Friday , 3 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

NBC kinara taasisi za fedha maonesho Nanenane

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imekamilisha ushiriki wake kwenye Maonesho ya Kilimo Nanenane yaliyokuwa yakifanyika katika Uwanja wa John Mwakangale mkoani Mbeya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mikoa yatakiwa kutenga maeneo makubwa ya kilimo

MIKOA yote nchini imeagizwa kutenga maeneo kwaajili ya kilimo kikubwa cha mazao ambayo yanayostawi katika mikoa hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Maagizo hayo yametolewa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtendaji Ruaha asimulia njama za kutaka kumuua zilivyopangwa

MTENDAJI wa tarafa ya Ruaha, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro, George Kayora, ameieleza mahakama jinsi baadhi ya viongozi  wa  ngazi ya kitongoji wilayani Ulanga,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Samia: Vijana njooni kwenye kilimo

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ametoa wito kwa vijana kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kutoka na fursa nyingi zilizopo na uboreshwaji...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apongeza TARI kwa tafiti bora

RAIS Samia Suluhu Hassan amewapongeza watafiti wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kwa kazi kubwa za utafiti wanazofanya ambazo zinakuza sekta...

Habari Mchanganyiko

TARI kuzalisha tani 1,400 za mbegu bora

TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), imesema katika mwaka 2022/23 kuhakikisha Ajenda 10/30 Kilimo ni Biashara inafanikiwa wanatarajia kuzalisha tani 1,400 za...

Habari Mchanganyiko

Mpogoro ahamasisha sensa

MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Edward Mpogoro amewahamasisha vijana katika wilaya hiyo kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi itakayofanyika...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji nyuki watakiwa kutumia zana za kisasa

WAFUGAJI wa Nyuki nchini wameshauriwa kutumia zana za kisasa katika ufugaji wa nyuki na kuandaa asali ili kupata bidhaa yenye ubora. Anaripoti Selemani...

Habari Mchanganyiko

Muarobaini kumuokoa mkulima na wadudu

MWALIMU wa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA Dar es Dar es Salaam Ally Issa amebuni dawa ya  asili ya ‘Lab Natural...

Habari MchanganyikoTangulizi

Samia: Mwelekeo wa elimu yetu ni kuwapa vijana ujuzi

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema maboresho ya Miundombinu yanayoendelea katika sekta ya elimu yanalenga kuhakikisha watoto wa...

Habari Mchanganyiko

Watanzania wahimizwa kutumia bidhaa zenye nembo ya TBS

MENEJA wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya kati, Nickonia Mwambuka amewataka watanzania kuhakikisha wanatumia bidhaa zenye nembo ya TBS kwa nia ya...

Habari Mchanganyiko

TIC kuendeleza utambuzi wa fursa za uwekezaji

WIZARA ya uwekezaji, viwanda na biashara kupitia Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC) imesema inaendelea na utambuzi wa fursa za uwekezaji, kutangaza fursa za...

Habari Mchanganyiko

Benki ya PBZ yajinasibu kumwaga mikopo kwa kada zote

BENKI ya watu wa Zanzibar PBZ ameeleza kuwa ni benki ambayo inajikita kuifikia jamii ya juu, kati na chini ili kuwawezesha kadiri ya...

Habari Mchanganyiko

Wakulima waaswa kutumia viuatilifu bora

WAKULIMA wametakiwa kuendelea kutumia viuatilifu vinavyosambazwa na kampuni ya Mogreen ili kupata tija katika mavuno yao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya … (endelea). Wito...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa kuongoza NMB Marathon 2022 Septemba 24

MSIMU wa pili wa mbio za hisani za NMB Marathon, zitakazofanyika tarehe 24 Septemba 2022 na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, umezinduliwa....

Habari Mchanganyiko

TARI wasisitiza matumizi mbegu bora ya mafuta

WATAFITI wa mazao ya mafuta kutoka vituo vya Taasisi ya Utafiti Kilimo Tanzania (TARI), wamesema ili kukabiliana na uhaba wa mafuta ya kula...

Habari Mchanganyiko

Wazazi, walezi watakiwa kuibua vipaji vya watoto

WAZAZI pamoja na walezi wameshauriwa kuwapatia watoto wao fursa ya kushiriki michezo mbalimbali ili kuibua vipaji vyao. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma… (endelea). Ushauri...

Habari Mchanganyiko

TTCL kushika soko la dunia

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limejinasibu kuwa kwa sasa linaweza kuingia katika ushindani wa kibiashara katika soko la kidunia. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Safari za SGR Dar – Mwanza kuanza Januari 2023

  TRENI ya reli ya kisasa (SGR) kutoka Dar es salaam kuelekea Mwanza zinatarajiwa kuanza kati ya Januari na Februari mwaka 2023. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Maonyesho Nanenane: Spika Tulia aitembelea NMB

SPIKA wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametembelea banda la Benki ya NMB katika maonesho ya Nanenane kwenye Viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya....

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Ma-DC tutaanza kutimuana tena

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hivi karibuni wakuu wa wilaya wataanza kutimuana tena kwa ajili ya usimamizi wa ujenzi wa madarasa 8000 ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML kwa kuwezesha wahandisi wanawake nchini

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inatambua mchango wa wahandisi wanawake nchini hivyo wajiandae kwa fursa na...

Habari Mchanganyiko

NICOL yazidi kupaa, yajipanga kuwekeza kwenye madini, gesi

KAMPUNI ya NICOL Investment (PLC), imeendelea kupata faida na hisa zake kuendelea kufanya vizuri katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE)....

HabariHabari Mchanganyiko

Kampuni ya NICOL yazidi kupaa, Hisa zake DSE hazikamatiki

  KAMPUNI ya NICOL Investment (PLC), imeendelea kupata faida na hisa zake kuendelea kufanya vizuri katika Soko la Hisa la Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

STAMICO wachimbaji wadogo wanakopesheka

SERIKALI imesema kuwa tayari imeongea na baadhi ya Taasisi za kifedha nchini  na kufikia makubaliano  juu ya kutoa mikopo kwa wachimbaji wadogo hali...

Habari Mchanganyiko

DC Mkuranga azindua Mwalimu Spesho

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga (DC), Mkoa wa Pwani, Khadija Nasri Ali amezindua Kongamano la ‘Mwalimu Spesho’ wilayani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Habari Mchanganyiko

Usiri thamani halisi ya ardhi yatajwa changamoto kwa wathamini

  ASILIMIA kubwa ya migogoro ya ardhi kwa upande wa uthamini unasabishwa na wahusika kushindwa kutambulisha mali zao kwa usahihi. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Mbarawa: Mikoa yote itaunganishwa kwa lami

  SERIKALI imepanga kufanya maendeleo katika maeneo mawili muhimu ya ujenzi na uchukuzi ikiwemo kuhakikisha inaunganisha makao makuu ya mikoa yote kwa barabara...

Habari Mchanganyiko

Wakulima watakiwa kuchangamkia fursa EAC

BODI ya nafaka na mazao mchanganyiko nchini imewataka wakulima na wafugaji kuendelea kuzalisha kwa bidii kwani soko la mazao bado ni kubwa katika...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia aipongeza  NBC kuinua sekta ya kilimo

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Tulia Ackson ameguswa na kupongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC)...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hatma mkataba TICTS Septemba

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema hatma ya mkataba Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS)  itajulikana mwezi Septemba mwaka...

Habari Mchanganyiko

Benki Exim yavutia wadau wa kilimo Nanenane

HUDUMA zinazotolewa na Benki ya Exim Tanzania kwa wadau wa sekta ya kilimo zimeendelea kuwavutia washiriki wengi wa Maonesho ya Kilimo Nanenane yanayofanyika...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataja mwarobaini wa kukuza sekta ya nishati

  IMEELEZWA kuwa ushirikiano, ubunifu, mbinu za kisasa kwenye usimamizi wa sekta ya nishati nchini utafanikisha sekta hiyo kuwa endelevu na salama. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bwege aalikwa kumpigia kampeni Raila Odinga

MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Selemani Said Bungara (Bwege) amealikwa nchini Kenya kumpigia kampeni mgombea wa Azimio la Umoja, Raila...

Habari Mchanganyiko

Wakili Ngole ajitosa ubunge Afrika Mashariki

WAKILI Mashaka Ngole amechukua fomu ya kuomba ridhaa kupitia Chama cha Wananchi (CUF) ili kimpitishe kuwa mgombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki...

Habari Mchanganyiko

Meya Mpanda azimwagia sifa Wizara, Tume Madini

MEYA wa Mpanda, Haidary Hemed ameipongeza Wizara ya Madini kwa uanzishwaji wa masoko ya madini nchini ambayo yamekuwa mkombozi wa wachimbaji wadogo wa...

Habari Mchanganyiko

TAKUKURU Temeke yapokea malalamiko 29 ya rushwa

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Temeke imepokea malalamiko 29 yanayohusisha vitendo vya rushwa kutoka katika maeneo tisa...

Habari Mchanganyiko

Watakaofanya ukatili wa kijinsia kutokupata dhamana

  WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu  imejipanga kuweka mkakati kwa wale wote wanaofanya ukatili wa watoto na wanawake...

Habari Mchanganyiko

Benki ya dunia wakagua maendeleo ya mradi wa Tanzania ya kidijitali

UJUMBE wa Benki ya Dunia jana tarehe 2 Agosti, 2022 umetembelea Ofisi za Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, zilizopo jijini...

Habari Mchanganyiko

GGML yatoa milioni 100 kudhibiti fisi wanaovamia wagonjwa Kasamwa

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetumia jumla ya Sh milioni 100 kujenga uzio katika kituo cha afya cha Kasamwa kilichopo mkoani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya mafuta yazidi kupaa tena

BEI ya mafuta imepanda tena mwezi huu na kuivuka ile ya Julai licha ya Serikali kuendelea kutoa ruzuku ya Sh bilioni 100 kwa...

Habari Mchanganyiko

TARI yataka wakulima wa miwa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti

KITUO cha Utafiti wa mbegu Tanzania (TARI) Kibaha kimewataka wakulima wa miwa kutumia aina nne za mbegu zilizotafitiwa ili kukabiliana na changamoto ya...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 571 kupanua kiwanda cha sukari Kilombero

KIASI cha shilingi bil. 571 zinatarajiwa kutumika katika upanuzi wa kiwanda cha sukari Kilombero, na kusaidia wakulima kuchakata zaidi ya tani milioni 1.5...

Habari Mchanganyiko

Bima ya Kilimo – NBC yawavutia wadau maonesho Nanenane

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendelea kung’ara kwenye Maonesho ya Kilimo Nanenane yanayofanyika katika Uwanja wa John Mwakangale mkoani Mbeya, huku huduma...

Habari Mchanganyiko

Ufadhili NMB wafikia trilioni 1.56 sekta ya kilimo

SERIKALI imezichagiza benki nchini kuwaongezea wakulima, wafugaji na wavuvi fursa za kukopa ili kuongeza uwekezaji kwenye sekta jumla ya kilimo ili kishamili na...

Habari Mchanganyiko

Miaka 50 ya STAMICO, miti 10,000 kupandwa

WAKATI Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), likianza maadhimisho ya miaka 50 tangu kuasisiwa kwake mwaka 1972, jumla ya miti 10,000 inatarajiwa kupandwa...

Habari Mchanganyiko

Uhuru wa habari uliopo una kasoro – Wakili Marenga

  WAKILI wa Kujitegemea, James Marenga amesema vyombo vya habari nchini Tanzania kwa sasa vinaweza kukosoa tofauti na miaka mitano ama sita iliyopita....

Habari Mchanganyiko

JWTZ: Hakuna wanajeshi Watanzania walioshikiliwa wala kuhusika na mauji DRC

  JESHI la Wananchi Tanzania (JWTZ) limesema hakuna walinda amani Watanzania wanaoshikiliwa wala kuhusika na mauji ya raia nchini DRC. Anaripoti Jonas Mushi,...

Habari Mchanganyiko

Wazalishaji mbogamboga, matunda kunufaika na soko Ulaya

  TANZANIA imejumuishwa kwenye orodha ya nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) zitakazonufaika na utekelezwaji wa Programu mpya ya Fit for Market...

Habari Mchanganyiko

Simanzi ajali ikiua watoto wa wafanyabiashara maarufu Arusha

  VIJANA wawili Estomi Temu na Nice Mawala wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 24, wamefariki dunia kwa ajali ya gari jijini Arusha...

error: Content is protected !!