Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko TRA: Nusu mwaka tumekusanya 15.9 Tril
Habari Mchanganyiko

TRA: Nusu mwaka tumekusanya 15.9 Tril

Spread the love

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya kiasi cha Sh. 15.9 Trilioni katika kipindi cha nusu mwaka wa 2018/19. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa tarehe 31 Julai 2019 na Richard Kayombo, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi TRA, Makao Makuu.

Taarifa hiyo imeeleza, TRA imefanikiwa kukusanya kiasi hicho kati ya lengo la ukusanyaji wa Sh. 18 Trilioni kuanzia tarehe 1 Julai 2018 hadi 30 Juni mwaka huu

Aidha, taarifa hiyo imesema katika kipindi cha robo ya nne ya mwaka wa fedha wa 2018/19 (mwezi Machi hadi Juni 2019), TRA ilikusanya Sh. 1.1 Trilioni mwezi Aprili, 1.2 Trilioni (Mei), na 1.5 trilioni (Juni).

“Kwa namna ya kipekee kabisa TRA inawashukuru walipakodi na wananchi wote kwa ujumla kwa ushirikiano,” inaneleza taarifa ya Kayombo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!