Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Wazee Chadema wataka mwakilishi bungeni
Habari za Siasa

Wazee Chadema wataka mwakilishi bungeni

Baadhi ya wabunge wa Upinzani katika Bunge lililopita
Spread the love

IKIWA leo tarehe 1 Oktoba 2018, ni kilele cha siku ya maazimisho ya Wazee Duniani, wazee wameitumia siku hii kuiomba serikali kuhakikisha kundi hilo linapata wawakilishi bungeni na katika mabaraza ya madiwani. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Ombi hilo limetolewa leo na Baraza la Wazee la Chadema, ambapo limesema wazee wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo serikali hushindwa kuzitambua kutokana na kukosekana kwa watu maalum wa kuwasemea kundi hilo katika vyombo vya maamuzi ikiwemo bunge na baraza la madiwani.

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema, Roderick Lutembeka ameshauri kuwepo viti maalumu bungeni kwa ajili ya wazee ili kundi hilo lipate watu maalum wa kueleza changamoto zao bungeni.

Vile vile, Lutembeka ameitaka serikali kuanzisha chombo maalum kwa ajili ya kushughulikia changamoto za wazee hususan kuwepo wizara maalum itakayoshughulikia masuala ya wazee.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveSERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the loveMFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

error: Content is protected !!