KATIBU Mkuu wa Wizara Katiba na Sheria, Mary Makondo amewataka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kukusanya maoni kwa wananchi ili kutambua...
By Gabriel MushiJuly 20, 2022RAIS wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, amemteuwa Camillus Mongoso Wambura, kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi nchini (IGP). Anachukua nafasi ya...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Taasisi ya Elimu ya Juu nchini kutoa elimu itakayowezesha wahitimu kukubalika kwenye soko la ajira, anaripoti Faki Sosi...
By Gabriel MushiJuly 19, 2022MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka, ametoa siku 65 kwa Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) kukabidhi...
By Gabriel MushiJuly 19, 2022SERIKALI ya Tanzania imewataka walimu kutumia fursa zinazotolewa na Benki ya NMB kujiwekea malengo binafsi na kujiendeleza ilikuboresha Hali ya maisha yao na...
By Gabriel MushiJuly 19, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Selemani Malima, anayetuhumiwa kwa mauaji ya mke wake, Husna Mjaliwa, kwa sababu ya...
By Gabriel MushiJuly 19, 2022WAKALA wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), umesema kufikia mwishoni mwa mwezi huu miradi maji 172 inayojengwa na fedha za...
By Gabriel MushiJuly 19, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria zinazosimamia tasnia ya habari, yatakayowezesha wadau wake hususan waandishi wa habari, kuwa huru kutekeleza majukumu...
By Gabriel MushiJuly 19, 2022WAKILI wa Halima Mdee na wenzake, Edson Kilatu, amesema wako katika hatua za mwisho za kufungua kesi ya wabunge hao viti maalum, kupinga...
By Gabriel MushiJuly 19, 2022NI Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi tu. Hivyo ndivyo unaweza kusema kutokana na walivyosema watoa maoni wengi waliofika mbele ya Kikosi Kazi...
By Gabriel MushiJuly 19, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema ugonjwa wa homa ya Mgunda uliogundulika huko Ruagwa mkoani Lindi unaweza kuzuilika na unatibika. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Gabriel MushiJuly 18, 2022WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuwa upimaji wa sampuli za wagonjwa waliokuwa wakiugua Ugonjwa Usiojulikana katika Wilaya ya Ruangwa katika Mkoa wa...
By Gabriel MushiJuly 18, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema jitihada za Kampeni ya GGM Kili Chalenge pamoja...
By Gabriel MushiJuly 18, 2022KWA mara ya kwanza sasa wakulima, wavuvi na wafugaji nchini Tanzania wanaweza kupata mikopo kutoka Benki ya NMB kwa ajili ya kuendeleza shughuli...
By Gabriel MushiJuly 18, 2022Urusi jana tarehe 16 Julai, 2022 imeanzisha tena mashambulizi yake katika eneo la Donbass Mashariki mwa Ukraine baada ya mapumziko ya muda mfupi...
By Gabriel MushiJuly 17, 2022SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemuandikia barua Rais Samia Suluhu Hassan, kutaka kusitishwa kwa oparesheni ya kuweka alama za...
By Gabriel MushiJuly 17, 2022BENKI ya Exim Tanzania imetangaza rasmi kuinunua iliyokuwa Benki ya FNB Tanzania ikiwa ni muendelezo wa mkakati wa benki hiyo kujitanua zaidi ndani...
By Gabriel MushiJuly 17, 2022MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema, uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kutoa ruzuku ya shilingi bilioni 100...
By Gabriel MushiJuly 17, 2022BENKI ya NMB imetoa msaada wa mabati 200 kwenye Zahanati ya Kwemakame iliyopo wilayani Lushoto Mkoani Tanga yenye thamani ya shilingi milioni 7,100,000...
By Gabriel MushiJuly 16, 2022WANANCHI Wilayani Momba, Songwe wanefarijika baada ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kukamilisha maandalizi ya ujenzi wa daraja la muda...
By Gabriel MushiJuly 16, 2022WAZIRI wa Nchi- Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) George Simbachawene amezindua harambee ya uchangiaji wa Kampeni ya GGM Kili Challenge...
By Gabriel MushiJuly 16, 2022KANISA la Evangelism Asembless of God (EAGT) imetoa miezi mitatu kuanzia leo tarehe 16 Julai mwaka huu kwa Mchungaji yeyote atakayetaka kurejea...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2022KAMPUNI ya Bia ya Tanzania Breweries Limited (TBL) ikishirikiana na wadau wa kilimo wameadhimisha siku ya wakulima wa shayiri mwaka 2022 yaliyofanyika...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2022OFISI ya Tume ya Madini Mahenge imeendesha mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini wanaoendesha shughuli zao katika Wilaya ya Ulanga ili kuwajengea...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2022JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewataka mahakimu wasijihusishe na masuala ya siasa, kwani yamepigwa marufuku na Ibara ya 113 A...
By Regina MkondeJuly 16, 2022MKUU wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Pendo Mkali amewataka wananchi wa...
By Danson KaijageJuly 16, 2022MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF) Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo, amesema licha ya kustaafu jeshini, lakini bado moyo wake ni...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2022WANANCHI Mkoani Mbeya wanatarajia kunufaika na kiasi cha shilingi bilioni 18.2, pesa zilizotengwa kutekeleza miradi mbalimbali ya barabara na madaraja. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2022KAMPUNI ya Geita Gold Mine Limited (GGML), imeendelea kung’ara baada ya kuibuka mshindi katika Maonyesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara – Dar...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2022JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeiomba Serikali iongeze kasi katika utekelezaji wa mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia tasnia ya habari, ili...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2022JESHI la Polisi jijini Dodoma limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wakazi wa Muhuji mtaa wa relini waliokuwa wamelikamata gari lililotumika kuwabeba...
By Danson KaijageJuly 14, 2022MAMLAKA ya Biashara Tanzania (TANTRADE) imetakiwa kujiwekea malengo kwa kila maonyesho na baadae kufanya tathimini ya kufanikiwa au tutofanikiwa. Anaripoti Jonas Mushi...
By Jonas MushiJuly 13, 2022NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete kukamilika kwa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea uliogharimu takribani shilingi bilioni 37 kutawezesha ndege sita...
By Gabriel MushiJuly 13, 2022BENKI ya NMB katika kuhakikisha sekta ya utalii visiwani Zanzibar inaimarika, imetimiza ahadi yake kwa kukabidhi vitendea kazi vitakavyosaidia kudhibiti ukusanyaji mapato katika...
By Gabriel MushiJuly 13, 2022WATU watano wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari madogo mawili, iliyotokea eneo la Magereza nje kidogo ya mji na...
By Gabriel MushiJuly 13, 2022ELIMU ya Mlipa kodi inayotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefumbua macho wawekezaji ambayo imewavutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 13, 2022IMEELEZWA kuwa utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata Gesi Asilia kuwa Kimiminika (LNG), katika mikoa ya Kusini mwa Tanzania utachochea ukuaji wa uchumi, maendeleo...
By Gabriel MushiJuly 13, 2022WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amezindua na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la Maktaba la Chuo cha...
By Gabriel MushiJuly 13, 2022BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 mkoani Tabora ikiwa ni mwendelezo wa...
By Gabriel MushiJuly 12, 2022TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imetakiwa kufanya mapitio ya sheria na sera zilizopo ili kuhakikisha bunifu zinazozalishwa nchini zinatatua changamoto...
By Gabriel MushiJuly 12, 2022WATU watano wa familia moja wamefariki dunia katika ajali iliyosababisha vifo vya watu wanane baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso...
By Mwandishi WetuJuly 12, 2022SERIKALI imesema katika mwaka fedha 2022/2023 itoa Sh. bilioni 573 kwa wanafunzi 205,000 wa elimu ya juu. Aidha Wizara hiyo imeunda timu ya...
By Gabriel MushiJuly 12, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Selemani Haruna (24), kwa tuhuma za kumuuwa mfanyakazi za ndani, Editha Charles, kisha...
By Gabriel MushiJuly 12, 2022WADAU wa tasnia ya habari nchini Tanzania, wamemkabidhi Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Eliezer Feleshi, mapendekezo yao kuhusu marekebisho ya sheria kandamizi....
By Gabriel MushiJuly 12, 2022SERA za Mamlaka ya Mapato nchini TRA imetajwa kuwa chachu ya ongezeko la wawekezaji nchini baada ya elimu kwa mlipa kodi kuwafikia wengi...
By Gabriel MushiJuly 12, 2022SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, amezitaka nchi za SADC kuweka nguvu kubwa katika kuhakikisha wananchi wake...
By Gabriel MushiJuly 12, 2022SIMANZI. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mmoja wa pacha waliotenganishwa Muhimbili, Neema kufariki dunia Jumapili tarehe 10 Julai, 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Neema...
By Gabriel MushiJuly 12, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika mikoa ya kusini mwa Tanzania kumeibuka ugonjwa wa ajabu ambapo watu wengi mfululizo wanavuja damu puani na...
By Gabriel MushiJuly 12, 2022MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Tanzania (THRDC), umewataka waandishi wa habari kuibua matukio ya ukatili wa kijinsia hasusani kwa...
By Mwandishi WetuJuly 12, 2022BENKI ya DUNIA (WB) imeahidi kuendelea kutoa msaada kwa Serikali ya Tanzania baada ya kushuhudia utekelezaji wa mradi uliowarejesha zaidi ya watoto 3000...
By Gabriel MushiJuly 11, 2022