Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Godbless Lema aitikia wito wa polisi
Habari za Siasa

Godbless Lema aitikia wito wa polisi

Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini
Spread the love

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameitikia wito wa Jeshi la Polisi uliomtaka kuwasili katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha bila kukosa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Lema amewasili katika ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, SACP Kamanda Ramadhan Ng’azi leo tarehe 22 Oktoba 2018.

Lema amewasili kituoni hapo kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano ambayo hadi sasa haijawekwa wazi kusudi la mahojiano hayo.

Taarifa za Lema kuitwa na Jeshi la Polisi alizitoa mwenyewe jana katika akaunti yake ya Twitter, akisema kuwa amepigiwa simu na polisi akitakiwa kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi Arusha bila kukosa, bila ya kuelezwa sababu ya wito huo wa lazima.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!