Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wazee Chadema wataka mwakilishi bungeni
Habari za Siasa

Wazee Chadema wataka mwakilishi bungeni

Baadhi ya wabunge wa Upinzani katika Bunge lililopita
Spread the love

IKIWA leo tarehe 1 Oktoba 2018, ni kilele cha siku ya maazimisho ya Wazee Duniani, wazee wameitumia siku hii kuiomba serikali kuhakikisha kundi hilo linapata wawakilishi bungeni na katika mabaraza ya madiwani. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Ombi hilo limetolewa leo na Baraza la Wazee la Chadema, ambapo limesema wazee wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo serikali hushindwa kuzitambua kutokana na kukosekana kwa watu maalum wa kuwasemea kundi hilo katika vyombo vya maamuzi ikiwemo bunge na baraza la madiwani.

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema, Roderick Lutembeka ameshauri kuwepo viti maalumu bungeni kwa ajili ya wazee ili kundi hilo lipate watu maalum wa kueleza changamoto zao bungeni.

Vile vile, Lutembeka ameitaka serikali kuanzisha chombo maalum kwa ajili ya kushughulikia changamoto za wazee hususan kuwepo wizara maalum itakayoshughulikia masuala ya wazee.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!