Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa NGO’s zapigwa ‘stop’ Burundi, kisa ushoga
Kimataifa

NGO’s zapigwa ‘stop’ Burundi, kisa ushoga

Spread the love

TAASISI na Mashirika yasiyo ya kiserikali nchini Burundi yamesitishwa kutoa huduma katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka huu, yakituhumiwa kuchochea ushoga na vita. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa hiyo ilitolewa jana tarehe 28 Septemba 2018 na Jenerali Silas Ntingurigwa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Burundi.

Jenerali Ntingurigwa alisema kuwa, Serikali ya Burundi imepiga marufuku baadhi ya mashirika hayo kwa madai ya kukiuka sheria za nchi hiyo.

Naye Jean Claude Karerwa, Msemaji wa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza alisema hatua hiyo imechukuliwa baada ya mashirika hayo kubainika kuingiza tabia ambazo ni kinyume na mila ya nchi hiyo ikiwemo ushoga na kuchochea vita.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!