Monday , 29 May 2023
Home Habari Mchanganyiko Bundi atua kwa Makonda, Mnyeti
Habari Mchanganyiko

Bundi atua kwa Makonda, Mnyeti

Paul Makonda
Spread the love

 

BAADHI ya wadau wa haki za binadamu nchini Tanzania, wametaka serikali kukunjua makucha yake kwa kuanzisha uchunguzi maalum kwa watumishi wa umma, wanaotuhumiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Miongoni mwa wanaotajwa kuwa wanastahili kuchunguzwa, ni pamoja na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda; aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti na mkuu wa wilaya ya Rorya, mkoani Mara, Simon Ezekiel Odunga.

Mnyeti na Makonda, wanatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka, wakati wakiwa viongozi wa umma, katika kipindi cha utawala wa Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Kabla ya kuwa mkuu wa mkoa wa Manyara, Mnyeti ambaye kwa sasa, ni mbunge wa Misungwi, mkoani Mwanza, alikuwa mkuu wa wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha.

Alexander Mnyeti 

Makonda, aliondoka kwenye utumishi wa umma, tarehe 15 Julai 2020, baada ya uteuzi wake kufutwa na Hayati Rais Magufuli, kufuatia hatua yake ya kujitosa kwenye mbio za ubunge katika jimbo la Kigamboni.

Kwa nini Makonda, Mnyeti na Onduga wachunguzwe? Kipi wanatuhumiwa kukitenda? Soma Gazeti la Raia Mwema la leo Jumanne, tarehe 8 Juni 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Kirigini kuzikwa leo Butiama

Spread the love  MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini (1980-1985), Herman...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jeshi la Polisi kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika utafiti

Spread the love  JESHI la Polisi Nchini limesema kuwa katika kukabiliana na...

Habari Mchanganyiko

Kampeni ya Samia Legal Aid yazinduliwa Manyara, kesi 45 zapokelewa

Spread the love  KAMPENI ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, imezinduliwa...

Habari Mchanganyiko

NMB ya kwanza kuzindua Malipo kwa QR na UnionPay International

Spread the loveBENKI ya NMB kwa kushirikiana na UnionPay International (UPI), wamezindua...

error: Content is protected !!