KUANZIA Novemba Mosi, 2022 utekelezaji wa ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwarejeshea michango yao wale wote waliofukuzwa kazi kwasababu ya...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2022WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewataka wadau wa habari nchini kupambana ili kubadili sheria za habari nchini huku akieleza...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2022MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeuamrisha upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji inayowakabili baadhi ya madiwani wa Wilaya ya Ngorongoro mkoani...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2022KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda amesema vyombo vya habari vikiwa huru vinaisaidia Serikali...
By Faki SosiOctober 25, 2022OWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Suleiman Jafo amewataka watafiti na wataalamu waliojikita kwenye teknolojia ya bioteknolojia kufanya...
By Seleman MsuyaOctober 25, 2022BODI ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB), imesema ina mpango wa kuanza kutumia teknolojia ya kuzalisha mafuta ya kupikia yatokanayo na pumba...
By Danson KaijageOctober 25, 2022CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kufanya uchunguzi dhidi ya Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), kuhusu tuhuma za...
By Regina MkondeOctober 25, 2022MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wananchi wanaotumiwa jumbe za maandishi na mitandao ya simu bila ridhaa yao watoe taarifa katika mamlaka...
By Seleman MsuyaOctober 25, 2022SERIKALI imeeleza kuwa ifikapo mwaka 2025/26 Tanzania itakuwa na sukari ya kutosheleza matumizi ya ndani na akiba ya kuuza nchi za nje kwa...
By Danson KaijageOctober 25, 2022BENKI ya NMB Mkoa wa Mtwara imetoa msaada wa madawati, viti na meza kwa shule tatu za msingi na mbili za sekondari zilizopo...
By Gabriel MushiOctober 25, 2022MUUGUZI wa magonjwa ya akili raia wa Kenya anayefanya kazi Marekani ameuawa kwa kudungwa kisu na mgonjwa wake alipokuwa akimhudumia. Inaripoti Mitandao ya...
By Gabriel MushiOctober 25, 2022WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amewashauri na kuwataka wafanyabiashara wadogowadogo mkoani...
By Mwandishi WetuOctober 24, 2022MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, IGP Camillus Wambura, amewasimamisha kazi askari wote waliohusika na tukio la mauji ya raia wawili yaliyotokea...
By Mwandishi WetuOctober 24, 2022Mkurugenzi Usimamizi wa Sekta ya Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Sadati Musa (kushoto), amemkabidhi tuzo ya ngazi ya juu ya uanachama (TIOB...
By Gabriel MushiOctober 24, 2022WAKATI Serikali ya Tanzania ikiwa katika mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari, wadau wamependekeza viwepo vifungu vinavyowabana watu wanaofanya ukatili...
By Gabriel MushiOctober 24, 2022Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Felix Tshisekedi wameshuhudia utiaji saini hati ya...
By Gabriel MushiOctober 24, 2022WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amesema vikosi vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanaoendelea na kazi...
By Gabriel MushiOctober 24, 2022WACHIMBAJI wadogo wa madini ya dhahabu Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga wameiomba serikali kuwasaidia vifaa vya utafiti wa upimaji wa madini ya dhahabu...
By Gabriel MushiOctober 23, 2022TATHMINI ya uharibifu katika eneo lililoteketea kwa moto katika Mlima Kilimanjaro imeshindikani kufanyika kutokana na hali ya hewa ya moshi mzito. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiOctober 23, 2022MJADALA wa nishati ya kupikia kwa kutumia kuni na mkaa umezidi kushika kasi baada ya idadi kubwa ya Watanzania kujitokeza na kupiga simu...
By Gabriel MushiOctober 23, 2022SERIKALI kupitia Wakala wa Taifa wa hifadhi ya Chakula (NFRA) umeanza kugawa chakula cha bei nafuu kwa mikoa ambayo ina mfumuko mkubwa...
By Danson KaijageOctober 22, 2022BAADHI ya wahariri nchini Tanzania, wamepewa mbinu za kufanya uchechemuzi kuhusu marekebisho ya Sheria zinazohusu masuala ya habari. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeOctober 22, 2022WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kukwepa kuandika habari zinazoweza sababisha machafuko, ili kulinda usalama wa nchi na haki za wengine. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeOctober 22, 2022Moto umezuka katika mlima Kilimanjaro, karibu na eneo la Karanga Camp lililopo urefu wa meta 3,963 kutoka usawa wa bahari kupitia njia...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania imesema imekuwa ikiwajibika kwa jamii kila mwaka ikiwa sehemu ya kusaidiana na Serikali juhudi za kuweka mazingira bora...
By Gabriel MushiOctober 22, 2022KATIKA kuimarisha mahusiano mazuri baina ya Serikali na jamii zinazoizunguka kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Taasisi ya Rafiki Surgical Mission...
By Gabriel MushiOctober 21, 2022JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu Tanzania, imetoa msimamo wake kuhusu marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya 1971, ikitaka isiwatambue waumini wake kwa kuwa...
By Mwandishi WetuOctober 21, 2022MBALI na huduma za viwango vya kifalme, wateja wa Benki ya NMB wamekiri kuvutiwa na mafanikio yake kiutendaji hasa kasi ya ukuaji wake...
By Gabriel MushiOctober 20, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Prof Said Shehe Aboud kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 20, 2022MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camilius Wambura amewahamisha baadhi ya makamanda wa Polisi kutoka katika nafasi zao na kuwapangia sehemu...
By Mwandishi WetuOctober 20, 2022WADAU wa tasnia ya habari Tanzania, wameshauri mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia vyombo vya habari, ukamilike ili kukidhi dhamira ya Rais...
By Regina MkondeOctober 20, 2022WANACHAMA wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya habari Tanzania (JOWUTA) wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi za uongozi katika chama hicho...
By Mwandishi WetuOctober 20, 2022TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknilojia ya Nelson Mandela,imefanikiwa kufanya utafiti na kuweza kugundua mfumo wa kubaini machapisho ya wizi ambao...
By Danson KaijageOctober 20, 2022VYOMBO vya habari nchini Tanzania, vimetajwa kuwa mlezi wa demokrasia na utawala Bora, endapo vitatekeleza majukumu yake kikamilifu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeOctober 20, 2022IKIWA inaelekea ukiongoni, kampeni ya ugawaji wa madawati 1000 inayoendeshwa na benki ya Exim Tanzania katika mikoa mbalimbali nchini imeonesha mafanikio makubwa huku...
By Gabriel MushiOctober 19, 2022WALIMU saba na wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwemo la kuvujisha mtihani wa Taifa wa...
By Mwandishi WetuOctober 19, 2022SHIRIKA lisilo la kiserikali linashughulika na masuala ya msaada wa kisheria nchini, Legal Service Facility (LSF)kwa kushirikiana na wadau wa sekta hiyo zaidi...
By Mwandishi WetuOctober 19, 2022ASKOFU maarufu anayeongoza kanisa moja lililo ndani ya mtaa wa Kibera nchini Kenya amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Kibera kwa mashtaka ya...
By Mwandishi WetuOctober 19, 2022MALKIA wa Uholanzi, Malkia Maxima amewasili Jijini Dar es Salaam akitokea mkoani Kilimanjaro ambapo alianzia ziara yake jana tarehe 17 Oktoba 2022 baada...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2022MABADILIKO ya tabia nchi, yameua mifugo na wanyamapori zaidi ya 38,720 kwa kukosa maji na malisho, wilaya ya Longido mkoa wa Arusha....
By Mwandishi WetuOctober 18, 2022WAFANYABIASHARA 15 ambao ni Wanachama wa Klabu za Biashara za Benki ya NMB (NMB Business Club), wameagwa jijini Dar es Salaam leo asubuhi...
By Gabriel MushiOctober 17, 2022MCHUNGAJI wa Kanisa la Calvary Assemblies of God ameiangukia Serikali na kuiomba iwasaidie kudhibiti watu wenye nia ovu ya kutaka kuondolewa kwa kanisa...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2022MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff amemuondoa kwenye majukumu yake aliyekuwa Meneja wa...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2022MKAGUZI Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB, Benedicto Baragomwa alikuwa miongoni mwa viongozi walioshiriki kilele cha mbio za mwenge kitaifa 2022, katika...
By Gabriel MushiOctober 16, 2022WAFANYAKAZI wa Benki ya NMB nchini Tanzania wamefanikiwa kupanda na kusimika bendera ya taasisi hiyo kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya...
By Gabriel MushiOctober 16, 2022HIFADHI ya Taifa ya Serengeti imeshinda tuzo ya Hifadhi bora zaidi barani Afrika 2022 ikiwa ni mara ya nne mfululizo baada ya kushinda...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2022KATIBU wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Shaka Hamdu Shaka amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni ‘pumzi mpya’ ya maendeleo nchini. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiOctober 16, 2022SERIKALI Visiwani Zanzibar, imeanza uchunguzi wa chanzo cha vifo vya kaa chanje, walioonekana katika fukwe mbalimbali zilizopo katika kisiwa cha Unguja. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2022SHIRIKA la Petroli Tanzania (TPDC) limesema kuanza kutumika kwa gesi asilia kuzalisha umeme badala ya mafuta mazito, kumeokoa zaidi ya Sh trilioni 40...
By Gabriel MushiOctober 13, 2022MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imedhamiria kufanikisha maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kufanya mageuzi makubwa ya uchumi wa...
By Masalu ErastoOctober 13, 2022