Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Ni Profesa Hoseah tena TLS
Habari MchanganyikoTangulizi

Ni Profesa Hoseah tena TLS

Dk. Edward Hoseah, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)
Spread the love

 

PROFESA Edward Hoseah kwa mara nyingine amechaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea)

Ni katika uchaguzi mkuu uliofanyika leo Ijumaa tarehe 27 Mei 2022, ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC).

Profesa Hoseah aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) amewashinda mawakili wenzake aliokuwa akichuana nao, Harold Sungusia na Jeremiah Mtobesya.

Katika uchaguzi huo, Profesa Hoseah amepata kura 621, Mtobesya 145 na
Sungusia 380

Hii itakuwa awamu yake ya pili mfululizo kuongoza chama hicho cha wasomi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!