Tuesday , 7 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Waliofukuzwa kwa vyeti feki kuanza kurejeshewa michango ya hifadhi ya jamii Novemba Mosi

  KUANZIA Novemba Mosi, 2022 utekelezaji wa ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwarejeshea michango yao wale wote waliofukuzwa kazi kwasababu ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ndumbaro: Wanahabari wakati ni huu

  WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewataka wadau wa habari nchini kupambana ili kubadili sheria za habari nchini huku akieleza...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya madiwani Ngorongoro: Mahakama yaipa siku 14 Jamhuri

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeuamrisha upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji inayowakabili baadhi ya madiwani wa Wilaya ya Ngorongoro mkoani...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda: Vyombo vya habari vikiwa huru vitaisaidia Serikali

  KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda amesema vyombo vya habari vikiwa huru vinaisaidia Serikali...

Habari Mchanganyiko

Jafo ataka utafiti wa bioteknolojia

OWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Suleiman Jafo amewataka watafiti na wataalamu waliojikita kwenye teknolojia ya bioteknolojia kufanya...

Shamba la mpunga
Habari Mchanganyiko

CPB kuzalisha mafuta ya kupikikia yatokanayo pumba za mpunga

  BODI ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB), imesema ina mpango wa kuanza kutumia teknolojia ya kuzalisha mafuta ya kupikia yatokanayo na pumba...

Habari Mchanganyiko

Korosho pasua kichwa, CUF wataka bodi ichunguzwe

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kufanya uchunguzi dhidi ya Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), kuhusu tuhuma za...

Habari Mchanganyiko

TCRA: Wanaotumiwa jumbe bila ridhaa toeni taarifa

  MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wananchi wanaotumiwa jumbe za maandishi na mitandao ya simu bila ridhaa yao watoe taarifa katika mamlaka...

Habari Mchanganyiko

Tatizo la uhaba wa sukari mwisho 2025/26

SERIKALI imeeleza kuwa ifikapo mwaka 2025/26 Tanzania itakuwa na sukari ya kutosheleza  matumizi ya ndani  na akiba ya kuuza nchi za nje kwa...

Habari Mchanganyiko

NMB yazipiga jeki Shule Mtwara

BENKI ya NMB Mkoa wa Mtwara imetoa msaada wa madawati, viti na meza kwa shule tatu za msingi na mbili za sekondari zilizopo...

Habari Mchanganyiko

Muuguzi auawa na mgonjwa

MUUGUZI wa magonjwa ya akili raia wa Kenya anayefanya kazi Marekani ameuawa kwa kudungwa kisu na mgonjwa wake alipokuwa akimhudumia. Inaripoti Mitandao ya...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabishara washauriwa kutumia kituo jumuishi

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amewashauri na kuwataka wafanyabiashara wadogowadogo mkoani...

Habari Mchanganyiko

IGP awasimamisha kazi askari waliohusika mauji Kilombero kupisha uchunguzi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, IGP Camillus Wambura, amewasimamisha kazi askari wote waliohusika na tukio la mauji ya raia wawili yaliyotokea...

Habari Mchanganyiko

Bosi NMB apewa tuzo ya TIOB

Mkurugenzi Usimamizi wa Sekta ya Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Sadati Musa (kushoto), amemkabidhi tuzo ya ngazi ya juu ya uanachama (TIOB...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataka sheria zinazodhibiti ukatili ndani ya vyumba vya habari

WAKATI Serikali ya Tanzania ikiwa katika mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari, wadau wamependekeza viwepo vifungu vinavyowabana watu wanaofanya ukatili...

Habari MchanganyikoTangulizi

DRC, Tz zasaini MoU Rais Tshisekedi akitua nchini

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Felix Tshisekedi wameshuhudia utiaji saini hati ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Moto umedhibitiwa maeneo mengi Mlima Kilimanjaro

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amesema vikosi vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanaoendelea na kazi...

Habari Mchanganyiko

Igomiko waomba vifaa vya utafiti wa madini

WACHIMBAJI wadogo wa madini ya dhahabu Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga wameiomba serikali kuwasaidia vifaa vya utafiti wa upimaji wa madini ya dhahabu...

Habari Mchanganyiko

Moto, moshi mzito wakwamisha ndege kufika Mlima Kilimanjaro

TATHMINI ya uharibifu katika eneo lililoteketea kwa moto katika Mlima Kilimanjaro imeshindikani kufanyika kutokana na hali ya hewa ya moshi mzito. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mjadala vifo vitokanavyo na mkaa, kuni washika kasi

MJADALA wa nishati ya kupikia kwa kutumia kuni na mkaa umezidi kushika kasi baada ya idadi kubwa ya Watanzania kujitokeza na kupiga simu...

Habari Mchanganyiko

NFRA yaanza kugawa chakula kwa bei nafuu

  SERIKALI kupitia Wakala wa Taifa wa hifadhi ya Chakula (NFRA) umeanza kugawa chakula cha bei nafuu kwa mikoa ambayo ina mfumuko mkubwa...

Habari Mchanganyiko

Wahariri wanolewa uchechemuzi marekebisho sheria za habari

  BAADHI ya wahariri nchini Tanzania, wamepewa mbinu za kufanya uchechemuzi kuhusu marekebisho ya Sheria zinazohusu masuala ya habari. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Wanahabari watakiwa kutoandika habari zinazosababisha machafuko

  WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kukwepa kuandika habari zinazoweza sababisha machafuko, ili kulinda usalama wa nchi na haki za wengine. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Taharuki! Moto Mlima Kilimanjaro

  Moto umezuka katika mlima Kilimanjaro, karibu na eneo la Karanga Camp lililopo urefu wa meta 3,963 kutoka usawa wa bahari kupitia njia...

Habari Mchanganyiko

NMB kuendelea kuneemesha sekta ya elimu  

BENKI ya NMB nchini Tanzania imesema imekuwa ikiwajibika kwa jamii kila mwaka ikiwa sehemu ya kusaidiana na Serikali juhudi za kuweka mazingira bora...

Habari Mchanganyiko

GGML, Rafiki Surgical Mission watoa ‘ambulensi’ mbili Geita

KATIKA kuimarisha mahusiano mazuri baina ya Serikali na jamii zinazoizunguka kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Taasisi ya Rafiki Surgical Mission...

Habari Mchanganyiko

Waislamu wataka sheria mpya ya ndoa isiwatambue

JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu Tanzania, imetoa msimamo wake kuhusu marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya 1971, ikitaka isiwatambue waumini wake kwa kuwa...

Habari Mchanganyiko

Kasi ya ukuaji NMB yawakosha wateja, waongezeka kwa asilimia 500

MBALI na huduma za viwango vya kifalme, wateja wa Benki ya NMB wamekiri kuvutiwa na mafanikio yake kiutendaji hasa kasi ya ukuaji wake...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ateua Mkurugenzi Mkuu NIMR

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Prof Said Shehe Aboud kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

IGP Wambura apangua makamanda polisi

  MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camilius Wambura amewahamisha baadhi ya makamanda wa Polisi kutoka katika nafasi zao na kuwapangia sehemu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Marekebisho Sheria za habari: Wadau wampa tano Samia, wamkumbusha vifungu kandamizi

  WADAU wa tasnia ya habari Tanzania, wameshauri mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia vyombo vya habari, ukamilike ili kukidhi dhamira ya Rais...

Habari Mchanganyiko

Wana JOWUTA watakiwa kugombea uongozi, kulipa ada

  WANACHAMA wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya habari Tanzania (JOWUTA) wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi za uongozi katika chama hicho...

Habari Mchanganyiko

Mfumo wa kuwanasa wezi wa machapisho waja

  TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknilojia ya Nelson Mandela,imefanikiwa kufanya utafiti na kuweza kugundua mfumo wa kubaini machapisho ya wizi ambao...

Habari Mchanganyiko

Wadau: Vyombo vya habari ni mlezi wa demokrasia

  VYOMBO vya habari nchini Tanzania, vimetajwa kuwa mlezi wa demokrasia na utawala Bora, endapo vitatekeleza majukumu yake kikamilifu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Exim yakabidhi msaada wa madawati 100 Tanga

IKIWA inaelekea ukiongoni, kampeni ya ugawaji wa madawati 1000 inayoendeshwa na benki ya Exim Tanzania katika mikoa mbalimbali nchini imeonesha mafanikio makubwa huku...

Habari Mchanganyiko

Walimu kortini kwa kuvujisha mitihani la saba

  WALIMU saba na wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwemo la kuvujisha mtihani wa Taifa wa...

Habari Mchanganyiko

LSF, wadau wajadili utekelezaji mpango upatikanaji haki

SHIRIKA lisilo la kiserikali linashughulika na masuala ya msaada wa kisheria nchini, Legal Service Facility (LSF)kwa kushirikiana na wadau wa sekta hiyo zaidi...

Habari Mchanganyiko

Askofu apandishwa kizimbani kwa kumbaka binti (10)

  ASKOFU maarufu anayeongoza kanisa moja lililo ndani ya mtaa wa Kibera nchini Kenya amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Kibera kwa mashtaka ya...

Habari Mchanganyiko

Malkia Maxima wa Uholanzi awasili Dar kwa ziara ya kikazi

MALKIA wa Uholanzi, Malkia Maxima amewasili Jijini Dar es Salaam akitokea mkoani Kilimanjaro ambapo alianzia ziara yake jana tarehe 17 Oktoba 2022 baada...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko ya tabia nchi yaua mifugo, wanyamapori 38,720 Longido

  MABADILIKO ya tabia nchi, yameua mifugo na wanyamapori zaidi ya 38,720 kwa kukosa maji na malisho, wilaya ya Longido mkoa wa Arusha....

Habari Mchanganyiko

Wanachama 15 NMB Business Club wapaa Uturuki

WAFANYABIASHARA 15 ambao ni Wanachama wa Klabu za Biashara za Benki ya NMB (NMB Business Club), wameagwa jijini Dar es Salaam leo asubuhi...

Habari Mchanganyiko

Kanisa la CAG laiangukia Serikali kulinusuru na wavamizi

MCHUNGAJI wa Kanisa la Calvary Assemblies of God ameiangukia Serikali na kuiomba iwasaidie kudhibiti watu wenye nia ovu ya kutaka kuondolewa kwa kanisa...

Habari Mchanganyiko

Meneja TARURA Kilombero atumbuliwa

  MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff amemuondoa kwenye majukumu yake aliyekuwa Meneja wa...

Habari Mchanganyiko

Vigogo NMB ana kwa ana na mkimbiza mwenge 2022

MKAGUZI Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB, Benedicto Baragomwa alikuwa miongoni mwa viongozi walioshiriki kilele cha mbio za mwenge kitaifa 2022, katika...

Habari Mchanganyiko

Bendera ya NMB yasimikwa Mlima Kilimanjaro

WAFANYAKAZI wa Benki ya NMB nchini Tanzania wamefanikiwa kupanda na kusimika bendera ya taasisi hiyo kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya...

Habari Mchanganyiko

Serengeti yashinda tuzo hifadhi bora Afrika mara ya nne mfululizo

HIFADHI ya Taifa ya Serengeti imeshinda tuzo ya Hifadhi bora zaidi barani Afrika 2022 ikiwa ni mara ya nne  mfululizo baada ya kushinda...

Habari Mchanganyiko

Shaka: Samia pumzi mpya ya maendeleo

KATIBU wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Shaka Hamdu Shaka amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni ‘pumzi mpya’  ya maendeleo nchini. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mamia ya kaa chanje wafariki Zanzibar

SERIKALI Visiwani Zanzibar, imeanza uchunguzi wa chanzo cha vifo vya kaa chanje, walioonekana katika fukwe mbalimbali zilizopo katika kisiwa cha Unguja. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Gesi asilia yaokoa trilioni 40 uzalishaji umeme

SHIRIKA la Petroli Tanzania (TPDC) limesema kuanza kutumika kwa gesi asilia kuzalisha umeme badala ya mafuta mazito, kumeokoa zaidi ya Sh trilioni 40...

Habari MchanganyikoTangulizi

TPA yajipanga kuiondoa nchi katika uchumi wa tatu kwenda wa pili

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imedhamiria kufanikisha maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kufanya mageuzi makubwa ya uchumi wa...

error: Content is protected !!