Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa NGO’s zapigwa ‘stop’ Burundi, kisa ushoga
Kimataifa

NGO’s zapigwa ‘stop’ Burundi, kisa ushoga

Spread the love

TAASISI na Mashirika yasiyo ya kiserikali nchini Burundi yamesitishwa kutoa huduma katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka huu, yakituhumiwa kuchochea ushoga na vita. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa hiyo ilitolewa jana tarehe 28 Septemba 2018 na Jenerali Silas Ntingurigwa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Burundi.

Jenerali Ntingurigwa alisema kuwa, Serikali ya Burundi imepiga marufuku baadhi ya mashirika hayo kwa madai ya kukiuka sheria za nchi hiyo.

Naye Jean Claude Karerwa, Msemaji wa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza alisema hatua hiyo imechukuliwa baada ya mashirika hayo kubainika kuingiza tabia ambazo ni kinyume na mila ya nchi hiyo ikiwemo ushoga na kuchochea vita.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

Spread the love  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

Spread the loveMSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

error: Content is protected !!