NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete amemtaka Mkuu wa Chuo cha Hali ya Hewa Tanzania, Peter Mlonganile kuhakikisha anabuni mbinu zaidi za kukitangaza...
By Gabriel MushiAugust 21, 2022WATENDAJI wa taasisi za umma na binafsi ambao wanatekeleza ajenda ya kuipeleka nchi katika uchumi wa kidijiti wametakiwa kushirikiana na kutekeleza jukumu hilo...
By Gabriel MushiAugust 21, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Mrema kilichotokea...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2022MWENYEKITI wa chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema (77) amefariki duninia leo tarehe 21 Agosti, 2022, saa 12.15 asubuhi, katika Hospitali ya Taifa...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kuwezesha vijana kufuga samaki kama njia ya kuwanufaisha na uchumi wa...
By Mwandishi WetuAugust 20, 2022KWA kutambua umuhimu wa walimu nchini na mchango wao katika mafanikio ya Benki ya NMB, taasisi hiyo kubwa kuliko zote za fedha nchini...
By Gabriel MushiAugust 20, 2022WAKATI baadhi ya wanajamii wakionesha kutokuwa na kumbukumbu kwa kilichotokea mwaka 2020 baada ya kuibuka kwa maradhi mapya ya UVIKO – 19 na...
By Gabriel MushiAugust 20, 2022WAKATI jirani zetu nchi ya Kenya wakimaliza uchaguzi wao , Ubora wa Katiba yao umetajwa kuwa sababu ya kutokuwa na machafuko licha...
By Faki SosiAugust 19, 2022WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Pindi Chana amesema kundi la tano la wakazi wa Ngorongoro takribani kaya zisizopungua 25 kwa sasa...
By Masalu ErastoAugust 19, 2022CHUO Cha Taifa Cha Utalii (NCT), kimejipanga kutoa mafunzo kwa wadau waliokwenye mnyororo wa utalii yatakayowezesha nchi kufikia malengo ya kuingiza watalii milioni...
By Gabriel MushiAugust 19, 2022Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza uharakishwaji wa mchakato wa matumizi ya lugha ya Kiswahili kupitishwa rasmi kama lugha ya nne itakayotumika katika nchi...
By Gabriel MushiAugust 18, 2022WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema ujenzi wa mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT II), Awamu ya Pili kutoka Mbagala...
By Gabriel MushiAugust 18, 2022HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia tarehe 23 Agosti, 2022 iwe siku ya mapumziko ili Watanzania wawepo majumbani na waweze kuwapokea makarani wa...
By Gabriel MushiAugust 18, 2022MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango ameziagiza mamlaka zinazoshuhulikia masuala maliasili na utalii kuondoa urasimu katika utoa wa vibali katika sekta hiyo. Anaripoti...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeahirisha zoezi la matengenezo kinga ya mfumo wa ununuzi wa umeme LUKU ambalo lingesababisha kusitishwa kwa huduma hiyo...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022MKUU wa mkoa wa Morogoro, Fatuma Mwasa, amesema mkoa wa Morogoro umepokea kiasi cha Sh111.5 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwa ajili...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa, (NEC) ya CCM, tikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ametembelea kijiwe cha Kahawa Lumumba kilichopo Tabora Mjini...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022MAOFISA wa vyombo vya ulinzi na usalama vinavyodhibiti masuala ya ukiukwaji wa haki za binadamu na ukatili wa kijinsia, wametakiwa kutafuta njia mbadala...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022NAIBU Waziri Uchukuzi, Atupele Mwakibete ametoa wiki mbili kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuhakikisha bandari mpya ya...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022MKUU wa Wilaya ya NachingweaHashim Komba akiwa na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kusini, Janeth Shango kwa pamoja wakizindua rasmi mpango...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022IMEELEZWA kuwa kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya Tunga – Mkwaja – Mkange yenye mrefu wa kilomita 95.2, ikiwemo kilometa 3.7 za mchepuo...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022KAMPUNI ya Pesapal Tanzania imepewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kufanya biashara nchini kama mtoa huduma wa mifumo ya malipo ya...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema mojawapo ya sababu ya baadhi ya Kampuni za teksi mtandaoni kusitisha huduma za usafiri wa magari...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya imesema Mbunge wa Kimilili, Didmus Barasa ataendelea kusota rumande kwa siku 10 zaidi kusubiri...
By Gabriel MushiAugust 17, 2022WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema kuwa Serikali inatarajia kuanza kuruhusu magari kupita juu ya daraja jipya la wami, lililopo...
By Gabriel MushiAugust 16, 2022BENKI ya Exim Tanzania imeadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwa hafla fupi iliyolenga kutambua jitihada na mchango wa wafanyakazi wa benki hiyo katika...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2022BENKI ya NMB imetoa msaada wa vitanda 80 vya ngazi mbili na magodoro 160 yenyewe thamani ya Sh 27 milioni kwa ajili ya...
By Gabriel MushiAugust 14, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza kuhusu adhma yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya michezo hapa nchini kwa kuunga mkono jitihada...
By Gabriel MushiAugust 14, 2022MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari TPA imesema ujenzi wa miundombinu bora ya Bandari yenye mitambo ya kisasa na sahihi ya kuhudumia meli na...
By Gabriel MushiAugust 13, 2022WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk. Dorothy Gwajima ameipongeza Benki ya NMB kwa kutenga fedha kwa ajili ya...
By Gabriel MushiAugust 13, 2022IMEELEZWA kuwa Soko la vyakula vya baharini na wanyamapori la Huanan lililopo katika mji wa Wuhan nchini China ndio kitovu cha mlipuko wa...
By Gabriel MushiAugust 13, 2022SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limetoa gawio kwa Serikali kiasi cha Sh 2.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/21 huku wakitarajia...
By Danson KaijageAugust 12, 2022VYOMBO vya habari vinahitaji sheria rafiki zinazolenga kuimarisha mazingira ya utendaji, kutunga sheria ngumu na kandamizi, huchangia kuua ustawi wa vyombo vya...
By Masalu ErastoAugust 12, 2022MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Philip Mpango ameagiza wizara ya Madini, STAMICO na NEMC kuongeza kasi ya ukaguzi...
By Danson KaijageAugust 12, 2022BENKI ya NMB imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kutoa mikopo kwa wadau katika mnyororo wa thamani wa sekta ya nishati nchini kwa lengo ...
By Gabriel MushiAugust 11, 2022KATIKA kufanikisha Ajenda 10/30 Kilimo ni Biashara Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Naliendele mkoani Mtwara kimefanikiwa kuongeza mnyororo wa thamani wa zao...
By Gabriel MushiAugust 11, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limewaonya Mashabiki wa Soka nchini watakaokwenda Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuAugust 11, 2022WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe, amewahakikishia wananchi kuwa hakutakuwa na uhaba wa mbolea kutokana na Serikali kutoa zuruku na kushusha bei ambazo...
By Masalu ErastoAugust 11, 2022MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Queen Sendiga amesema anatamani kuona mkoa wa Rukwa ukifanya mapinduzi makubwa katika sekta ya kilimo kiwe cha kibiashara...
By Gabriel MushiAugust 11, 2022WAJASIRIAMALI mkoani Morogoro wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwashika mkono wanawake wajasiriamali kwa kuihamasisha jamii kununua bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi ili...
By Gabriel MushiAugust 11, 2022BODI ya Pamba Tanzania imewataka wakulima kuongeza uzalishaji kwa kanda ya Mashariki na kuondokana na umaskini kutokana na kupanda kwa bei ya Pamba...
By Gabriel MushiAugust 11, 2022NAIBU Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amemtaka Mkandarasi anayejenga Barabara ya Kimara – Kibaha (Km 19.2), pamoja na Barabara za maingilio katika...
By Mwandishi WetuAugust 11, 2022BENKI ya NMB imeibuka kidedea katika taasisi za kibenki na kifedha kwenye maonesho ya Nanenane yaliyofanyika kitaifa 2022 mkoani Mbeya. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiAugust 10, 2022SERIKALI ya Oman imevutiwa kuwekeza katika madini ya viwandani na madini ya ujenzi nchini. AnaripotiMwandishi wetu … (endelea). Kauli hiyo, ameitoa Balozi wa...
By Gabriel MushiAugust 10, 2022WAZIRI wa Madini, Dotto Biteko amesema Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeingia kwenye kundi la wawekezaji baada ya kufanikiwa kukuza mtaji wake...
By Gabriel MushiAugust 10, 2022ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Methodius Kilaini amelaani kitendo cha klabu ya Simba kutumia msalaba kufanya dhihaka na kusema ni “dharau...
By Gabriel MushiAugust 9, 2022BENKI ya NMB imeweka adhma ya kuiboresha sekta ya kilimo nchini Tanzania kwa kutoa suluhisho bora na nafuu kwa shuguli za kilimo na...
By Gabriel MushiAugust 9, 2022MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema kwamba ushirikiano baina ya Wataalamu na watafiti mbalimbali, unahitajika hasa katika nyanja...
By Gabriel MushiAugust 9, 2022BENKI ya Exim Tanzania imejipanga kutumia vema uwepo wake mkoani Kigoma kuchochea ukuaji wa biashara baina ya Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,...
By Gabriel MushiAugust 9, 2022KUFUATIA ajali iliyopoteza maisha ya watu 20 wilayani Kahama, Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Leonard Nyandahu, ametaja majina...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2022