Monday , 6 May 2024
Home danson
968 Articles62 Comments
Habari Mchanganyiko

Muswada wa kutambua madaktari wapitishwa

BUNGE limeridhia na kupitisha  muswada wa sheria ya madaktari, madaktari wa meno na wataalam wa afya shirikishi wa mwaka 2016, ambao utasimamia taaluma...

Habari za SiasaTangulizi

Spika  Ndugai asema usalama Tanzania ni sifuri

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge kuwa makini pindi wawapo majimboni kwao au nje ya jimbo kutokana na hali ya usalama kutokuwa...

Habari Mchanganyiko

Biashara ya ngono yatua bungeni

WANAUME wameshauriwa kuacha kununua wanawake Makahaba ili kuua biashara hiyo haramu katika maeneo mbalimbali hapa nchini, anandika Dany Tibason. Imeelezwa bungeni kuwa kama...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji hospitali za serikali kukaukiwa dawa

MBUNGE wa Siha Dk. Godwin Mollel (Chadema) ameihoji serikali na kutaka ieleze ni kwa nini hospitali zake nyingi   zinakosa dawa muhimu za binadamu...

Habari Mchanganyiko

JWTZ yaunda kikosi maalum kusaka silaha

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk.Husein Mwinyi ameliambia Bunge kuwa kwa sasa kimeundwa kikosi kazi kwa ajili ya kusaka silaha...

Habari Mchanganyiko

Nape arusha neno vyama vya ushirika

MBUNGE  wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye (CCM), ametaka ubadilishwe utaratibu wa kupata viongozi wa vyama vya ushirika katika maeneo mbalimbali hapa nchini,...

Habari za Siasa

Profesa Mbarawa abanwa mbavu bungeni

WAKAZI   Mlimba wanatembea zaidi ya kilometa 321 kuelekea Ifaakara wilaya ya Kilombelo kwa aajili ya kufuata huduma za matibabu, mahakama na huduma za...

Habari Mchanganyiko

Mchengerwa alia tatizo la umeme Rufiji

MBUNGE wa Rufiji Mohammed Mchengerwa(CCM) amehoji ni lini serikali itawaunganisha wananchi wa Rufiji,Kibiti na Kilwa kwenye grid ya taifa, anaandika Dany Tibason. Akiuliza...

Habari Mchanganyiko

Jimbo la Same waahidiwa maji

SERIKALI imesema kutokana na changamoto ya upungufu wa maji katika Hifadhi ya Mkomazi inaendelea kuchimba mabwawa sita ili kukidhi mahitaji, anaandika Dany Tibason....

Habari za Siasa

Mbunge Waitara ambana Naibu Spika atoe ushuhuda

MBUNGE wa Ukonga  Mwita Waitara (Chadema) amembana Naibu Spika, Dk.Tulia Akson na kumtaka atangaze kuwa anautambua uongozi wa gani wa wabunge wa CUF...

Habari za Siasa

Ndugai kama Magufuli, hataki kuguswa

SPIKA wa Bunge Job Ndugai ameagiza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama, kuhakikisha inamsaka mbunge wa Ubungo Saed Kubenea (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Mkwara wa Lipumba wapagawisha wabunge wa CCM

HOFU ya wabunge kuvuliwa uanachama na kusababisha wapoteze nyadhifa zao za ubunge sasa imeanza kutanda ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), anaandika Dany...

Habari za SiasaTangulizi

CUF ya Lipumba yaunda kambi yao ya upinzani bungeni

CHAMA cha Wananchi (CUF) kinachomuunga mkono Prof. Ibrahim Lipumba wametangaza kuunda kambi yao Bungeni tofauti na Kambi Rasmi Bungeni inayoundwa na UKAWA, anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati ya Bunge yamparura Simbachawene, Muhongo

KAMATI teule za Bunge za kuchunguza madini ya Almasi na Tanzanati leo zimewasilisha ripoti hiyo kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai huku baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mbunge Kessy alia na maji Ziwa Tanganyika

IMEELEZWA kuwa tatizo la kushuka kwa kina cha maji ya Ziwa Tanganyika limesababishwa na kubomoka kwa banio la maji kwenye mto Lukuga (DRC),...

Habari Mchanganyiko

Uhaba wa  maji pasua kichwa kwa serikali

SERIKALI imesema imeifanya  tathmini ya miradi ya maji yote nchini na kwa sasa inawekewa mipango sahihi ya kutekelezwa ili wananchi waweze kupata huduma...

Elimu

HESLB: Hatutasaidia wanafunzi watakaokosea kuomba mikopo

BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), imesema haitatoa nafasi ya wanafunzi waliokosea kuomba mikopo kurekebisha makosa yao, kama ilivyoombwa na wanafunzi...

Habari Mchanganyiko

Walemavu wanaobaguliwa ajira wapata mtetezi bungeni 

BUNGE limeelezwa kuwa watu wenye ulemavu wanabaguliwa katika kupata ajira hapa nchini kwa madai kwamba hawawezi kufanya baadhi ya kazi, anaandika Dany Tibason....

Afya

Mdalasini tiba magonjwa mbalimbali ya binadamu

IMEELEZWA kuwa mimea ya mchai chai pamoja na Mdalasini inasaidia kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu, anaandika Dany Tibason. Hayo yameelezwa leo bungeni na...

Habari Mchanganyiko

Serikali imesema haina takwimu utekaji watoto

SERIKALI imesema kuwa haina takwimu za watoto waliokeketwa nchini kwa kuwa vitendo vya ukeketaji kufanyika kwa siri, anaandika Dany Tibason. Mbali na kutokuwa...

Habari Mchanganyiko

Dawa za nguvu za kiume zateka Bunge

MBUNGE wa Konde,Khatibu Haji (CUF) amedai kuwa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa likiwasumbua Watanzania wengi na kuihoji serikali kama kuna...

Habari za Siasa

Ripoti ya madini kutua kwa Ndugai leo

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tazania, Job Ndugai leo atapokea ripoti mbili za tume maalum alizounda kwa ajili ya ushauri...

Habari za Siasa

Wabunge waanza kubaguana waziwazi

MBUNGE wa Viti Maalum Jesca Kishoa (Chadema) ameibana serikali na kuitaka itangaze kama wabunge wa Viti Maalum bila kujali vyama vyao waondoe bendera...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wa Lipumba wasusiwa na wapinzani bungeni

SPIKA wa Bunge,  Job Ndugai amewapiga vijemba wapinzani muda mfupi baada ya kumalizika kazi ya kuwaapisha wabunge 8 wa viti maalum walioteuliwa na...

Habari za Siasa

Hoja ya Bombadier kupasua Bunge kesho

HOFU  imetanda kuhusu mkutano wa Bunge unaotarajia kuanza kesho kwamba unaweza kutekwa na sakata la kukamatwa ndege ya serikali aina ya Bombadier, anaandika ...

Habari za Siasa

Kesi ya Kubenea yazidi kupigwa kalenda

HATMA ya kesi ya mbunge wa Ubunge, Saed Kubenea (Chadema) inatarajiwa kujulikana kesho, anaandika Dany Tibason. Kesho Mahakama ya Wilaya ya Dodoma itaamua...

Habari MchanganyikoTangulizi

Lisu kupamba tamasha la injili

MWIMBAJI wa nyimbo za injili, John Lisu anatarajia kutikisa katika tamasha la uamsho lililoanza ambalo litashirikisha watui wote bila kujali itikadi za dini...

Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti bodi ya maziwa ageuka ‘bubu’

WAJUMBE wa Baraza la Wadau wa Maziwa Tanzania wamelalamikia bodi ya maziwa kuendeshwa bila wajumbe wake kwa miaka miaka mitatu sasa, anaandika Dany...

Habari Mchanganyiko

Madudu yabainika Viwanja vya ndege

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali imemwagiza Mkaguzi na Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi...

Habari Mchanganyiko

Wasioendeleza viwanja Dodoma kunyang’anywa

MKURUNGEZI wa halmashauri ya manispaa ya  Dodoma  Godwin Kunambi ametangaza vita kwa wamiliki wa viwanja vikubwa ambao wameshindwa kuviendeleza kwa zaidi ya miaka...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabishara ‘wambeep” Rais Magufuli, wampa siku 30

UONGOZI wa wafanyabiashara wa Tanzania bara na Zanzibar wametoa siku 30 Rais John Magufuli kuhakikisha anatatua changamoto zinazowakabili katika shughuli zao vinginevyo maduka...

Habari Mchanganyiko

Askofu akemea watu kupenda kulalamika

WATANZANIA wametakiwa kuachana na tabia ya kulalamika na badala yake wafanye kazi huku wakiwa mstari wa mbele kupinga unyanyasaji na ukandamizwaji, anandika Dany...

Habari Mchanganyiko

Waislamu washauriwa kusaidia wenye mahitaji

WAUNINI wa dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kuisaidia jamii yenye uhitaji bila kujali itikadi za kidini, ananadika Dany Tibason. Hayo yamebainishwa na Sheikh...

Habari Mchanganyiko

Wananchi watahadharishwa bidhaa ‘feki’

WATANZANIA wameshauriwa kutumia bidhaa zenye nembo ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS), ili kuepukana na utitiri wa vyakula vinavyozalishwa bila viwango kwa matumizi...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbunge Kubenea kunguruma Septemba 4

MAHAKAMA ya Wilaya ya Dodoma imepiga kalenda kesi ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) hadi Septemba 4 mwaka huu kutokana na uchunguzi...

Habari za Siasa

Chadema Dodoma wamtetea Lissu

CHAMA Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kanda ya kati kimelaani kitendo cha jeshi la polisi nchini kumkamata mara kwa mara, mbunge wa Singida Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Viziwi wapewa elimu ya kilimo

CHAMA cha Maendeleo ya Kilimo kwa Viziwi Tanzania (CHAMAKIVITA) kimejipanga kutoa elimu kwa viziwi ili kuwawezesha kulima kilimo cha kisasa, anaandika Dany Tibason....

Habari Mchanganyiko

Uhamiaji yajiandaa kutoa elimu kwa jamii

IDARA ya uhamiaji mkoa wa Dodoma imeandaa mpango maalum wa kuwafikia wananchi kuanzia ngazi ya kitongoji hadi wilaya kwa lengo la kutoa elimu...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi wa kiume Z’bar hatarini

IMEELEZWA kuwa jumla ya watoto wa kiume wapatao 40 wanaosoma kati ya darasa la kwanza na la tatu kutoka visiwani Zanzibar wamefanyiwa ukatili...

Habari Mchanganyiko

Mkapa kushuhudia Jubilei ya Mapadri Dodoma

RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa anatarajia kuungana na Mapadri  pamoja na Maaskofu katika kusherea Jubilei ya miaka 100 ya upadri kwenye kituo cha Hija...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Mavunde awafunda vijana 

VIJANA nchini wametakiwa kuwa mabalozi waaminifu katika kulinda amani ya nchi, anaandika Dany Tibason Ushauri huo umetolewa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi...

Habari Mchanganyiko

Jaffo ‘ayananga’ maonesho ya nanenane

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (TAMISEMI), Selemani Jafo amewashukia, Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa mikoa ya Dodoma na Singida...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mhagama ‘awapiga mkwara’ wakurugenzi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenister Mhagama amesema wakurugenzi wote wa Halmashauri nchini watakaoshindwa kutenga asilimia tano ya mapato kwa ajili...

Elimu

Walimu wanawake walilia ndoa zao

WALIMU wanawake wamelalamikia hatua ya serikali kuwapangia kazi katika vituo vya mbali kwa kuwa kunahataraisha ndoa na waume zao, anaandika Dany Tibason. Kauli...

Habari Mchanganyiko

AWA watamba kupunguza majangili wa Tembo

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyama Pori (TAWA), imesema kwamba tatizo la ujangili katika mbuga mbalimbali umepungua hatua iliyosababisha Tembo kuongezeka, anaandika Dany Tibason....

Habari Mchanganyiko

Maonesho ya nane nane yadorora Dodoma

MAONESHO ya Wakulima ya nane nane mwaka huu yanayofanyika mkoani Dodoma yamedorora, anaandika Dany Tibason. Baadhi ya washiriki waliozungumza na MwanaHALISI online katika...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaombwa kusaidia wafugaji Ngamia

SERIKALI imeombwa kuwatambua wafugaji wa Ngamia na kusaidia kuwapunguzia gharama za kuwafuga kwa kuwa wana faida zaidi kuliko wanyama wengine, anaandika Dany Tibason....

Habari Mchanganyiko

Mfanyabiashara amshikia kisu mwanafunzi ambaka

MFANYABIASHARA maarufu katika mtaa wa Swaswa kata ya Ipagala Manispaa ya Dodoma, Charles Kalinga mwenye umri wa miaka 43 amenusurika kifo baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea aliamsha ‘dude’ mahakamani Dodoma

MAHAKAMA ya Wilaya ya Dodoma imepiga kalenda kesi ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea hadi Agosti 23 Mwaka huu kutokana na uchunguzi wa...

Habari za Siasa

Madiwani Kongwa wamtega Rais Magufuli

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, limemuomba Rais John Magufuli kujenga reli ya treni ya abiria ya mwendo...

error: Content is protected !!