Thursday , 23 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko DC Mkuranga azindua Mwalimu Spesho
Habari Mchanganyiko

DC Mkuranga azindua Mwalimu Spesho

Spread the love

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga (DC), Mkoa wa Pwani, Khadija Nasri Ali amezindua Kongamano la ‘Mwalimu Spesho’ wilayani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Khadija Nasri Ali (wa pili kushoto) Pamoja na Meneja wa NMB Tawi la Mkuranga, Peter Masaki (wanne Kulia), wakizindua kwa kongamano la ‘Mwalimu Spesho’ katika wilaya ya Mkuranga. Kulia ni Meneja Mwandamizi Kitengo cha wateja Binafsi wa Benki ya NMB, Ally Ngingite, Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Donatus Richard na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, Mwantum Mgonja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga mamilioni kuimarisha afya, elimu katika Kanda ya Kati

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada vifaa mbalimbali kwa sekta za...

Habari Mchanganyiko

Mwanamke afariki akifanya mapenzi kichakani

Spread the love  Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 37 anakabiliwa na...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya kuendeleza uchimbaji mdogo imetakiwa kushirikiana na serikali

Spread the love  KAMISHNA wa Madini Dk. AbdulRahman Mwanga ameitaka Taasisi ya...

Habari Mchanganyiko

Almasi inayozalishwa maabara yatajwa tishio jipya kwa nchi zinazozalisha madini hayo

Spread the love  KATIBU Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali amekabidhi rasmi...

error: Content is protected !!