Friday , 26 April 2024
Home upendo
1869 Articles238 Comments
Habari MchanganyikoKimataifa

Mashambulizi Afrika Kusini: Tanzania yasitisha safari zake 

SERIKALI imesitisha safari za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwenda Afrika Kusini, kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Raia...

Habari za Siasa

JPM: Nimewasamehe Makamba, Ngeleja

RAIS John Magufuli amewasamehe January Makamba, aliyekuwa Waziri wa Mazingira na Muungano na Willium Ngeleja, Mbunge wa Sengerema baada ya kumwomba radhi. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Mikoa inayoongozwa kwa ukatili hii hapa

UKATILI wa kijinsia dhidi ya watoto, umeongezeka kwa asilimia 7.7 kutoka matukio 13,457 mwaka 2017 hadi 14,419 mwaka 2018 huku mikoa mitano ikiongoza. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mahakama Afrika Kusini yaamuru ndege ya Tanzania iachwe huru

NDEGE ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), aina ya Air Bus A220-300 iliyoshikiliwa nchini Afrika Kusini kwa amri ya mahakama, imeachwa huru. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

TCRA yashusha nyundo kwa Global TV, EATV

KITUO cha Runinga cha EATV, Global TV na Le Mutuzi Online, vimepewa onyo na Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),...

Habari za SiasaTangulizi

Kuapishwa mrithi wa Lissu: Wapinzani wasusa, Ndugai apiga kijembe

MIRAJI Mtaturu ameapishwa rasmi kuwa Mbunge wa Singida Mashariki, akirithi mikoba ya Tundu Lissu aliyevuliwa ubunge wa Jimbo hilo. Anaripoti Regina Mkonde …...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Nyinyi watendaji ndio waamuzi

RAIS John Magufuli amesema, yeye ni mpangaji wa muda pale Ikulu, na kwamba watendaji kata na Watanzania ndio wanaoamua nani awe mpangaji wa jengo...

Habari za Siasa

Shahidi amsukumia ‘zigo’ Mbowe, wenzake

SHAHIDI namba 7 katika kesi Namba 112 ya mwaka 2018, inayowakabili viongozi wa Chadema katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, amedai kwamba ni...

Habari za Siasa

Ahadi ya Dk. Bashiru kwa wagombea CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, ameahidi kuwapitisha kwenye ‘tanuri’ wagombea wa chama hicho kuelekea uchaguzi wa Serikali za...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la ATCL: Mwigulu, Lema ‘wachapana’

SAKATA la kushikiliwa ndege ya Shirika la Ndege Tanzania Limited (ATCL) nchini Afrika Kusini kwa amri ya mahakama, limechochea mvutano baina ya wabunge...

Habari za Siasa

Kesi ya Halima Mdee: Hakimu atoa ukomo 

MHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkuu, jijini Dar es Salaam imetoa ukomo wa kesi inayomkabili Halima Mdee, Mbunge wa Kawe (Chadema) ya kumtolea lugha...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa THRDC aachiwa kwa dhamana Iringa

MWANDISHI Joseph Gandye, Mhariri wa Maudhui wa Watetezi TV ameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi mkoani Iringa, alikokuwa anashikiliwa kwa kosa la...

Habari Mchanganyiko

Kukamatwa mwanahabari: THRDC yaomba tume huru ya uchunguzi

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeiomba serikali iunde tume huru kwa ajili ya kuchunguza madai ya baadhi ya polisi...

Habari za Siasa

Polisi wazuia mkutano wa Maalim Seif Temeke

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimezuiwa kufanya mkutano wake wa ndani na Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke kutokana na kukosa kibali. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 24 – Serikali

KITENDAWILI kuhusu tarehe rasmi ya kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini, sasa kimeteguliwa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Seleman Jafo, Waziri...

Habari Mchanganyiko

Polisi ‘wambeba’ mwandishi waliyemkamata kwenda Iringa

MWANDISHI wa Habari za Uchunguzi nchini Tanzania, Joseph Gandye alfajiri la leo tarehe 23 Agosti 2019, amesafirishwa kwenda mkoani Iringa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi Mivumoni Islamic wavumbua kifaa kuashiria moto

WANAFUNZI wa Kidato cha Nne wa mchepuo wa sayansi katika Shule ya Sekondari ya Kiislamu ya Mivumoni – Kindondoni, Mtambani jijini Dar es...

Habari Mchanganyiko

Upatu, utakatishaji fedha wawapandisha kortini

MAGDALENA Uhwello na Halima Nsubuga leo tarehe 21 Agosti 2019, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda, Bajaji walalamikia polisi, Mambosasa awakana 

WAENDESHA Bajaji ambao ni walemavu katika Kituo cha Feri, jijini Dar es Salaam wamelalamikia kitendo cha Jeshi la Polisi kukamatwa wenzao. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Jamhuri: Chadema hawakubeba silaha

SHAHIDI namba sita wa Jamhuri, Koplo Charles katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi waandamizi wa Chadema, ameeleza kutoona wafuasi wa chama hicho wakiwa...

Habari Mchanganyiko

Mkemia Mkuu atambua miili 50 ajali ya Moro

OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali imefanikiwa kutambua miili 50 kati ya 69 ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya moto wa lori...

Habari za Siasa

Rais Magufuli aagiza wanaochunguza masuala nyeti walindwe

RAIS John Magufuli ameagiza vyombo vya dola kulinda watumishi wa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali wanaochunguza masuala mazito, ili wasiingiliwe katika utekelezaji...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mawakili wavutana, mahakama yarudia kutazama video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamua kutazama upya ushahidi wa video iliowasilishwa na shahidi namba sita wa Jamhuri (koplo Charles), katika kesi ya...

Habari Mchanganyiko

AfDB yaikopa Tanzania Bil 414 kuipendezesha Dodoma

SERIKALI ya Tanzania imepewa mkopo wenye masharti nafuu wa zaidi ya Sh. 414 bilioni kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), kwa ajili...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya vigogo wa Chadema, yamuibua Waitara mahakamani

WAKILI wa upande wa utetezi katika kesi ya jinai inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wenzake, Peter Kibatara, amehoji...

Habari za SiasaTangulizi

Kilichoonekana kwenye video ya Mbowe Kisutu

VIDEO ya Freeman Mbowe na wenzake, iliyoibua mvutano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam hatimaye imeoneshwa leo tarehe 19...

Habari za Siasa

Rais Magufuli akabidhiwa Uenyekiti SADC, awatoa hofu wanachama

RAIS John Magufuli leo tarehe 17 Agosti 2019 amekabidhiwa rasmi uenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari Mchanganyiko

Ajali nyingine Moro, wanne wafariki 

WATU wanne wamepoteza maisha huku 26 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Safari Njema likitokea Dar es Salaam lilipogongana na Lori...

Habari Mchanganyiko

‘Mganga mfufuaji’ adakwa Ruvuma

DEO Mapunda, mkazi wa Ruvuma anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kutapeli wananchi kwa kujifanya mganga wa kienyeji. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari Mchanganyiko

Ajali ya moto Moro: Vifo vyaongezeka

MAJERUHI saba kati ya 32 waliokuwa wakiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), wamefariki dunia usiku wa kumkia leo tarehe...

Habari Mchanganyiko

Vifo vya ajali ya lori la mafuta vyaishtua serikali, vyama vya siasa

SERIKALI na vyama vya siasa nchini vimetuma salamu za pole kufuatia vifo vya watu 60 na majeruhi 70 vilivyotokea kwenye mlipuko wa lori...

Habari Mchanganyiko

Marekani, Uingereza yaingilia kati sakata Kabendera

BALOZI za Marekani na Uingereza nchini Tanzania wameingilia kati sakata la kukamatwa mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Leo...

Habari za Siasa

Serikali, Green Miles wavutana

WAKATI serikali ikieleza kufuta umiliki wa kitalu cha uwindaji wa kitalii cha Lake Natron (East), kilichokuwa kinamilikiwa na Kampuni ya Uwindaji wa Kampuni...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabaishara 12 wakamatwa wakiwa na mamilioni ya fedha

JESHI la Polisi mkoani Tanga, linawashikilia wafanyabaishara 12 wanaodaiwa kufanya biashara ya ubadilishaji fedha za kigeni bila leseni ya biashara hiyo kutoka Benki...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda wapumzishwa kuingia mjini, ving’ora, ‘spotlight’ marufuku

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku usafiri wa pikipiki ‘Bodaboda’ kuingia maeneo ya mjini kuanzia tarehe 6 hadi...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Hatuna nguvu 

NCHI za Afrika hazina nguvu katika soko la kimataifa hasa kwenye malighafi, hupangiwa bei ya kuuza kwa wenye viwanda. Anaripoti Regia Mkonde … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

MO Dewji aelewa somo la JPM

MOHAMMED Dewji ‘Mo’, Mkurugenzi wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd (METL), amempongeza Rais John Magufuli kwa jitihada zake za kuleta mageuzi  katika...

Habari Mchanganyiko

TRA: Nusu mwaka tumekusanya 15.9 Tril

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya kiasi cha Sh. 15.9 Trilioni katika kipindi cha nusu mwaka wa 2018/19. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa...

Habari za Siasa

Alhaj Mwinyi: Tuvumiliane

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuvumiliana katika tofauti zao za kiimani. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Alhaj Mwinyi...

Habari za Siasa

Tundu Lissu: Nipo ‘fiti’, sasa nakuja

TUNDU Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki amesema, yupo ‘fiti’ na kwamba sasa hatumii magongo hivyo hanasababu ya kuendelea kukaa Ulaya. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

THDRC yamfuata mwandishi Kabendera polisi

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THDRC), umetuma wawakilishi wake kupeleka maombi ya dhamana kwa mwandishi Erick Kabendera. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli uso kwa uso na Mbowe msibani

RAIS John Magufuli leo tarehe 30 Julai 2019 ametoa salamu za pole kwa familia ya marehemu Meja Jenerali Mstaafu, Alfred Mbowe, aliyefariki dunia...

Habari za Siasa

James Mbatia: Tusipofanya maridhiano, tutaliangamiza taifa

MWENYEKITI wa NCCR- Mageuzi, James Francis Mbatia (55), ameonya kuwa hakuna maendeleo yanayoweza kufikiwa nchini, ikiwa umoja wa kitaifa uliosisiwa na Mwalimu Julius...

Habari za Siasa

Wapinzani wamng’ang’ania Rais Magufuli mezani

CHAMA cha NCCR Mageuzi kimeiomba serikali kuweka meza ya maridhiano na vyama vya upinzani, ili kuzungumzia changamoto zinazoikabili demokrasia hapa nchini. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

JPM aagiza matumizi ya Bil. 15.3  TAZARA kuchunguzwa

RAIS John Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kuchunguza matumizi ya Sh. 15.3 bilioni zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kugharamia matumizi...

Habari za Siasa

Rais Magufuli azindua Stigler’s Gorge, aisitiza ushiriki wa JKT

RAIS John Magufuli leo tarehe 26 Julai 2019 amezindua ujenzi wa Mradi wa Uzalishaji Umeme katika Mto Rufiji ‘Stigler’s Gorge, unaogharimu kiasi cha...

Habari Mchanganyiko

Hekari 2.8 Mil za misitu hatarini kupotea ifikapo 2030

HEKARI za misitu zaidi ya 2.8 Milioni ziko hatarini kupotea ifikapo mwaka 2030, kutokana na ongezeko la matumizi ya nishati mbadala. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Saba mbaroni wakihusishwa vifo vya watu watano Ukerewe

WATU saba wanashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza kwa tuhuma za mauaji ya watu watano akiwemo Ibrahim Njalali, aliyekuwa Ofisa Mfawidhi wa...

Habari za Siasa

Mteule wa JPM ajitetea: Sikuomba rushwa

TUHUMA zilizoelekezwa kwa mteule wa Rais John Magufuli, Lengai Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai (DC) kumwomba rushwa mfanyabiashara Curthebert Swai, limejibiwa....

Habari za Siasa

JPM aagiza mabadiliko ya haraka TAZARA

RAIS John Magufuli ameagiza mchakato wa urekebishaji Sheria ya Reli inayounganisha nchi za Tanzania na Zambia (TAZARA), kufanyika haraka ili kuboresha shughuli za...

error: Content is protected !!