Friday , 3 May 2024
Home mwandishi
8780 Articles1247 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Madini ya Tanzanite: Rais Samia ampa maagizo Biteko

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemwagiza Waziri wa Madini, Doto Biteko kukaa na wawekezaji ili kuangalia njia bora ya kuyalinda madini...

Habari Mchanganyiko

Upasuaji tundu dogo: JKCI yaokoa bilioni 250

  TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), nchini Tanzania, imefanikiwa kuokoa Sh. 250.7 bilioni, kwa kuwafanyia upasuaji kwa njia ya tundu ndogo,...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya bado anakinga mshahara

  WAKATI mkuu wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, akifikishwa mahakamani na kutupwa katika mahabusu ya gereza la Kisongo, mkoani...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji watishia usalama Shamba la Mtibwa

  WAFUGAJI wanadaiwa kutishia usalama wa maafisa uhifadhi wa Shamba la Miti la Mtibwa, kufuatia vitendo vyao vya kuvamia kambi zao, kwa ajili...

Kimataifa

Aliyemchapa kofi Rais Macron hadharani miezi 4 jela

  DAMIEN Tarel, amehukumiwa kifungo cha miezi minne jela, kwa kosa la kumpiga kofi Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, hadharani. Inaripoti Mitandao ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua wakuu wa mikoa, Chalamila atoswa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Ijumaa tarehe 11 Juni 2021, amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa ya Mara, Mwanza...

Habari za Siasa

Bunge laagiza uchunguzi MOI

  BUNGE la Tanzania, limeiagiza Serikali, ifanye uchunguzi wa mifumo inayoratibu shughuli za kitabibu na hesabu za Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI)....

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Nikiharibu alaumiwe Anna Makinda

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge, amesema akifanya vibaya katika kuungoza mhimili huo, wa kulaumiwa ni Spika Mstaafu, Mama Anna Makinda, aliyekuwa mwalimu...

Habari za SiasaTangulizi

Bajeti 2021/22 yamuibua Zitto

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema hatua ya Serikali kufanya uhakiki wa madeni ya wastaafu katika mifuko ya hifadhi ya...

Kimataifa

Fedha za COVID-19: IMF yaitega Tanzania

  SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF), limesema liko tayari kuipatia mkopo wa dharura wa Dola za Marekani 574 milioni (Sh. 1.3 trilioni), Serikali...

Habari za Siasa

Deni la Taifa laongezeka kwa Tril. 5.4

  DENI la Taifa la Tanzania, limeongezeka kwa Sh. 5.4 trilioni, kutoka Sh. 55.5 Aprili 2020, hadi kufikia Sh. 60.9 trilioni, Aprili 2021....

Habari za SiasaTangulizi

Bajeti 2021/22 EAC kuwasilishwa Leo

  LEO Alhamisi, tarehe 10 Juni 2021, nchini za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zitawasilisha Bajeti za nchi zao, ikiwemo Tanzania. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Trump ajitosa mgogoro wa Nigeria, Twitter

  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, ameunga mkono hatua ya Serikali ya Nigeria, kuufunga mtandao wa kijamii wa Twitter, nchini humo, huku...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia auaga mwili wa Mzindakaya, kuzikwa kesho

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Ibada ya kumwombea mwanasiasa mkongwe nchini humo, Chrisant Majiyatanga Mzindakaya (80), aliyefariki dunia, Jumatatu ya...

Kimataifa

Museveni ampa uwaziri mkewe, makamu wake mwanamke

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ametangaza barabara lake jipya la mawaziri, lenye mawaziri 32, akiwemo mke wake, Janet Museveni, aliyemteuwa kuwa Waziri...

Michezo

Simba yarejea mawindoni

  Maraba baada ya mapumziko siku tano kikosi cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kimeanza tena mazoezi kwa ajili ya ungwe...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya wenzake wanusa miaka 200 jela

  MASHITAKA sita yanayomkabili Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro, nchini Tanzania, aliyesimamisha kazi, Lengai ole Sabaya, yaweza kumuweka kwenye kifungo cha...

Habari Mchanganyiko

‘Mateja’ wachongewa bungeni

  MBUNGE Viti Maalum (CCM), Fakharia Shomar Khamis, ameihoji Serikali kama inafahamu watumiaji wa dawa za kulevya ‘Mateja’, wanaongoza kwa vitendo vya wizi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Lissu afanyiwa upasuaji wa 25

  TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, nchini Tanzania, amefanyiwa upasuaji wa 25. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi wawili

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wawili akiwemo, Profesa Eleuther Alphonce Mwageni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo...

Kimataifa

Rais wa Ufaransa achapwa kofi hadharani

  RAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amejikuta katika wakati mgumu, baada ya kupigwa kofi la uso na mwananchi, katika ziara yake ya kikazi,...

Afya

Tanzania yasisitiza wananchi kujikinga na corona

  SERIKALI ya Tanzania, imesisitiza miongozo yote iliyotolewa kwa umma kujikinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya corona (COVID – 19), izingatiwe. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mzindakaya kuzikwa Alhamisi Rukwa

  MWILI wa mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Hayati Dk. Chrisant Mzindakaya (79), unatarajiwa kuzikwa Alhamisi tarehe 10 Juni 2021, nyumbani kwake Sumbawanga mkoani...

Habari Mchanganyiko

Misa yafanya uchaguzi, Salome Kitomari aula

  TAASISI ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA), imefanya uchaguzi wa viongozi wake, pamoja na kuhamishia makao makuu ya kanda nchini...

Habari Mchanganyiko

Bundi atua kwa Makonda, Mnyeti

  BAADHI ya wadau wa haki za binadamu nchini Tanzania, wametaka serikali kukunjua makucha yake kwa kuanzisha uchunguzi maalum kwa watumishi wa umma,...

Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Rais Samia anazungumza na wanawake Dodoma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumanne, tarehe 8 Juni 2021, anazungumza na wanawake wa Mkoa wa Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

SMZ, LSF wazindua wiki ya msaada wa kisheria

  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), kwa kushirikiana na Shirika linaloshughulika na masuala ya kisheria ‘Legal Services Facility (LSF)’, imezindua wiki ya msaada...

Habari za SiasaTangulizi

Mshituko Freeman Mbowe kung’atuka Chadema

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ametamka bayana kuwa anatamani kung’atuka mwaka 2023 na kupisha wengine. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Rais Mseven afunga shule, baa na makanisa Uganda

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ametangaza kufungwa kwa shule na taasisi za elimu ya juu na kusitisha mikusanyiko ya watu nchini humo...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwigulu: Tumeendelea kulipa mafao wastaafu na mirathi, 57,351…

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba amesema, hadi kufikia Aprili 2021, malipo ya mafao na pensheni kwa wastani...

MichezoTangulizi

Bocco, Dube hapatoshi

WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara inaelekea ukingoni huku kukiwa na vita tatu tofauti katika maeneo mablimabli kwenye msimu huu wa 2020/21, huku vita...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuteta na wanawake Dodoma kesho

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumanne, tarehe 8 Juni 2021, kuanzia saa 3:00 asubuhi, atazungumza na wanawake wa mkoa wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waziri Ndugulile atoa maagizo TCRA

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (Tehama), Dk. Faustine Ndugulile ameitaka, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuboresha mifumo mbalimbali ya usimamizi wa...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Dunia yaikopesha Tanzani trilioni 2.34

  BODI ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia (WB), imetoa mkopo wa masharti nafuu kwa Serikali ya Tanzania wa dola za Kimarekani bilioni...

Michezo

Uchaguzi mkuu TFF Agosti 8

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza Uchaguzi Mkuu wa shirikisho hilo, utafanyika tarehe 7 Agosti 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa...

Habari za Siasa

Serikali yachambua miradi ya Magufuli

  SERIKALI ya Tanzania, imeeleza hatua ilizofikia katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati, iliyoachwa na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John...

Habari Mchanganyiko

Migogoro hifadhi za wanyamapori yafukuzisha askari 61

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, amesema Askari wa Hifadhi za Wanyamapori 61 wamefukuzwa kazi, huku 40 wakisimamishwa kupisha uchunguzi...

Kimataifa

Nigeria yafungia mtandao wa Twitter

  NCHI ya Nigeria, imefungia mtandao wa kijamii wa Twitter kwa muda usiojulikana, ikijibu mapigo baada ya mtandao huo kufuta taarifa ya Rais...

Habari za Siasa

Anguko sekta ya utalii: Nape aibana wizara bungeni

  MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi (CCM), Nape Nnauye, ameonya anguko la sekta ya uwindaji wa kitalii, endapo Serikali haitachukua hatua madhubuti, kukabiliana...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya na wenzake wasomewa mashtaka 5, wakosa dhamana

  LENGAI Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro na wenzake watano, wamesomewa mashtaka matano, katika Mahakama ya Hakimu...

Habari za SiasaTangulizi

Jina la Hifadhi ya Burigi-Chato lapingwa bungeni

  MBUNGE wa Biharamulo (CCM), Ezra Chiwelesa, ameiomba Serikali ya Tanzania, ibadili jina la Hifadhi ya Taifa ya Burigi-Chato, ili kuzima mjadala ulioibuliwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake wafikishwa kortini

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimajaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, tarehe 4 Juni 2021, wamefikishwa Mahakama...

Habari Mchanganyiko

KITS yapeleka Tanzania wawekezaji wa Kimarekani

  KAMPUNI ya Kimataifa inayojihusisha na masuala ya Utalii ya Kilimanjaro International Tourism and Safaris (KITS), imeleta wawekezaji wakubwa wawili kutoka Marekani ili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia apokea ujumbe wa Kagame, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepokea ujumbe kutoka kwa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Ujumbe huo umewasilishwa leo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Takukuru yamkalia shingoni Kakoko wa bandari

  MKURUGENZI mpya wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru), Salum Hamduni, amemalizia kazi ya kuchunguza ubadhilifu wa mabilioni ya...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Lissu atia mguu Chato

  ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Tundu Lissu amejitosa kwenye mjadala wa kuundwa kwa mkoa mpya...

Habari za Siasa

Samia awanyooshea kidole wateule wanaoutaka ubunge

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka waliogombea ubunge na kukosa na sasa wameteuliwa kuwa wakuu wa mikoa (RC), kutofikiria ubunge na...

Habari za Siasa

Rais Samia atoa onyo kwa Ma RC, RAS

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ametoa onyo kwa wakuu wa mikoa (RC) na makatibu tawala wa mikoa (RAS), kufanya kazi kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaapisha Ma RAS, Waziri Mkuchika

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa (RAS) 11 na George Mkuchika, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Habari za Siasa

Kisa mavazi: Ndugai amtimua mbunge bungeni, atoa maagizo

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ametoa maagizo kwa walinzi wa Bunge hilo, kutowaruhusu wabunge wanaovaa vibaya kuingia bungeni. Anaripoti Mwandishi...

error: Content is protected !!