Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wanaume watinga ofisini na mavazi ya kike
Kimataifa

Wanaume watinga ofisini na mavazi ya kike

Spread the love

WAFANYAKAZI wa Kiume katika kampuni ya Chloride Exide nchini Kenya, wametinga ofisini wakiwa wamevaa mavazi ya kike ikiwa ni mkakati wao wa kuhamasisha jamii kuhusu masuala ya afya ya wanawake. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Kutokana na kalenda ya maradhi iliyotolewa na Shirika la Afya duniani (WHO) mwezi Oktoba kila mwaka ni mwezi maalum kwa ajili ya kuongeza uelewa kuhusu saratani ya matiti hasa kwa wanawake.

Wafanyakazi hao wamechukua uamuzi huo ikiwa sehemu ya maadhimisho ya siku ya saratani matiti duniani inayotarajiwa kufanyika mwezi huu.

Mtendaji Mkuu wa Chloride Exide aliongoza wafanyakazi wa kiume katika kampuni hiyo kuvaa mavazi ya kike, katika hafla ya wiki ya wateja iliyoafanyika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!