Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wakulima watakiwa kuchangamkia fursa EAC
Habari Mchanganyiko

Wakulima watakiwa kuchangamkia fursa EAC

Spread the love

BODI ya nafaka na mazao mchanganyiko nchini imewataka wakulima na wafugaji kuendelea kuzalisha kwa bidii kwani soko la mazao bado ni kubwa katika ukanda nchi za Afrika Masharikia na kati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya … (endelea).

Rai hiyo imetokelewa na Ofisa kutoka bodi ya nafaka na mazao mchanganyika, Mhandisi Fredy Mbilinyi katika viwanja vya maonyesho ya wakulima nanenane jiji Mbeya.

Alisema mpaka sasa bodi hiyo imeshafungua vituo vya mauzo ya bidhaa kutoka Tanzania katika za Mji wa Juba nchini Sudani Kusini, Jamhuri ya Demokrasia watu wa Congo, Kenya na Zambia

Naye Waziri wa Mifugo, Mashimba Ndaki akiwa katika zoezi la kukagua na kuangalia mabanda ya maonyesho aliwataka watumishi umma kuwasaidia wakulima na kutoa elimu ili teknolokjia zinaonyeshwa zitolewa kwa wakulima ambao ndiyo walengwa wakuu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya Equity Benki, State Oil yakwama

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

error: Content is protected !!