Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko LHRC: Katiba ya Kenya iwe darasa Tanzania
Habari Mchanganyiko

LHRC: Katiba ya Kenya iwe darasa Tanzania

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga
Spread the love

 

WAKATI jirani zetu nchi ya Kenya wakimaliza uchaguzi wao , Ubora wa Katiba yao umetajwa kuwa sababu ya kutokuwa na machafuko licha ya changamoto zilizojitokeza. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea)

Hayo yamesemwa leo tarehe 19 Agosti 2022 na Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binaadamu nchini (LHRC) Anna Henga, wakati akizundua mpango maalum kuelekea siku ya Demokrasia Duniani tarehe 15 Septemba 2022.

Amesema kuwa licha ya Uchaguzi wa Kenya kuwa na changamoto lakini zimekuwa nafuu kwa kuwa wana katiba nzuri iliyoifanya tume kuwa huru na kuweza kupinga matokeo ya urais Mahakamani.

Amesema kuwa hatua hiyo kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania isingeweza kufikiwa kwa sababu hairuhusu asiyeridhishwa na uchaguzi kwenye hatua ya Urais kwenda Mahakamani kupinga.

“Uchaguzi wa Kenya ulikuwa na changamoto lakini ungekuwa mbaya zaidi kama wengekuwa na Katiba kama yetu,” amesema Henga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

error: Content is protected !!