura Yunus, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu akiwa Accra nchini Ghana ambako Rais Samia yuko huko kwa ziara ya kikazi ya siku tatu inayomalizika leo Alhamisi.

Mhandisi Luhemeja ni Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA).

Aidha, Rais Samia alimteua Macrise Mbodo kuwa Postmasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC).

Kabla ya uteuzi huo, Mbondo alikuwa Kaimu Postmasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!