Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mkapa kushuhudia Jubilei ya Mapadri Dodoma
Habari Mchanganyiko

Mkapa kushuhudia Jubilei ya Mapadri Dodoma

Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu
Spread the love

RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa anatarajia kuungana na Mapadri  pamoja na Maaskofu katika kusherea Jubilei ya miaka 100 ya upadri kwenye kituo cha Hija kilichopo eneo la Mbwanga kata ya Miyuji mjini Dodoma, anaandika Dany Tibason.

Sherehe hizo zinatarajia kushirikisha zaidi ya Mapadri na Maaskofu  520 na kuongozwa na Rais wa Mashirika ya Kipapa nchini Vatican, Mhashamu Askofu Protas Rugambwa ambaye anamuakilisha Papa Benedict 16.

Katika ibada hiyo, Askofu Kiongozi wa Jimbo Katholiki Kigoma, Joseph Mlola, amewaasa waumini wa kanisa hilo nchini kuwaombea Mapadri na Maaskofu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!