Wednesday , 27 September 2023
Home Habari Mchanganyiko TRA: Nusu mwaka tumekusanya 15.9 Tril
Habari Mchanganyiko

TRA: Nusu mwaka tumekusanya 15.9 Tril

Spread the love

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya kiasi cha Sh. 15.9 Trilioni katika kipindi cha nusu mwaka wa 2018/19. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa tarehe 31 Julai 2019 na Richard Kayombo, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi TRA, Makao Makuu.

Taarifa hiyo imeeleza, TRA imefanikiwa kukusanya kiasi hicho kati ya lengo la ukusanyaji wa Sh. 18 Trilioni kuanzia tarehe 1 Julai 2018 hadi 30 Juni mwaka huu

Aidha, taarifa hiyo imesema katika kipindi cha robo ya nne ya mwaka wa fedha wa 2018/19 (mwezi Machi hadi Juni 2019), TRA ilikusanya Sh. 1.1 Trilioni mwezi Aprili, 1.2 Trilioni (Mei), na 1.5 trilioni (Juni).

“Kwa namna ya kipekee kabisa TRA inawashukuru walipakodi na wananchi wote kwa ujumla kwa ushirikiano,” inaneleza taarifa ya Kayombo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya madini kurusha ndege ya utafiti wa madini Geita

Spread the loveKutokana na mchango wa wachimbaji wadogo wa madini kwenye pato...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza kampuni za madini kuzingatia utunzaji mazingira, azitaka zijifunze kwa GGML

Spread the loveWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apewa tano ujenzi barabara Mtwara

Spread the loveWANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk....

error: Content is protected !!