Friday , 2 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa JPM: Wapinzani njooni niwatue mzigo
Habari za SiasaTangulizi

JPM: Wapinzani njooni niwatue mzigo

Mwita Waitara, Naibu wa Waziri wa TAMISEMI
Spread the love

RAIS John Magufuli amewakaribisha wabunge na madiwani wa upinzani wanaosumbuka na mizigo katika vyama vyao, kuingia CCM. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Rais Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, ameyasema hayo leo tarehe 27 Septemba 2018 jijini Dar es Salaam wakati akifungua barabara ya juu (Fly Over) katika makutano ya barababara ya Nyerere na Tazara.

Aidha, Rais Magufuli amewapongeza wabunge wanaotambua na kuunga mkono juhudi za serikali akiwemo Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara.

“Ninawapongeza wabunge walioona mambo mazuri yanayofanywa na serikali akiwemo Waitara, sijasema wote waje siwahitaji, lakini wanaoguswa. Wanaosumbuka na mamizigo ya vyama vingine waje ninawakaribisha tuweze kujenga nchi yetu,” amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

Habari za SiasaTangulizi

Zanzibar watangaza rasmi kuwa shamba la Razaba ni mali yao

Spread the love  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza rasmi kwamba shamba...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi azindua Kamati ya Maridhiano Visiwani

Spread the love  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Hussein...

error: Content is protected !!