Sunday , 2 April 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Wanaume watinga ofisini na mavazi ya kike
Kimataifa

Wanaume watinga ofisini na mavazi ya kike

Spread the love

WAFANYAKAZI wa Kiume katika kampuni ya Chloride Exide nchini Kenya, wametinga ofisini wakiwa wamevaa mavazi ya kike ikiwa ni mkakati wao wa kuhamasisha jamii kuhusu masuala ya afya ya wanawake. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Kutokana na kalenda ya maradhi iliyotolewa na Shirika la Afya duniani (WHO) mwezi Oktoba kila mwaka ni mwezi maalum kwa ajili ya kuongeza uelewa kuhusu saratani ya matiti hasa kwa wanawake.

Wafanyakazi hao wamechukua uamuzi huo ikiwa sehemu ya maadhimisho ya siku ya saratani matiti duniani inayotarajiwa kufanyika mwezi huu.

Mtendaji Mkuu wa Chloride Exide aliongoza wafanyakazi wa kiume katika kampuni hiyo kuvaa mavazi ya kike, katika hafla ya wiki ya wateja iliyoafanyika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Marekani yatia mguu maaandamano Kenya, yatoa maagizo kwa Rais Ruto, Odinga

Spread the love  Mabalozi kutoka nchi sita za Magharibi, zikiongozwa na Marekani,...

Kimataifa

Papa Francis alazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu

Spread the love  KIONGOZI wa Kanisa katoliki duniani, Papa Francis jana Jumatano...

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

error: Content is protected !!