Saturday , 11 May 2024
Home upendo
1884 Articles238 Comments
Habari za Siasa

Mwijage: Bila ‘Tax Clearence’ hupati mchumba

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage ametahadharisha kuwa, wasiokuwa na utamaduni wa kulipa kodi yanaweza kuwakuta aliyoyakuta kwenye nchi nyingine, ya kunyimwa...

Kimataifa

Watu 188 wahofiwa kupoteza maisha kwenye ajali ya ndege

WATU takribani 188 wanahofiwa kupoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya abiria ya Shirika la Lion Air iliyokuwa safarini kutoka mji mkuu wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Shamba la Rais Kikwete lavamiwa

MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete amesema shamba la baba yake, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete lililoko kata ya Kibindu wilayani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanafunzi aliyetumbukia chooni aokolewa, Polisi kuchunguza

MWANAFUNZI wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Seliani iliyoko wilayani Arusha, Emanuel Zacharia amenusurika kifo baada ya kutumbukia katika shimo la...

Tangulizi

Wema Sepetu afungiwa muda usiojulikana

ALIYEKUWA Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu amefungiwa kwa muda usiojulikana kujishughulisha na filamu na uigizaji, na Bodi ya Filamu Tanzania. Anaripoti Regina...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wanafunzi shule ya msingi watumbukia chooni

WANAFUNZI kadhaa katika Shule ya Msingi Seliani iliyoko wilayani Arusha wanadaiwa kutumbukia katika shimo la choo cha shule hiyo mchana huu. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali: Watumishi wa Acacia wapo salama

SERIKALI imekanusha madai ya Kampuni ya Madini ya Acacia, ya kwamba usalama wa watumishi wake uko hatarini kutokana na kuwindwa na vyombo vya...

Habari Mchanganyiko

TBS yapiga ‘stop’ tairi zilizotumika

SHIRIKA la Viwango Nchini (TBS) limepiga marufuku matumizi ya tairi za vyombo vya moto zilizotumika na kuisha muda wake. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari Mchanganyiko

Sumatra waanzisha ruti ya kwenda Hospitali ya Mloganzila

MAMLAKA ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imetangaza ruti mpya za kwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili tawi la Mloganzila. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Makaburi Pwani, Moro kuhamishwa kupisha Standard Gauge

SHIRIKA la Reli nchini (TRC) linatarajia kuhamisha makaburi kwenye mikoa ya Pwani na Morogoro ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa ‘Standar Gauge....

Habari Mchanganyiko

Ufaulu darasa la saba wapaa kwa miaka minne mfululizo

UFAULU wa mtihani wa darasa la saba nchini umeongezeka maradufu kwa miaka minne mfululizo kuanzia mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa asilimia 56.99 hadi...

Habari Mchanganyiko

Kigogo wa Acacia kizimbani kwa utakatishaji fedha

ASA Mwaipopo (55), Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni za Madini za Bulyanhulu, North Mara na Pangea zilizokuwa chini ya Acacia, amepandishwa kizimbani katika Mahakama...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli, Kikwete wateta Ikulu

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete leo tarehe 23 Oktoba 2018 Ikulu...

ElimuTangulizi

Matokeo darasa la saba yatangazwa, ufaulu waongezeka

WATAHINIWA 733,103 kati ya 943,318 wamefaulu mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wa mwaka 2018. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akitangaza matokeo hayo...

Elimu

Prof. Ndalichako aokoa jahazi UDSM

PRESHA imeshuka. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wanafunzi 682 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam waliofutiwa usajili kutakiwa kurejeshwa. Anaandika Regina Mkonde …...

Habari za Siasa

Godbless Lema aitikia wito wa polisi

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameitikia wito wa Jeshi la Polisi uliomtaka kuwasili katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha bila kukosa. Anaripoti...

Michezo

Hiki hapa kilichomuua Mashaka wa ‘Kaole’

RAMADHANI Mrisho Ditopile, msanii wa maigizo katika Kundi la ‘Kaole Sanaa Group’ amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe 20 Oktoba 2018 katika hospitali...

Habari Mchanganyiko

Silaha za kivita zakutwa kwenye gari lililomteka Mo

MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema silaha ya kivita aina ya AK-47, pisto tatu pamoja na risasi 19 zimekutwa katika...

Michezo

Rais Magufuli: Mkifungwa watasema nimewapa mkosi

RAIS John Magufuli amewataka wachezaji wa Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kuifunga timu ya taifa ya Lesotho katika mchezo wa kuwania kufuzu kucheza...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro asema uchunguzi sio sawa na kubeba ‘changudoa’

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Simon Sirro amesema suala la kufanya uchunguzi sio sawa na kwenda barabarani na kumkuta mwanamke anayefanya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Gari lililomteka MO hili hapa

MKUU wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro amesema polisi wamefanikiwa kumtambua dereva na  gari lililohusika katika tukio la kutekwa mfanyabiashara Mohammed Dewji maarufu...

Habari Mchanganyiko

‘Sugar Dady’ achoma moto nyumba 12, kisa wivu wa mapenzi

POLISI mjini Mombasa nchini Kenya inamtafuta baba mmoja (40) anayetuhumiwa kuchoma moto nyumba ya mpenzi wake iliyoko maeneo ya Magongo, kutokana na wivu...

Habari za SiasaTangulizi

Utetezi wa Kubenea, Komu Chadema huu hapa

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea pamoja na wa Moshi Vijijini, Anthony Komu wametoa ufafanuzi wao kuhusu sauti iliyosambaa katika mitandao ya kijamii hivi...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Komu wapewa onyo kali, wawekwa chini ya uangalizi

KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewapa onyo kali wabunge wake Saed Kubenea wa Ubungo na Anthony Komu wa Moshi...

Afya

Serikali yazitoa kifungoni hospitali za Marie Stopes

SERIKALI imeruhusu hospitali na zahanati za Shirika la Marie Stopes kuendelea kutoa huduma baada ya kufungiwa wiki kadhaa zilizopita kutokana na kukiuka miongozo...

Habari za Siasa

Chadema wataka wachunguzi wa kimataifa sakata la MO

CHAMA cha Chadema kimeitaka serikali kuruhusu wachunguzi wa kimataifa kuchunguza tukio la kutekwa kwa Mfanyabiashara, Mohammed Dewji ‘MO’ lililofanywa  na watu wasiojulikana tarehe...

Michezo

Hans Pope aburuzwa mahakamani, aunganishwa na Aveva, Kaburu

ZACHARIA Hans Pope, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuunganishwa kwenye kesi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Familia ya Dewji kutoa bil 1 kwa atakayesaidia kupatikana MO

FAMILIA ya Mfanyabiashara, Mohammed Dewji ‘MO’ aliyetekwa tangu Alhamisi ya Oktoka 11 2018, maeneo ya Osterbay jijini Dar es Salaam, imetangaza zawadi nono...

KimataifaTangulizi

China yashukiwa kupotea kwa Rais wa Interpol

UTATA umeibuka kufuatia madai ya kupotea kwa Rais wa Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), Meng Hongwei baada ya  Afisa Mkuu wa masuala...

Habari za Siasa

Mahakama Kuu yawatosa Mbowe, vigogo wa Chadema

MAOMBI ya Rufaa ya viongozi wa chama cha Chadema yametupiliwa mbali na Mahakama ya Rufaa kutokana na hati ya taarifa ya kusudio la...

Kimataifa

Rais wa Korea atupwa jela miaka 15

ALIYEKUWA Rais wa Korea Kusini, Lee Myung-bak amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa ya rushwa. Anaripoti...

Kimataifa

Wanaume watinga ofisini na mavazi ya kike

WAFANYAKAZI wa Kiume katika kampuni ya Chloride Exide nchini Kenya, wametinga ofisini wakiwa wamevaa mavazi ya kike ikiwa ni mkakati wao wa kuhamasisha...

Habari Mchanganyiko

Watanzania milioni 21 hawapati maji safi na salama

KUKOSEKANA kwa usimamizi bora wa rasilimali za maji kumetajwa kuwa sababu ya watanzania takribani milioni 21 kutofikiwa na huduma ya maji safi na...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi: Namhusudu sana Magufuli

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi amesema anamhusudu Rais John Magufuli kutokana na mambo mazuri anayofanya kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Skauti sasa kutua Vyuo Vikuu

BAADA ya kuteuliwa na kuapishwa kuwa Skauti Mkuu wa Chama cha Maskauti Tanzania, Mwantumu Mahiza ameahidi kuieneza skauti katika vyuo vya kati na...

Habari za SiasaTangulizi

Wizara ya Mambo ya Nje kutifuana

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Faraji Mnyepe amemtoa wasiwasi Rais John Magufuli kuhusu kibarua...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amteuwa Mkurugenzi mpya NIDA

RAIS John Magufuli leo tarehe 3 Oktoba 2018 amemteua Dk. Arnold Mathias Kihaule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)....

Habari Mchanganyiko

Watu 60 mbaroni kwa kuharibu miundombinu ya Tanesco

ZAIDI ya watu 60 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za uharibifu wa miundombinu ya Shirika...

Habari Mchanganyiko

WhatsApp ilivyotumika kuvujisha mtihani

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limewasimamisha kazi maafisa elimu, maafisa taaluma, waratibu wa elimu na wakuu wa shule za msingi  wa Wilaya...

Elimu

Necta wafuta matokeo ya darasa la saba

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limefuta matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi wa mwaka 2018 katika shule zote za msingi...

Habari za Siasa

Wazee Chadema wataka mwakilishi bungeni

IKIWA leo tarehe 1 Oktoba 2018, ni kilele cha siku ya maazimisho ya Wazee Duniani, wazee wameitumia siku hii kuiomba serikali kuhakikisha kundi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Fedha za kurudia uchaguzi zikatibie wazee

BARAZA la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limetaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kubadilisha utaratibu wa kuwapata wabunge, katikati...

Michezo

Cristiano Ronaldo atuhumiwa kwa ukatili wa ngono

MWANAMKE mmoja kutoka jimbo la Las Vegas nchini Marekani, Kathryn Mayorga ameibuka hadharani na kumtuhumu nyota wa mpira wa miguu duniani, Cristiano Ronaldo...

Habari za Siasa

Mabalozi watakaoacha kazi na kunywa wine, watakiona cha moto

RAIS John Magufuli amewataka mabalozi wa Tanzania katika nchi za nje ambao hawajatumia vyema madaraka yao katika kuiletea nchi maendeleo, kujiandaa kurudi nyumbani....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amuapisha Dk. Ndumbalo huku akimuhurumia

RAIS John Magufuli amesema anamuonea huruma Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro, kwa kuwa anakwenda...

Kimataifa

NGO’s zapigwa ‘stop’ Burundi, kisa ushoga

TAASISI na Mashirika yasiyo ya kiserikali nchini Burundi yamesitishwa kutoa huduma katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka huu,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Dar mtaipenda tu

RAIS John Magufuli amesema serikali yake itabadilisha muonekano wa Jiji la Dar es Salaam kupitia miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu hasa ya...

Habari za SiasaTangulizi

JPM: Wapinzani njooni niwatue mzigo

RAIS John Magufuli amewakaribisha wabunge na madiwani wa upinzani wanaosumbuka na mizigo katika vyama vyao, kuingia CCM. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Ndumbalo ateuliwa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje

RAIS John Magufuli amemteua Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Damas Ndumbaro kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Kimataifa

Marekani yamkaba koo Rais Museveni kuhusu bobi Wine

MAREKANI imeitaka serikali ya Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kufuta mashtaka ya uhaini iliyofungua mahakamani dhidi ya Mbunge wa Kyadondo Mashariki , Robert...

error: Content is protected !!