Thursday , 2 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

RITA watakiwa kusaka kiini mwitikio mdogo kuandika wosia

KATIBU Mkuu wa Wizara Katiba na Sheria, Mary Makondo amewataka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kukusanya maoni kwa wananchi ili kutambua...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wambura, Kingai mabosi wapya Polisi, Sirro apelekwa Ubalozi

  RAIS wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, amemteuwa Camillus Mongoso Wambura, kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi nchini (IGP). Anachukua nafasi ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataja muarobaini wa ajira nchini

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Taasisi ya Elimu ya Juu nchini kutoa elimu itakayowezesha wahitimu kukubalika kwenye soko la ajira, anaripoti Faki Sosi...

Habari Mchanganyiko

RC Mtaka atoa siku 65 RUWASA kukabidhi mradi wa maji Mtera

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka, ametoa siku 65 kwa Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) kukabidhi...

Habari Mchanganyiko

Waziri Bashungwa awapa neno walimu kuchangamkia fursa NMB

SERIKALI ya Tanzania imewataka walimu kutumia fursa zinazotolewa na Benki ya NMB kujiwekea malengo binafsi na kujiendeleza ilikuboresha Hali ya maisha yao na...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wamkamata anayetuhumiwa kumuua mke

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Selemani Malima, anayetuhumiwa kwa mauaji ya mke wake, Husna Mjaliwa, kwa sababu ya...

Habari Mchanganyiko

Fedha za Uviko-19 kufikisha maji kwa wananchi milioni moja vijijini

WAKALA wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), umesema kufikia mwishoni mwa mwezi huu miradi maji 172 inayojengwa na fedha za...

Habari Mchanganyiko

Waomba wanahabari wapewe kinga, wawezeshwe kiuchumi

SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria zinazosimamia tasnia ya habari, yatakayowezesha wadau wake hususan waandishi wa habari,  kuwa huru kutekeleza majukumu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakili akina Mdee: Tupo hatua za mwisho kufungua kesi

WAKILI wa Halima Mdee na wenzake, Edson Kilatu, amesema wako katika hatua za mwisho za kufungua kesi ya wabunge hao viti maalum, kupinga...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kigogo Z’bar ataka mchakato Katiba mpya uendelee ulipoishia

NI Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi tu. Hivyo ndivyo unaweza kusema kutokana na walivyosema watoa maoni wengi waliofika mbele ya Kikosi Kazi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waziri Ummy: Ugonjwa wa homa ya mgunda unatibika

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema ugonjwa wa homa ya Mgunda uliogundulika huko Ruagwa mkoani Lindi unaweza kuzuilika na unatibika. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Ugonjwa wa ajabu Lindi ni homa ya Mgunda

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuwa upimaji wa sampuli za wagonjwa waliokuwa wakiugua Ugonjwa Usiojulikana katika Wilaya ya Ruangwa katika Mkoa wa...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene: GGM Kili challenge imesaidia mapambano ya kudhibiti UKIMWI

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema jitihada za Kampeni ya GGM Kili Chalenge pamoja...

Habari Mchanganyiko

NMB yatangaza neema mpya kwa wakulima, wavuvi na wafugaji

KWA mara ya kwanza sasa wakulima, wavuvi na wafugaji nchini Tanzania wanaweza kupata mikopo kutoka Benki ya NMB kwa ajili ya kuendeleza shughuli...

Habari Mchanganyiko

Urusi yaanza tena mashambulizi nchini Ukraine

Urusi jana tarehe 16 Julai, 2022 imeanzisha tena mashambulizi yake katika eneo la Donbass Mashariki mwa Ukraine baada ya mapumziko ya muda mfupi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata la Loliondo – Amnesty International wamuandikia barua nzito Samia

SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemuandikia barua Rais Samia Suluhu Hassan, kutaka kusitishwa kwa oparesheni ya kuweka alama za...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim yakamilisha umiliki FNB, yapokea wateja wapya

BENKI ya Exim Tanzania imetangaza rasmi kuinunua iliyokuwa Benki ya FNB Tanzania ikiwa ni muendelezo wa mkakati wa benki hiyo kujitanua zaidi ndani...

Habari Mchanganyiko

EWURA yateta na Wahariri, “ruzuku bilioni 100 imepunguza maumivu”

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema, uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kutoa ruzuku ya shilingi bilioni 100...

Habari Mchanganyiko

NMB yaipatia mabati 200 Zahanati ya Kwemakame

BENKI ya NMB imetoa msaada wa mabati 200 kwenye Zahanati ya Kwemakame iliyopo wilayani Lushoto Mkoani Tanga yenye thamani ya shilingi milioni 7,100,000...

Habari Mchanganyiko

TARURA yaleta faraja kwa wananchi Momba

WANANCHI Wilayani Momba, Songwe wanefarijika baada ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kukamilisha maandalizi ya ujenzi wa daraja la muda...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene azindua harambee GGM Kili challenge 2022, aahidi ushirikiano

WAZIRI wa Nchi- Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) George Simbachawene amezindua harambee ya uchangiaji wa Kampeni ya GGM Kili Challenge...

Habari Mchanganyiko

Wachungaji waliofukuzwa EAGT wapewa masharti

  KANISA la Evangelism Asembless of God (EAGT) imetoa miezi mitatu kuanzia leo tarehe 16 Julai mwaka huu kwa Mchungaji yeyote atakayetaka kurejea...

Habari Mchanganyiko

TBL yaadhimisha siku ya wakulima, kuboresha mnyororo wa thamani

  KAMPUNI ya Bia ya Tanzania Breweries Limited (TBL) ikishirikiana na wadau wa kilimo wameadhimisha siku ya wakulima wa shayiri mwaka 2022 yaliyofanyika...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji wadogo Ulanga wapigwa msasa matumizi ya baruti

  OFISI ya Tume ya Madini Mahenge imeendesha mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini wanaoendesha shughuli zao katika Wilaya ya Ulanga ili kuwajengea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jaji Mkuu awataka mahakimu wajitenge na siasa

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewataka mahakimu wasijihusishe na masuala ya siasa, kwani yamepigwa marufuku na Ibara ya 113 A...

Habari Mchanganyiko

DUWASA yaita wananchi Ntyuka kuunganishiwa maji kwa mkopo

  MKUU wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Pendo Mkali amewataka wananchi wa...

Habari Mchanganyiko

Jenerali Mabeyo: Ukichanja damu yangu ni Jeshi

  MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF) Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo, amesema licha ya kustaafu jeshini, lakini bado moyo wake ni...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 18 za TARURA kuleta shangwe kwa Mbeya

  WANANCHI Mkoani Mbeya wanatarajia kunufaika na kiasi cha shilingi bilioni 18.2, pesa zilizotengwa kutekeleza miradi mbalimbali ya barabara na madaraja. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

GGML wang’ara maonesho sabasaba, waibuka muajiri bora

KAMPUNI ya Geita Gold Mine Limited (GGML), imeendelea kung’ara baada ya kuibuka mshindi katika Maonyesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara – Dar...

Habari Mchanganyiko

TEF yataka kasi mchakato marekebisho ya sheria za habari

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeiomba Serikali iongeze kasi katika utekelezaji wa mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia tasnia ya habari, ili...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wazuia bomoabomoa, Polisi yawatawanya kwa mabomu ya machozi

  JESHI la Polisi jijini Dodoma limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wakazi wa Muhuji mtaa wa relini waliokuwa wamelikamata gari lililotumika kuwabeba...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

TANTRADE yatakiwa kujiwekea malengo, kutoa elimu masoko

  MAMLAKA ya Biashara Tanzania (TANTRADE) imetakiwa kujiwekea malengo kwa kila maonyesho na baadae kufanya tathimini ya kufanikiwa au tutofanikiwa. Anaripoti Jonas Mushi...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 37 zatumika kiwanja cha ndege cha Songea

NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete kukamilika kwa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea uliogharimu takribani shilingi bilioni 37 kutawezesha ndege sita...

Habari Mchanganyiko

NMB yakabidhi mashine za malipo wizara ya utalii Z’bar

BENKI ya NMB katika kuhakikisha sekta ya utalii visiwani Zanzibar inaimarika, imetimiza ahadi yake kwa kukabidhi vitendea kazi vitakavyosaidia kudhibiti ukusanyaji mapato katika...

Habari Mchanganyiko

Watano wafa ajalini Simiyu

WATU watano wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa  katika ajali iliyohusisha magari madogo mawili, iliyotokea eneo la Magereza nje kidogo ya mji na...

Habari Mchanganyiko

Wawekezaji wafumbua macho elimu ya wawekezaji

  ELIMU ya Mlipa kodi inayotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefumbua macho wawekezaji ambayo imewavutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Gesi asilia kuchochea ukuaji wa uchumi mikoa ya kusini

IMEELEZWA kuwa utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata Gesi Asilia kuwa Kimiminika (LNG), katika mikoa ya Kusini mwa Tanzania utachochea ukuaji wa uchumi, maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 14/-kujenga maktaba ya kisasa MNMA

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amezindua na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la Maktaba la Chuo cha...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim yakabidhi madawati 100 Tabora

BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 mkoani Tabora ikiwa ni mwendelezo wa...

Habari Mchanganyiko

SERIKALI yaitaka Costech kufanya mapitio ya sheria

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imetakiwa kufanya mapitio ya sheria na sera zilizopo ili kuhakikisha bunifu zinazozalishwa nchini zinatatua changamoto...

Habari Mchanganyiko

Watano wa familia moja wafa ajali iliyoua wanane Kagera

  WATU watano wa familia moja wamefariki dunia katika ajali iliyosababisha vifo vya watu wanane baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 570 kunufaisha wanafunzi 205,000

SERIKALI imesema katika mwaka fedha 2022/2023 itoa Sh. bilioni 573 kwa wanafunzi 205,000 wa elimu ya juu. Aidha Wizara hiyo imeunda timu ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mbaroni akituhumiwa kumuua ‘house girl’, kuficha mwili stoo

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Selemani Haruna (24),  kwa tuhuma za kumuuwa mfanyakazi za ndani, Editha Charles, kisha...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa habari wakabidhi kwa AG mapendekezo mabadiliko sheria

WADAU wa tasnia ya habari nchini Tanzania, wamemkabidhi Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Eliezer Feleshi, mapendekezo yao kuhusu marekebisho ya sheria kandamizi....

Habari Mchanganyiko

TRA yawavuta wawekezaji nchini

SERA za Mamlaka ya Mapato nchini TRA imetajwa kuwa chachu ya ongezeko la wawekezaji nchini baada ya elimu kwa mlipa kodi kuwafikia wengi...

Habari Mchanganyiko

Dk. Tulia atoa somo mkutano wa Mabunge ya SADC

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, amezitaka nchi za SADC kuweka nguvu kubwa katika kuhakikisha wananchi wake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mmoja wa pacha waliotenganishwa Muhimbili afariki

SIMANZI. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mmoja wa pacha waliotenganishwa Muhimbili, Neema kufariki dunia Jumapili tarehe 10 Julai, 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Neema...

Habari MchanganyikoTangulizi

Samia athibitisha uwepo ugonjwa wa kuvuja damu puani na kuanguka

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika mikoa ya kusini mwa Tanzania kumeibuka ugonjwa wa ajabu ambapo watu wengi mfululizo wanavuja damu puani na...

Habari Mchanganyiko

Wanahabari watakiwa kuwafichua ndugu wanaofanya ukatili kwa watoto

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Tanzania (THRDC), umewataka waandishi wa habari kuibua matukio ya ukatili wa kijinsia hasusani kwa...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Dunia yampongeza Samia kurejesha shule wanafunzi wajawazito

BENKI ya DUNIA (WB) imeahidi kuendelea kutoa msaada kwa Serikali ya Tanzania baada ya kushuhudia utekelezaji wa mradi uliowarejesha zaidi ya watoto 3000...

error: Content is protected !!