SPIKA wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametembelea banda la Benki ya NMB katika maonesho ya Nanenane kwenye Viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Maonesho hayo yalianza Agosti 1, 2022 na yatahitimishwa Jumatatu Agosti 8, 2022 kwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuyafunga.
Leave a comment