ELIMU HABARI MCHANGANYIKO TCU yaongeza siku nne za udahili October 3, 2025 Erasto Masalu TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kuongeza muda wa udahili kwa mwaka wa masomo 2025/2026 kwa kuweka awamu ya tatu na yamwisho anayotarajiwa kufunguliwa tarehe 6 Oktoba , na…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO Masawe ateuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa TPSF October 3, 2025 Erasto Masalu DEOGRATIUS Massawe ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Sekta binafsi nchini – The Tanzania Private Sector Federation (TPSF). Anaripoti Mwandishi Wetu, dar es Salaam … (endelea). Taarifa iliyotolewa na Rais…
HABARI MCHANGANYIKO Ahukumiwa kunyongwa mpaka kufa kwa kumuua dada wa kazi October 3, 2025 Erasto Masalu MAHAKAMA Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemhukumu Suleiman Kwata adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya makusudi dhidi ya Editha Charles, mfanyakazi…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Vurugu zawang’oa vigogo DART/UDART October 2, 2025 Erasto Masalu RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wapya kuongoza taasisi zinazohusika na uendeshaji wa huduma ya mabasi yaendayo haraka nchini UDART. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Watatu wakamatwa vurugu mwendo kasi October 2, 2025 Erasto Masalu JESHI la polisini jijini Dar es Salaam, limewakata watu watatu kufuatia vurugu zilizozuka baada ya watu wasiojulikana kushambulia mabasi yaendayo haraka maarufu kama mwendokasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…
HABARI MCHANGANYIKO Tanesco, wadau wakutana kujadili mikakati ya kulinda vyanzo vya maji Bwawa na Nyerere September 27, 2025 Erasto Masalu SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limekutana na wadau mbalimbali kutoka taasisi za serikali, Uongozi wa Mkoa wa Morogoro, pamoja na wataalam wa mazingira, maji na nishati, kujadili vihatarishi na mikakati…
HABARI MCHANGANYIKO Baba Mzazi wa Askofu Bagonza kuzikwa leo September 27, 2025 Erasto Masalu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara, John Heche, ameingia mjini Nyakahanga, wilayani Karagwe, mkoani Kagera, kuhudhuria mazishi ya Benjamin Jacob Bagonza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kagera…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA Polisi Kigoma waanza uchunguzi ukusanyaji wa vitambulisho vya kura September 27, 2025 Erasto Masalu JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma limetoa taarifa kwa umma likieleza kuwa linafanya uchunguzi wa tuhuma zinazowahusisha baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wanaodaiwa kuhusika katika kukusanya na kuandikisha…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO Meridianbet yatoa vifaa kinga kwa watu wenye ulemavu wa ngozi September 26, 2025 Erasto Masalu KATIKA kuendeleza dhamira yake ya kuwajibika kwa jamii, Meridianbet imefanya zoezi maalum la kugawa vifaa kinga kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), ikiwa ni hatua ya kuwalinda dhidi ya…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Hukumu rufaa kesi ya Nyundo na wenzake leo September 25, 2025 Erasto Masalu MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dodoma, leo tarehe 25 Septemba 2025, inatarajiwa kufanyia maamuzi rufaa ya Clinton Damas (Nyundo) na wenzake watatu, waliohukumiwa kifungo cha maisha gerezani. Anaripoti Zakia Nanga, Dodoma…