BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) tawi la Mwanza imetoa msaada wa mifuko ya saruji 200 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika...
By Gabriel MushiOctober 12, 2022BENKI ya Exim Tanzania imetambulisha huduma yake mpya ya kibenki isiyo na mipaka kati ya Tanzania na Comoro inayolenga kutoa miamala ya gharama...
By Gabriel MushiOctober 12, 2022WAJASIRIAMALI nchini wanatakiwa kuwa na bima za biashara ili wanapopatwa na majanga mbalimbali yakiwemo moto,ugonjwa waweze kufidiwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2022INAELEZWA kuwa takribani watu 33,000 hufariki dunia nchini Tanzania kutokana na magonjwa ya mfumo wa hewa yanayosababishwa na matumizi ya nishati chafu za...
By Jonas MushiOctober 12, 2022WATAHINIWA 95,166 kati ya 142,522, sawa na asilimia 66.7, waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya kiislam wa darasa la saba, unaosimamiwa na...
By Gabriel MushiOctober 12, 2022NAIBU Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amemtaka Mkandarasi Reynolds Construction Company Nigeria ltd, anayejenga kwa kiwango cha lami barabara ya Kidatu-Ifakara yenye...
By Gabriel MushiOctober 12, 2022SERIKALI imesema inaendelea kutekeleza mikakati itakayosaidia kutimiza ndoto za Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere ili kuimarisha ustawi wa wananchi na maendeleo...
By Gabriel MushiOctober 12, 2022JINAMIZI la ajali limeendelea kuandama mkoa wa Mbeya baada ya watu watano kufariki dunia na wengine 28 kujeruhiwa baada ya gari aina ya...
By Gabriel MushiOctober 11, 2022WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezitaka Jumuiya ya Kimataifa na Washirika wa Masuala ya kibinadamu kusaidia mchakato wa...
By Gabriel MushiOctober 11, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma, kuanzia tarehe 16 hadi 19, Oktoba mwaka huu. Anaripoti...
By Gabriel MushiOctober 11, 2022MWENYEKITI wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema tangu kuanzishwa kwa Tume hiyo, sekta ya madini imeendelea kuimarika kutokana na mafanikio yaliyopatikana...
By Gabriel MushiOctober 11, 2022WATU watatu akiwemo mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja wakazi wa kijiji cha Rushungi wilayani Kilwa mkoani Lindi wamefariki dunia baada ya kula...
By Gabriel MushiOctober 11, 2022UFANISI mkubwa wa kiutendaji ambao Benki ya NMB imeupata miaka ya hivi karibuni umeiwezesha taasisi hiyo kinara wa huduma za kifedha nchini kuimarika...
By Gabriel MushiOctober 10, 2022KATIKA mwendelezo wa kuadhimisha mwezi wa huduma kwa wateja, wafanyakazi sita wa Benki ya NMB jana wameanza safari ya siku saba ya kupanda...
By Gabriel MushiOctober 10, 2022Katika kuunga mkono ukuaji wa fani mbalimbali nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imejitosa kudhamini mkutano mkuu wa mwaka wa wanajiolojia...
By Mwandishi WetuOctober 7, 2022MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema imebaini matumizi ya namba za magari ambazo hazijatolewa na mamlaka hiyo au taasisi nyingine ya Serikali....
By Mwandishi WetuOctober 7, 2022KATIKA kutekeleza mpango wa kulinda mazingirapamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali kuifanyaTanzania kuwa nchi ya viwanda ifikapo 2025, Kampuniya Geita Gold Mining Limited (GGML) imenunua nakusimika mtambo wenye thamani ya Sh bilioni mojakwa ajili ya kuchenjua kaboni ‘makinikia’ yanayotokanana shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo inaifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza napekee katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kuwana mtambo huo kwani hapo awali kampuni hiyo ilikuwainafuata huduma hiyo Afrika Kusini. Hayo yamebainishwa hivi karibuni katika ziara yaWaziri wa Madini, Dotto Biteko ambaye alitembeleakampuni hiyo mkoani Geita kwa lengo la kujuamaendeleo ya GGML baada ya kuanza shughuli zauchimbaji wa chini ya ardhi katika migodi yake mitatu. Akimkaribisha waziri huyo, Makamu Rais waAngloGold Ashanti anayeshughulikia Miradi endelevukwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayoalisema mradi huo utaongeza mapato kwa serikali nakampuni hiyo kwa ujumla. “Mradi huu wa kuchenjua mabaki ya kaboniunatusaidia kuhakikisha hatuyatupi mabaki yadhahabu na mabaki yenye asili ya hewa ukaayanayoingia kwenye mazingira … kwa sababu dunianzima ipo kwenye mapambano ya kupunguza hewaukaa,” alisema. Aidha, akizungumzia mradi huo, Dk. Biteko alisemaawali kaboni zilizokuwa zinazalishwa kwenye migodiiliyopo nchini zilikuwa zinasafirishwa kwenda nje yanchi. “Tulizuia watu wakadhani tunafanya kitu kibaya, sasaGGML wameweka mtambo mpya ambao umegharimush bilioni moja kwa ajili kuprocess upya kaboni zadhahabu na kupata dhahabu safi badala ya kusafirishaile kaboni kupeleka nje ya nchi,” alisema. Alisema mbali na manufaa ya mapato ambayo nchiinapata, pia watu wengi wameajiriwa kwenye mtambohuo na kuondokana na umaskini. “Lakini pili teknolojia ya kaboni hizi ambazozinazalishwa kwenye migodi mingine zitakuwazinafanyiwa processing hapa nchini hasa ikizingatiwaile kaboni ina dhahabu....
By Gabriel MushiOctober 7, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s) kufungua akaunti zao katika benki zilizopo nchini kama vile NMB ili...
By Gabriel MushiOctober 6, 2022KATIBU Tawala wa Mkoa wa Geita, Profesa Godius Kahyarara amewahamasisha wachimbaji wadogo wa madini mkoani humo kujiunga na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2022BENKI ya Exim Tanzania imeungana na watoa huduma duniani kusherehekea wiki ya Huduma kwa Wateja huku ikiahidi kuendelea kuwa karibu zaidi na wateja...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2022BEI ya mafuta ya petroli imeendelea kushuka kwa miezi miwili mfululizo baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji kutangaza bei mpya...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2022NAIBU Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa ameshiriki Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Madini Afrika uliondaliwa na Umoja wa Afrika na kufanyika...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania, imemhakikishia Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob Nkunda, udhamini endelevu wa Mashindano ya Gofu ya...
By Gabriel MushiOctober 3, 2022WAZIRI wa Madini Dk. Dotto Biteko ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa kinu cha kupoza umeme (substation) kinachojengwa na Kampuni ya Geita...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2022WAZIRI wa Madini, Dk. Dotto Biteko amesema Kampuni ya Uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) ndiyo kampuni uchimbaji inayoongoza Tanzania na Afrika kwa...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2022WAZIRI wa Madini Dk. Doto Biteko ameyataka makampuni mbalimbali hapa nchini kuwa na desturi ya kujitoa kusaidia Uchangiaji wa Damu Salama hospitalini kama...
By Gabriel MushiOctober 2, 2022SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) kwa kushirikiana na Kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Buckreef Gold wametoa elimu kuhusu uchimbaji wa madini na...
By Gabriel MushiOctober 1, 2022WAZIRI wa Nishati, January Makamba, ameshiriki katika warsha ya viongozi iliyofanyika kwenye mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia (Liquefied Natural Gas Plant...
By Mwandishi WetuOctober 1, 2022MABALOZI wa mkaa mbadala wa Rafiki Briquette kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) wamekuwa kivutio katika Maonesho ya Kitaifa ya Teknolojia...
By Mwandishi WetuOctober 1, 2022MKUU wa wilaya ya Nyang’wale, Jamhuri William amesema uongozi wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGM) umewatoa kimasomaso Serikali ya mkoa wa...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2022WIZARA ya maji, nishati na madini Zanzibar imeipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini na Tume ya Madini kwa usimamizi mzuri wa...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2022NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo ametoa wito kwa wachimbaji wadogo wa madini kuchangamkia mitambo na vifaa vinavyosambazwa na Kampuni...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2022Waziri wa Katiba na Sheria, Damas Ndumbaro, ameeleza umuhimu wa Chama cha Mawakili wa Serikali kwa kueleza majukumu yao kuwa mazito na muhimu...
By Masalu ErastoSeptember 29, 2022WAKILI Mkuu wa Serikali, Gabriel Malata, ameomba kuanzishwa kwa kituo cha Usuluhisho wa migogoro nchini kwa lengo la kutatua mizozo mbalimbali inayo zikabili...
By Masalu ErastoSeptember 29, 2022KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGM) kwa mwaka wa tano mfululizo imejitosa kuwa mdhamini mkuu wa Maonesho ya Kitaifa ya Teknolojia ya...
By Gabriel MushiSeptember 29, 2022MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umezindua mtandao wake wa usajili, ufuatiliaji na usimamizi wa wanachama wake zaidi ya...
By Regina MkondeSeptember 29, 2022RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameonesha kutoridhika na masharti ya sheria ya kulinda uwekezaji inayoweka ulazima wa mzozo baina ya mwekezaji...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2022KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwainua wachimbaji wadogo na wa kati kwenye sekta ya madini, Benki ya NMB imetoa wito kwa...
By Gabriel MushiSeptember 29, 2022TUME ya Madini imewataka wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu mkoani Geita kuzingatia sheria ya mazingira na afya migodini. Pia imetoa wito kwa...
By Gabriel MushiSeptember 29, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua msimu wa pili wa kampeni yake maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya...
By Gabriel MushiSeptember 29, 2022RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema mawakili wa Serikali ambao hawatajisajili katika Chama cha Mawakili wa Serikali katika...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2022MAWAKILI wa Serikali, wametakiwa kutumia chama chao kuhakikisha viongozi wa Serikali wanazingatia matakwa ya katiba na sheria za nchi, katika utekelezaji wa majukumu...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2022SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limesema mkaa mbadala wa kupikia unaojulikana kama ‘Rafiki Coal Briquettes’ unaotokana na makaa ya mawe una uwezo...
By Gabriel MushiSeptember 29, 2022IMEELEZWA kuwa jukumu la Wizara ya Madini ni kuunda sera na kusimamia sheria ya sekta ya madini sambamba na utoaji wa mafunzo ya...
By Gabriel MushiSeptember 28, 2022NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo ametoa wito kwa Watanzania, wananchi wa mkoa wa Geita, mikoa jirani na wachimbaji wadogo...
By Gabriel MushiSeptember 28, 2022MAMLAKA ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA), Kanda ya Ziwa Magharibi imekamata shehena ya sigara bandia zenye thamani ya Sh 1.8 Bilioni katika...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2022WATAALAM kutoka Tume ya Madini wameendelea kutoa elimu kwa wachimbaji wa madini kutoka katika mkoa wa Geita na mikoa ya jirani katika Maonesho...
By Gabriel MushiSeptember 28, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amewasimamisha kazi maofisa watano wa Halmashauri...
By Masalu ErastoSeptember 28, 2022SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka waagizaji wa magari yaliyotumika kutoka Japan, mawakala wa forodha na wananchi wote kwa ujumla kuhakikisha wanakagua...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2022KATIBU Mkuu Wizara ya Madini, Adolf Ndunguru ametoa wito kwa wachimbaji wadogo wa madini nchini kushiriki Maonesho ya 5 ya Teknolojia ya Madini...
By Gabriel MushiSeptember 28, 2022