Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia auaga mwili wa Mzindakaya, kuzikwa kesho
Habari Mchanganyiko

Rais Samia auaga mwili wa Mzindakaya, kuzikwa kesho

Rais Samia Suluhu Hassan akiaga mwili wa mwanasiasa mkongwe, Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Ibada ya kumwombea mwanasiasa mkongwe nchini humo, Chrisant Majiyatanga Mzindakaya (80), aliyefariki dunia, Jumatatu ya tarehe 6 Juni 2021, Katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mwili wa Mzindakaya, umeagzwa leo Jumatano, tarehe 7 Juni 2021, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay, Dar es Salaam.

Mwili wa Mzindakaya, aliyezaliwa tarehe 31 Desemba 1940, utazikwa kesho Alhamisi, Sumbawanga mkoani Rukwa.

Mara baada ya shughuli ya kumwombea na kumuaga kumalizika, unasafirishwa kwa ndege mpaka Songwe na kutoka Songwe mwili utapelekwa kwa barabara hadi Sumbawanga.

Enzi za uhai wake, Mzee Mzindakaya amepata kuwa mbunge kwa kipindi cha zaidi ya miaka 40 pamoja na kuhudumu serikalikalini katika nafasi mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!