Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais wa Korea atupwa jela miaka 15
Kimataifa

Rais wa Korea atupwa jela miaka 15

Spread the love

ALIYEKUWA Rais wa Korea Kusini, Lee Myung-bak amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa ya rushwa. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama nchini Korea Kusini ambapo pia ilimuamuru Myung-bak kulipa faini ya dola za Kimarekani 11.5 milioni.

Myung-bak alikutwa na hatia baada ya ushahidi kuthibitisha kutenda makosa hayo alipokuwa madarakani kuanzia mwaka 2008 hadi 2013.

Mwansiasa huyo wakati wa uongozi wake alipokea dola milioni 10 kutoka kwa kampuni ya Samsung kinyume na sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

Spread the love  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

Spread the loveMSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

error: Content is protected !!