Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mabalozi watakaoacha kazi na kunywa wine, watakiona cha moto
Habari za Siasa

Mabalozi watakaoacha kazi na kunywa wine, watakiona cha moto

Spread the love

RAIS John Magufuli amewataka mabalozi wa Tanzania katika nchi za nje ambao hawajatumia vyema madaraka yao katika kuiletea nchi maendeleo, kujiandaa kurudi nyumbani. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Rais Magufuli ameyasema hayo katika hafla ya uapisho wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro iliyofanyika leo tarehe 29 Septemba 2018 Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais Maguguli amewataka mabalozi hao kuwa na desturi ya kuwasilisha ripoti kuhusu kazi walizofanya kwenye vituo vyao vya kazi.

“Mabalozi wa Tanzania walioko nje wawe wanaeleza wamefanya nini na kama hawajafanya kitu wajiandae kurudi,” amesema Rais Magufuli.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!