Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Ni Profesa Hoseah tena TLS
Habari MchanganyikoTangulizi

Ni Profesa Hoseah tena TLS

Dk. Edward Hoseah, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)
Spread the love

 

PROFESA Edward Hoseah kwa mara nyingine amechaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea)

Ni katika uchaguzi mkuu uliofanyika leo Ijumaa tarehe 27 Mei 2022, ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC).

Profesa Hoseah aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) amewashinda mawakili wenzake aliokuwa akichuana nao, Harold Sungusia na Jeremiah Mtobesya.

Katika uchaguzi huo, Profesa Hoseah amepata kura 621, Mtobesya 145 na
Sungusia 380

Hii itakuwa awamu yake ya pili mfululizo kuongoza chama hicho cha wasomi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NMB yakabidhi vifaa vya ujenzi, samani kwa shule ya msingi Sinyaulime, Chuo cha FDC Morogoro

Spread the loveBENKI ya NMB imekabidhi vifaa vya ujenzi kwa shule ya...

Habari Mchanganyiko

NMB Bonge la Mpango – ‘Moto Uleule’ yazinduliwa, Milioni 180…

Spread the loveMSIMU wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha utamaduni wa Kuweka...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awataka wahariri kufanya kazi bila uoga, upendeleo

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yasaini mkataba wa bilioni 55.2 kuchoronga miamba GGML

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika...

error: Content is protected !!