Mkurugenzi Usimamizi wa Sekta ya Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Sadati Musa (kushoto), amemkabidhi tuzo ya ngazi ya juu ya uanachama (TIOB Fellowship), Afisa Mkuu wa Udhibiti wa Benki ya NMB, Doreen Joseph (kulia) kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu NMB, Ruth Zaipuna. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Tuzo hiyo imetolewa na Taasisi ya Wataalamu wa Kibenki (TIOB) kwa wanachama wake.
Ni katika hafla ilikwenda sambamba na mahafali ya 21 ya taasisi hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam.
Leave a comment