CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeeleza dhamira yake ya kuking’oa Chama Cha Mapinduzi (CCM), bila kushirikiana na chama chochote. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Kimeeleza, tayari...
By Regina MkondeOctober 23, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kiko hoi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Zitto ametoa kauli hiyo wakati akiwapokea...
By Regina MkondeOctober 22, 2019RAIS John Magufuli amesema, kazi ya uongozi inahitaji uvumilivu pamoja na kumtanguliza Mungu katika kila jambo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Rais Magufuli ametoa kauli...
By Regina MkondeOctober 20, 2019RAIS John Magufuli leo tarehe 19 Oktoba 2019 amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kwa mujibu wa...
By Regina MkondeOctober 19, 2019SERIKALI imekanusha madai ya Kompyuta za Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP), zenye taarifa za watuhumiwa wa uhujumu uchumi, kuibiwa na watu...
By Regina MkondeOctober 19, 2019ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametangaza kuwachapa bakora wanaume na wanawake wasiofunga ndoa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Chalamila ametangaza kampeni hiyo kufuatia mijadala...
By Regina MkondeOctober 18, 2019UANDIKISHAJI wa daftari la wapiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa tarehe 24 Novemba 2019, umegubikwa na mitazamo mbalimba. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeOctober 16, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameapa wagombea wake kutoibiwa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika...
By Regina MkondeOctober 15, 2019VIWANGO vikubwa vya kodi vimelalamikiwa katika mkutano wa Wakurugenzi wa Asasi za Kiraia (AZAKI). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Wakizungumza katika nyakati tofauti kwenye...
By Regina MkondeOctober 14, 2019SERIKALI yaongeza siku tatu katika zoezi la uandikishaji wapiga kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Zoezi hilo lililoanza...
By Regina MkondeOctober 13, 2019RAIS John Magufuli ametangaza kuhamia rasmi kwenye Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa na Gerson Msigwa,...
By Regina MkondeOctober 12, 2019ZACHARY Kakobe, Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) ameongoza sala ya kuombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019...
By Regina MkondeOctober 12, 2019MFANYABIASHARA bilionea na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth amesalimu amri kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP). Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Seth...
By Regina MkondeOctober 10, 2019MABADILIKO kamili katika siasa, uchumi na kijamii hayawezi kufikia iwapo wananchi watasita kwenda kujiandikisha ili kupiga kura. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli...
By Regina MkondeOctober 9, 2019KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Mwita Waitara ambaye ni Mbunge wa Ukonga pia Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi, ameanza kupiga...
By Regina MkondeOctober 7, 2019KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Vincent Mashinji amesema, ‘tayari tumemjibu msajili.’ Anaandika Regina Mkonde…(endelea). Amesema, chama hicho kimejibu...
By Regina MkondeOctober 7, 2019OFISI ya Msajili wa Jumuiya za Kijamii na Taasisi za Kidini, kufanya uhakiki wa taasisi na jumuiya hizo, zilizopo katika mikoa ya Kanda...
By Regina MkondeOctober 3, 2019MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amewapongeza viongozi mbalimbali walioteuliwa na Rais John Magufuli, na kuwatahadharisha kwamba kazi ipo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeOctober 1, 2019HATUTAFUMBIA macho watu, taasisi na vyama vya siasa vitakavyokiuka sheria. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 1 Oktoba 2019 na...
By Regina MkondeOctober 1, 2019RAIS John Magufuli amesaini sheria nne zilizopitishwa katika mkutano wa 16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeOctober 1, 2019WATUHUMIWA 467 wa uhujumu wameomba toba, na kukubali kurejesha serikalini fedha walizotafuna zaidi ya Sh. 107.1 bilioni. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hayo...
By Regina MkondeSeptember 30, 2019ASASI za Kiraia nchini (AZAKI) zimeipongeza Serikali ya Awamu ya Tano, chini ya Rais John Pombe Magufuli kwa kuboresha huduma za kijamii na...
By Regina MkondeSeptember 28, 2019ASASI za Kiraia nchini, zimeikumbusha serikali kutimiza ahadi yake ya upatikanaji wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano, kabla ya mwaka 2021. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeSeptember 28, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa mtihani mzito Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeSeptember 25, 2019RAIS John Magufuli amemteua Alhaji Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi...
By Regina MkondeSeptember 25, 2019KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimetoa wito kwa mamlaka husika kuhakikisha dhana ya makubaliano ya kukiri kosa, inatumika kwa...
By Regina MkondeSeptember 25, 2019RAIS John Magufuli amemteua Dk. Amina Msengwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa ya...
By Regina MkondeSeptember 25, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amezungumzia tukio la kutimuliwa kwake ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwamba lilimpa...
By Regina MkondeSeptember 24, 2019IMECHUKUA siku saba tu kutekelezwa kauli ya Rais John Magufuli, ya kushughulikia tatizo la maji kwenye jimbo la Singida Mashariki lililokuwa likiongozwa na...
By Regina MkondeSeptember 23, 2019RAIS John Magufuli ameshauri wafungwa walioko mahabusu kwa tuhuma za uhujumu uchumi, kama wako tayari kuomba radhi na kuzirudisha fedha walizotafuna, watolewe. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 22, 2019SERIKALI yatoa majibu kuhusu sintofahamu ya zao la korosho, iliyojitokeza kufuatia hatua yake ya kuingilia kati uuzaji wa korosho ghafi za msimu wa...
By Regina MkondeSeptember 21, 2019DAKTARI Modestus Kipilimba, aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), ameteuliwa kuwa balozi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Rais Magufuli alimfuta kazi Dk....
By Regina MkondeSeptember 20, 2019SERIKALI imeeleza, bado inadaiwa kiasi cha Sh. 50 bilioni na wakulima wa zao za korosho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza na wanahabari leo...
By Regina MkondeSeptember 20, 2019HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema, anampenda Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 19, 2019JENGO moja la Shule ya Sekondari ya Old Tanga, iliyoko jijini Tanga limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 18 Septemba 2019. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeSeptember 18, 2019KIFO cha Godfrey Dilunga, mwandishi wa habari za mtafiti, mhariri na mchokonozi, kimeumiza tasnia nzima ya habari na kada zingine nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeSeptember 17, 2019RAIS John Mgaufuli amesema, kelele zilizoibuka baada ya ndege ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL), kushikiliwa nchini Afrika Kusini kwa amri ya...
By Regina MkondeSeptember 16, 2019ADO Shaibu, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha ACT Wazalendo, na viongozi wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam,...
By Regina MkondeSeptember 14, 2019SERIKALI imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba kuna mlipuko wa virusi vya ugonjwa wa Ebola hapa nchini. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hivi karibuni...
By Regina MkondeSeptember 14, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na wenzake, wamekutwa na kesi ya kujibu katika kesi ya jinai namba 112/2018, inayowakabili kwenye Mahakama ya...
By Regina MkondeSeptember 12, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Septemba 2019, imeombwa kulielekeza Jeshi la Magereza kuruhusu Mwandishi wa Habari...
By Regina MkondeSeptember 12, 2019OMARY Nundu, aliyewahi kuwa Mbunge wa Tanga Mjini na Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne chini ya Rais Jakaya Kikwete,...
By Regina MkondeSeptember 11, 2019SERIKALI ya Tanzania imepatiwa msaada wa Sh. 32.74 bilioni kutoka Ujerumani kwa ajili ya kutokomeza vifo vitokanavyo na uzazi, pamoja na kudhibiti maambukizi...
By Regina MkondeSeptember 10, 2019MTU mmoja amefariki duniani wakati nane wakinusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya madini wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 10, 2019BALOZI Paul Ndobho, aliyewahi kuwa Mbunge wa Musoma vijijini kupitia NCCR-Mageuzi, amefariki dunia katika Hospitali ya Bugando, jijini Mwanza. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeSeptember 9, 2019JULUS Mtatiro, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma amelitaka Jeshi la Polisi wilayani humo kutotumia nguvu katika kushughulikia madereva wa pikipiki ‘Bodaboda’ wanaovunja...
By Regina MkondeSeptember 8, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amezungumzia miaka miwili tangu Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki ashambuliwe na risasi jijini...
By Regina MkondeSeptember 7, 2019SERIKALI imesitisha safari za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwenda Afrika Kusini, kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Raia...
By Regina MkondeSeptember 5, 2019RAIS John Magufuli amewasamehe January Makamba, aliyekuwa Waziri wa Mazingira na Muungano na Willium Ngeleja, Mbunge wa Sengerema baada ya kumwomba radhi. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeSeptember 4, 2019UKATILI wa kijinsia dhidi ya watoto, umeongezeka kwa asilimia 7.7 kutoka matukio 13,457 mwaka 2017 hadi 14,419 mwaka 2018 huku mikoa mitano ikiongoza. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 4, 2019