Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko NMB ‘Mwalimu Spesho’ yatua Nachingwea
Habari Mchanganyiko

NMB ‘Mwalimu Spesho’ yatua Nachingwea

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Hashim Komba (Wapili kushoto) pamoja na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kusini, Janeth Shango (wapili Kulia) wakizindua rasmi mpango wa NMB Mwalimu spesho kwa wilaya ya Nachingwea. Kulia ni Meneja mwandamizi wa Benki ya NMB kitengo cha wateja binafsi, Ally Ngingite
Spread the love

MKUU wa Wilaya ya NachingweaHashim Komba akiwa na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kusini, Janeth Shango kwa pamoja wakizindua rasmi mpango wa NMB Mwalimu spesho kwa wilaya ya Nachingwea. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Hashim Komba (Wapili kushoto) pamoja na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kusini, Janeth Shango (wapili Kulia) wakizindua rasmi mpango wa NMB Mwalimu spesho kwa wilaya ya Nachingwea. Kulia ni Meneja mwandamizi wa Benki ya NMB kitengo cha wateja binafsi, Ally Ngingite

Katika uzinduzi huoi, pia alikuwepo Meneja mwandamizi wa Benki ya NMB kitengo cha wateja binafsi, Ally Ngingite.

Mkuu wa wilaya ya Nachingwea, Hashim Komba (katikati) akikabidhi pikipiki kwa walimu wawili mara baada ya uzinduzi wa mpango wa NMB Mwalimu spesho kwa wilaya ya Nachingwea. Benki ya NMB itakuwa ikitoa mikopo ya pikipiki kwa walimu kuweza kuinua kipato chao katika mpango huo wa Mwalimu spesho. Nyuma ni maafisa kutoka Benki ya NMB.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!