Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Maonyesho Nanenane: Spika Tulia aitembelea NMB
Habari Mchanganyiko

Maonyesho Nanenane: Spika Tulia aitembelea NMB

Spread the love

SPIKA wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametembelea banda la Benki ya NMB katika maonesho ya Nanenane kwenye Viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson (kulia) akifurahia jambo na mkuu wa idara ya kilimo Biashara wa benki ya NMB, Isaac Masusu (kushoto) alipotembelea banda la benki hiyo katika maonesho ya Nanenane kwenye Viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya. Katikati ni meneja wa kanda ya Nyanda za juu wa Benki ya NMB, Straton Chilongola.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson (kulia) akipokelewa na mkuu wa idara ya kilimo Biashara wa benki ya NMB, Isaac Masusu (wapili kulia) alipotembelea banda la benki hiyo katika maonesho ya Nanenane kwenye Viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya. Katikati ni Naibu waziri wa kilimo, Anthony Mavunde na wapili kulia ni meneja wa kanda ya Nyanda za juu wa Benki ya NMB, Straton Chilongola.

Maonesho hayo yalianza Agosti 1, 2022 na yatahitimishwa Jumatatu Agosti 8, 2022 kwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuyafunga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

GGML yasisitiza kuendelea kuimarisha afya za wafanyakazi

Spread the loveKAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited kwa kushirikiana na kampuni...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

error: Content is protected !!