Saturday , 20 April 2024
Home upendo
1867 Articles238 Comments
Habari Mchanganyiko

Mtanzania aomba Ziwa Victoria libadilishwe jina

DAKTARI Abdullah Hasnuu Makame, leo tarehe 6 Desemba 2019, amefikisha azimio la kubadilisha jina la Ziwa Victoria, katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA)....

Habari za SiasaTangulizi

Dovutwa ang’ang’ana na uenyekiti wa UPDP 

FAHMI Nassoro Dovutwa, mwenyekiti wa taifa wa chama cha United People’s Democratic Party (UPDP), anayedaiwa kufukuzwa uongozi wa chama hicho, amegoma kuachia ngazi....

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa amkwepa Sumaye

EDWARD Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu, amekwepa kuzungumzia hatua ya Frederick Sumaye, kujitenga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina Mkonde …...

Habari za Siasa

Hisia za Polepole, Zitto kwa Sumaye

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo pamoja na Humphrey Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamezungumzia hatua...

Habari za Siasa

Sumaye: Wangesema ‘usiguse hapa’

FREDERICK Sumaye, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, amelalamika kutoelezwa ‘ukweli,’ kwamba uchaguzi wa ngazi ya uenyekiti kwenye chama hicho, haufuati Katiba...

Habari za Siasa

Wanaoongoza kanda Chadema hawa hapa 

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewatangaza viongozi wake 29 wa kanda, waliochaguliwa katika chaguzi zilizofanyika kuanzia tarehe 28 Novemba hadi Desemba Mosi...

Habari za SiasaTangulizi

Sumaye, Mwambe hukumu yao Desemba 16

FREDERICK Sumaye na Cecil Mwambe, wanasubiri hukumu yao itayotolewa tarehe 16 Desemba 2019, baada ya kujitosa kugombea nafasi ya uenyekiti-Taifa kupitia Chadema. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Kubenea kuchuana umakamu mwenyekiti Chadema

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo, wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania umakamu...

Habari za Siasa

Ma-DED wala kibano

WAKURUGENZI wa halmashauri nchini, wameagiza kurejesha fedha walizokopa kwenye taasisi za fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Agizo hilo limetolewa...

Habari za Siasa

BAVICHA ni toka ingia

PATRICK Ole Sosopi, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayemaliza muda wake, amesema hana mpango wa kugombea...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yamuonya Bernard Membe

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Onyo hilo limetolewa leo...

Habari za Siasa

Jaji Warioba aingia hofu

JAJI Mstaafu, Joseph Sinde Warioba ameingiwa na hofu kutoa maoni yake kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, uliofanyika tarehe 24 Novemba 2019. Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Bisimba: Nchi imevimba

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen Kijo-Bisimba, ameibuka na kusema, uchaguzi wa Serikali za Mitaa,...

Habari za SiasaTangulizi

Mwambe: Nataka kumtua mzigo Mbowe, Ajifananisha na Simon Wakirene aliyemtua Msalaba Yesu

MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Ndanda, mkoani Mtwara, Cecil Mwambe, amejitosa kwenye kinyang’anyiro cha uenyekiti ndani ya...

Habari Mchanganyiko

China kuchangia 98 Bil. ujenzi makao makuu ya ulinzi Dodoma

SERIKALI ya China imepanga kutoa Yuan RMB 300 Milioni (Tsh. 98,084,910,435.8), kwa ajili ya kuimarisha ulinzi nchini ikiwemo, ujenzi wa Makao Makuu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waanza kupanga mikakati ya kushughulikiana

UHASAMA na siasa za makundi vimeanza kushika kasi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia baadhi ya viongozi wandamizi wa chama...

Habari za Siasa

Viongozi Chadema watuhumiwa kumpiga risasi diwani wa CCM

VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Songwe, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi katika Kituo cha Vwawa, kwa tuhuma za kumjeruhi...

Habari za SiasaTangulizi

Bombadier ya Tanzania yakamatwa Canada, Prof. Kabudi achimba mkwara

NDEGE aina ya Bomberdier Q 400 iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania, inashikiliwa nchini Canada, kwa amri ya mahakama. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Mtatiro awaonya wanaokwamisha minada ya korosho

JULIUS Mtatiro, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, amewaonya watendaji watakaokwamisha minada ya korosho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Mtatiro ametoa onyo...

Habari za Siasa

Wanaolalamika mahindi kupanda, walime ya kwao – Rais Magufuli

RAIS John Magufuli amewataka watu wanaolalamika bei ya mahindi kupanda, wakalime ya kwao, ili yawe ya bei ya chini. Anaripoti Regina Mkonde … (endela)....

Habari za Siasa

IGP Sirro: Namsubuiri Lissu

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amemweka kiporo Tundu Lissu, na kwamba anamsubiri atokeo alipo ili kutoa ushahidi wa kupigwa...

Habari za Siasa

Mchungaji Msigwa ajisalimisha Oysterbay

MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini yuko njiani kujisalimisha katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, jijini Dar es Salaam. Ni baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vilivyosusa uchaguzi: Watanzania jiandaeni kujibu mapigo

VYAMA saba vilivyojitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vimewataka wanachama wake kukaa mkao wa kujibu mapigo, ikiwa mapendezo yao kuhusu uchaguzi huo,...

Habari za SiasaTangulizi

TAMISEMI yaja na sharti jipya kwa vyama vilivyojitoa

WIZARA ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI imewataka wagombea wa vyama vya upinzani, vilivyojitoa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, kuandika barua za kujitoa katika...

Habari za Siasa

Uchaguzi Serikali za Mitaa: TLP, UMD, DP kuanza kampeni kesho

VYAMA visivyokuwa na uwakilishi bungeni, TLP, UMD na DP, kesho tarehe 17 Novemba 2019  vitaanza kufanya kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa....

Habari za Siasa

Maalim Seif azungumzia ‘usaliti’ kwa Rais Aboud Jumbe

WATU waliokuwa karibu na Rais Aboud Jumbe wakati huo, ndio walioiba waraka na kutoa nakala, kisha ule asili ‘original’ wakaurudishwa, nakala nyingine waliipeleka...

Habari za Siasa

Maalim Seif atoa ya moyoni kuhusu Prof. Lipumba

MAALIM Seif Shariff Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, hana kinyongo na Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yajihami kimataifa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimezitaka Jumuiya za Kimataifa kupuuza malalamiko ya vyama vya wapinzani nchini, kwamba vinahujumiwa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza na...

Habari za SiasaTangulizi

Msimamo wa Jafo, sherehe kwa CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeungana na kauli ya serikali kwamba ‘hakuna kuweka mpira kwapani.’ Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo, ilianza kutumiwa na...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Laini za simu hazitafungwa

SERIKALI imesema, hakuna Mtanzania amabaye laini yake ya simu itafungwa kwasababu ya kutosajiliwa kwa alama za vidole. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo watoa masharti 4 kushiriki uchaguzi 

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetoa masharti manne kwa serikali, ili kishiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Masharti hayo yametolewa...

Habari za Siasa

CUF wajitafakari kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitafanya kikao, kwa ajili ya kujadili ushiriki wake katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajia kufanyika tarehe 24...

Habari za Siasa

Vyama 11 vyamjibu Zitto, vyaeleza walipo wagombea wake

VYAMA 11 visivyo na uwakilishi bungeni, vimeeleza mahali viliposimamisha wagombea wake, wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Maelezo...

Habari za Siasa

Uhuru wa kisiasa: JPM atoa neno zito

RAIS John Magufuli, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) amesema, uhuru wa kisiasa hauna maana kama nchi za Afrika zitaendelea...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo yameharibika: CUF, Chadema, NCCR joto lapanda

MIKASA katika uchukuaji na urejeshaji fomu imetamalaki katika maeneo mbalimbali nchini, viongozi wa upinzani sasa wanaelekeza kilio cha kwa serikali. Anaripoti Regina Mkonde …...

Michezo

Zahera alia na Dk. Msolla, adai amemgeuka

MWINYI Zahera, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, ametoa hadharani siku moja baada ya kufutwa kazi katika klabu hiyo, na kudai kuwa Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Serikali: Mwaka 2015 – 19 tumeajiri watu 184,141

SERIKALI imesema, imeajiri watu 184141, kuanzia mwaka 2015 hadi 2019. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Takwimu hizo zimetolewa leo tarehe 5 Novemba 2019,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Ofisi ya CAG ni chafu

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ni chafu, hivyo  Charles Kichere nenda kaisafishe. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za Siasa

Kauli ya Prof. Assad baada ya utenguzi

UTEUZI wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), umefanyika huku, Prof. Mussa Assad akiwa hajui lolote. Anaripoti Regina Mkonde …...

Habari Mchanganyiko

OSHA kuwafikia wajasiriamali katika mazingira hatarishi

WAKALA wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA) umesema uko katika mkakati wa kuwafikia wajasiriamali, wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Ndugai aimwagia sifa Kenya

JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameipongeza Kenya kwa kuzindua Kanuni za Kudumu za Bunge lake, kwa lugha ya Kiswahili. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Hujuma Serikali za Mitaa: Chadema wamvaa Jafo, Msajili

MAZINGIRA mabovu, vitimbi na hujuma katika siku ya kwanza ya kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali, kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, yameitibua...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto, Mbowe, Kabendera watajwa ripoti ya Amnesty

SERIKALI ya Rais John Magufuli, imeshauriwa kubadili mwelekeo wake, ikiwa ina dhamira ya kweli katika kuimarisha uhuru na demokrasia nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Pia,...

Habari za Siasa

JPM: ATCL imekusanya Bil. 32.7

RAIS John Magufuli amesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limekusanya mapato, kiasi cha Dola 14 milioni (sawa na TSh. 32.7 bilioni). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Nane wafariki dunia gari likitumbukia mtoni Tanga

WATU nane wamefariki dunia wilayani Handeni mkoani Tanga, baada ya gari walilokuwa wanasafiria, kutumbukia mtoni. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...

Habari za Siasa

Jaji Warioba: Lazima tuwe na msimamo

JAJI Joseph Warioba, Waziri Mkuu Mstaafu amezitaka nchi za Afrika kuwa na msimamo dhidi ya ukoloni mamboleo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Ametoa kauli...

Habari za Siasa

Tuiambie dunia inatosha – Prof. Kabudi

PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, amewataka wananchi kutotikiswa na vitisho vya kunyimwa misaada ya fedheha kutoka mataifa...

Habari za Siasa

Kubenea: CUF ndio wasaliti

SIKU moja baada ya Chama cha Wananchi (CUF), kusisitiza kwamba hakitashirikiana na vyama vingine kutokana na kusalitiwa, Saed Kubenea amesema ‘CUF ndio wasaliti’. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Bimani aeleza machungu siasa za upinzani

SALIM Bimani, Mwenyekiti wa Kamati ya Itikadi, Uenezi, Mawasiliano na Umma wa Chama cha ACT Wazalendo,  amesema kitendo cha vyama vya siasa, kuzuiwa...

Habari Mchanganyiko

Kwanza TV yakata rufaa

KAMPUNI ya Kwanza, inayoendesha Televisheni ya mtandaoni (Kwanza TV), inatarajia kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kufungiwa chaneli yake, kwa muda miezi sita....

error: Content is protected !!