Thursday , 2 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Qatar kushirikiana sekta ya afya

KATIKA jitihada za kutafuta fursa mbalimbali za ajira kwenye sekta ya afya, ujumbe wa Tanzania uliopo ziarani nchini Qatar umekutana na kufanya mazungumzo...

Habari Mchanganyiko

NMB yapongeza ushirikiano wa Jeshi la Polisi

SERIKALI ya Tanzania imelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendelea kusimamia usalama na ulinzi wa taifa jukumu ambalo Benki ya NMB imesema limechangia kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi yamwachia kwa dhamana Ofisa wa TRC aliyefukuzwa kazi

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam leo Jumatano tarehe 31, 2022, limemwachia kwa dhamana laiyekuwa Ofisa wa Shirika la Reli...

Habari Mchanganyiko

Mawakala wa ajira binafsi wa Tanzania, Qatar wajadili fursa za ajira

MAWAKALA wa ajira katika sekta binafsi nchini Tanzania wamekutana na kujadili fursa za ajira na Mawakala wenzao wa ajira binafsi wa Qatar, Jijini...

Habari Mchanganyiko

Ujumbe wa Serikali ya Tanzania waendelea na ziara nchini Qatar

UJUMBE wa Serikali ya Tanzania unaoongozwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Jamal...

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua ATM kubadili fedha uwanja wa KIA

BENKI ya NMB imezindua mashine ya kutolea fedha (Automated Teller Machine – ATM) ya kwanza katika Uwanja wa Ndege ya Kimataifa ya Kilimanjaro...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyeporwa ‘Range’ na Makonda alipuka, amtaja mtoto wa Malecela, amuangukia Samia

MFANYABIASHARA Patrick Christopher Kamwelwe mkazi wa New York nchini Marekani ameshusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Doreen apokea watoto 3 wa Mrema wa nje ya ndoa

  MJANE wa Marehemu Agustino Mrema amesema hadi sasa ameshapokea watoto watatu wa nje ya ndoa wa mume wake ambao walikuwa hawajapokewa na...

Habari Mchanganyiko

Tume haki za Binadamu Pakistan yapinga sheria mpya ya ndoa

TUME ya Haki za Kibinadamu nchini Pakistani (HRCP) imepinga hatua ya serikali nchini humo ya kuingiza tamko la imani ya Kiislam katika fomu...

Habari Mchanganyiko

GGML watoa magodoro 50 kwa Kituo cha Wazee Bukumbi

KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali kuwajali na kuboresha maisha ya wazee nchini, Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu Geita (GGML) imetoa msaada...

Habari Mchanganyiko

Huu hapa mchakato wa uteuzi wa majaji nchini

  JAJI mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amesema mitandao ya kijamii haitoi taarifa sahihi kuhusu namna au utaratibu ambao wanautumia kupata majaji...

Habari Mchanganyiko

Kurekebisha tabia, haki za wafungwa kipaumbele magereza

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamadi Masauni amesema upo umuhimu wa kutenganisha shughuli za msingi za magereza na zile shughuli za...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake wakwaa kisiki mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wataendelea kusota gerezani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Mkoa...

Habari Mchanganyiko

NMB kushiriki Tamasha la Kizimkazi

BENKI ya NMB ni miongoni mwa taasisi zilishiriki uzinduzi wa Tamasha Kubwa la Kizimkazi, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Habari Mchanganyiko

Mongella apongeza UNDP  kufadhili mradi wa uhifadhi

MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amezindua mradi wa uhifadhi wa mazingira kwa kutumia maarifa ya asili ambao  utatekelezwa na Shirika la...

Habari Mchanganyiko

NMB yaufadhili mfumo wa Diaspora

BENKI ya NMB na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wamesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ambapo NMB itafadhili Matengenezo...

Habari Mchanganyiko

Mikoa 5 Bara, Visiwani kupigwa msasa kujikinga na UVIKO-19

MASHIRIKA mbalimbali ya maendeleo ya kimataifa yameungana kuendesha mafunzo maalumu juu ya matumizi bora ya vyombo vya habari kuhamasisha umma wa Watanzania kujikinga...

Habari Mchanganyiko

Makongoro ataka ‘macho’ Mirerani, Biteko amjibu

MKUU wa mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere ameitaka Serikali kurejesha watu maalumu wa kufuatilia mienendo ya mauzo ya madini ya Tanzanite maarufu kama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kavishe bilionea mpya wa Tanzanite- Mirerani

  MJI mdogo wa Mirerani uliopo katika wilaya Simanjiro mkoani Manyara umeongeza bilione mpya wa madini ya Tanzanite baada ya mchimbaji mdogo Anselim...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mjane wa Mrema aonja joto ya jiwe

MKE wa marehemu Augustine Mrema, mwanasisasa mashuhuri nchini aliyefariki dunia 21 Agosti na kuzikwa juzi Alahmisi, Doreen Kimbi Mrema, ameanza kuonja joto ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyefukuzwa kazi kwa kukosoa tozo akamatwa

TAARIFA zilizotufikia hivi punde Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limemkamata aliyekuwa Meneja wa TRC mkoa wa Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yabadilisha namba za malipo ya ankara

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imetangaza kuanza rasmi kutumia mfumo wa malipo ya Serikali kuanzia malipo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ateua Mkurugezi STAMICO, wenyeviti 8 wa bodi

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti nane wa Bodi za Mazao na Taasisi zinazosimamiwa na Wizara ya Kilimo pamoja na Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Mazishi ya Mrema, familia yaaswa, aibu kugombana

  MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti wa TLP, Agustino Mrema umezikwa jana kijijini kwake Kiraracha- Marangu mkoani Kilimanjaro huku viongozi wa dini na wanasiasa...

Habari MchanganyikoTangulizi

TWAWEZA: Tozo imewagawa wananchi

  MATOKEO ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA kati ya tarehe 18 Juni na 12 Julai 2022 kwa wahojiwa 3,000 waliopigiwa simu,...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wampa tano Samia uboreshaji huduma za kijamii

  MATOKEO ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA kati ya tarehe 18 Juni na 12 Julai 2022 kwa wahojiwa 3,000 waliopigiwa simu,...

Habari Mchanganyiko

Utafiti Twaweza: Uchumi tatizo kubwa linalosumbua kaya

  MATOKEO ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA kati ya tarehe 18 Juni na 12 Julai 2022 kwa wahojiwa 3,000 waliopigiwa simu,...

Habari Mchanganyiko

JKT yafungua dirisha la maombi ya mafunzo kwa vijana

  JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limefungua dirisha la maombi kwa vijana wa Kitanzania kujitolea kujiunga na mafunzo ya Jeshi hilo kuanza mchakato...

Habari Mchanganyiko

Abiria kiwanja cha ndege Songwe waongezeka

ABIRIA wanaotumia Kiwanja cha Ndege cha Songwe wameripotiwa kuongezeka kutoka abiria 69,000 kwa mwaka 2020/2021 hadi 85,000 kwa mwaka 2021/22 ikiwa ni matokeo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtuhumiwa ufisadi atinga TAKUKURU na gari la Jeshi

MKURUGENZI Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko, anayekabiliwa na tuhuma za ufisadi, ametinga ofisi za Taasisi...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaja na mpango kufuga nyuki kisasa

Serikali inatarajia kuanzisha mpango wa ufugaji nyuki ujulikanao kama Manzuki ambapo nyuki watakuwa wanafugwa katika eneo maalum bila kuathiri uhifadhi. Anaripoti Urumasalu Kisung’uda,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mawakili kumtetea bure kigogo TRC, aliyetimuliwa kazi

MAWAKILI kadhaa wamejitokeza kumtetea kisheria aliyekuwa Meneja wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Kanda ya Dar es Salaam, Jonas Afumwisye iwapo atahitaji msaada...

Habari Mchanganyiko

Changamoto ilivyopelekea fursa ya ugunduzi wa internet

UGUNDUZI wa internet ulisababishwa na changamoto inayofanana sana na wakati huu ambao dunia inapitia sasa. Kwa kifupi unaweza kusema kwamba ukubwa wa changamoto...

Habari Mchanganyiko

DC Muro: Muda wa mahojiano changamoto kwenye sensa

MKUU wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Jerry Muro ameitaja changamoto inayolikabili zoezi la sensa ya watu na makazi katika wilaya hiyo kuwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aongoza waombolezaji kumuaga Mrema

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameongoza mamia ya waombolezaji kuuga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askari mbaroni kwa kumtesa aliyetuhumiwa kuiba simu

JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema linamshikilia askari aliyehusika katika tukio la kumpiga mtuhumiwa tukio ambalo lilionekana katika video iliyosambaa kwenye kitandao ya...

Habari Mchanganyiko

Kituo cha watoto yatima chafanya dua maalum kwa Samia

KITUO cha  kulelea watoto yatima na waishio kwenye mazingira magumu cha Mwana Orphan Islamic kilichopo Kata ya Vigunguti Wilaya ya Ilala, Mkoa wa...

HabariHabari Mchanganyiko

Shirika la Camillians lapata Mafratel wapya, waweka nadhiri ya kwanza

VIJANA watatu wa Kitanzania, wamefanikiwa kujiunga na Shirika la Kanisa Katoliki la Wahudumu wa Wagonjwa (Camillians) Tanzania na kuweka nadhiri zao za  kwanza....

Habari MchanganyikoTangulizi

Wahadzabe wapewa nyama, wakubali kuhesabiwa

HATIMAYE jamii ya kabila la Wahadzabe leo tarehe 23 Agosti, 2022 wamekubali kuhesabiwa baada ya kupatiwa nyama pori na matunda kama walivyokuwa wameomba...

Habari Mchanganyiko

Samia ahesabiwa, “maswali sio magumu”

RAIS Samia Suluhu Hassan amekuwa miongoni mwa Watanzania waliohesabiwa katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi iliyoanza saa 6:01 usiku wa leo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Makinda: Asilimia 15 ya kaya zitafikiwa leo

KAMISHNA wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022, Anne Makinda amesema iwapo makarani wa sensa wakifanya kazi yao kwa ufanisi na uharaka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyeondolewa kesi ya ugaidi adaiwa kutekwa kweupe

WAKATI masikio ya Watanzania yakiwa yamepumzika kusikia taarifa za kutekwa au kuuawa raia na watu wasiojulikana, matukio hayo yanaanza kurejea taratibu. Tukio la...

Habari Mchanganyiko

NMB yaimwagia msaada Machinga Dar

BENKI ya NMB nchini Tanzania imetoa msaada wa  viti 15, meza 10, kabati moja pamoja na viti vya wageni viwili kwa Shirikisho la...

Habari Mchanganyiko

Warioba: Mrema alijua kuchagua maneno ya kuzungumza, ni mwanamageuzi

  WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema atamkumbuka marehemu Agustino Mrema kama moja ya wanasiasa mahiri waliojua kuchagua maneno sahihi ya kuzungumza...

Habari Mchanganyiko

Simulizi baba wa binti aliyefariki Canada inasikitisha

  HATIMAYE Baba yake Hellen Kemunto, binti muuguzi raia wa Kenya aliyefariki wiki iliyopita nchini Canada, amejitokeza kuelezea maisha ya mwanaye. Binti huyo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee Mrema kuzikwa Alhamisi

  MWILI wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Agustino Lyatonga Mrema unatarajiwa kuzikwa Alhamisi tarehe 25 Agosti, 2022 nyumbani kwake...

Habari Mchanganyiko

Utalii wa picha waongeza wanyama, watalii

UTALII wa picha unaofanywa na Kampuni ya EBN Hunting Safari umewezesha wanyama katika eneo la Jumuiya ya Wahifadhi Wanyamapori (WMA) Buringe wilayani Babati...

Habari Mchanganyiko

Shaka akagua mnada wa mifugo Igunga

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ametembelea na kukagua mnada wa mifugo Igunga ambao...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 50 kupanua kiwanja cha ndege Kigoma

JUMLA ya Sh bilioni 50 zinatarajiwa kutumika katika upanuzi wa Kiwanja cha Ndege Kigoma kwa kurefusha barabara ya kuruka na kutua ndege kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Profesa Moshi ampa darasa la uchumi Dk. Mwigulu

MHADHIRI wa uchumi kutoka Chuo kikuu caha Dar Es Salaam, Profesa Humphrey Moshi, amemtaka waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba pamoja...

error: Content is protected !!