Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Godbless Lema aitikia wito wa polisi
Habari za Siasa

Godbless Lema aitikia wito wa polisi

Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini
Spread the love

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameitikia wito wa Jeshi la Polisi uliomtaka kuwasili katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha bila kukosa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Lema amewasili katika ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, SACP Kamanda Ramadhan Ng’azi leo tarehe 22 Oktoba 2018.

Lema amewasili kituoni hapo kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano ambayo hadi sasa haijawekwa wazi kusudi la mahojiano hayo.

Taarifa za Lema kuitwa na Jeshi la Polisi alizitoa mwenyewe jana katika akaunti yake ya Twitter, akisema kuwa amepigiwa simu na polisi akitakiwa kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi Arusha bila kukosa, bila ya kuelezwa sababu ya wito huo wa lazima.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

error: Content is protected !!