Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Kigogo Z’bar ataka mchakato Katiba mpya uendelee ulipoishia
Habari MchanganyikoTangulizi

Kigogo Z’bar ataka mchakato Katiba mpya uendelee ulipoishia

Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Abdulhamid Yahya Mzee
Spread the love

NI Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi tu. Hivyo ndivyo unaweza kusema kutokana na walivyosema watoa maoni wengi waliofika mbele ya Kikosi Kazi cha Rais Samia Suluhu Hassan cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vya siasa. Anaripoti Selemani Msuya … (endelea)

Katika Kikosi hicho, viongozi waandamizi wa kisiasa na kiutendaji, wamepita na kushauri mchakato wa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, ufanyike mapema kabla ya uchaguzi wa mwaka 2025.

Baadhi ya waliotoa maoni kuhusu Katiba na Tume Huru ni Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, Mwenyekiti mstaafu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, asasi za kiraia na wadau wengine.

Mahitaji ya Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, yameendele’a kutawala na kupata msisitizo mkubwa, ambapo jana, Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Abdulhamid Yahya Mzee alitaka mchakato wa Katiba Mpya uendelee ulipoishia. Kusoma habari hii kwa kina jipatie gazeti lako la RAIA MWEMA leo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

error: Content is protected !!