WAZAZI na walezi wameagizwa kuwalea watoto wao katika maadili mema yenye kuwa na hofu ya Kimungu pamoja na wanafamilia hao kuishi kwa...
By Danson KaijageApril 11, 2024Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kiluther Tanzania (KKKT) Usharika wa Nyakabanga, Johanitha Yona amewataka watanzania na jamii kwa ujumla wake kujenga...
By Danson KaijageMarch 31, 2024WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameuagiza Wakala wa Barabara (TANROADS) kumuondoa Mkandarasi wa kampuni ya Kay Bouvet Engineering Ltd. ya nchini India na...
By Danson KaijageFebruary 22, 2024BUNDI ameendelea kukiandama Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya Baraza la Kuu la chama hicho kumsimamisha ukatibu mkuu Japhet Maganga. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageFebruary 18, 2024WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaagiza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kutafuta ufumbuzi kuhusu suala la kuharibika kwa barabara kabla ya muda uliopangwa...
By Danson KaijageFebruary 14, 2024MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rossemary Senyamule ametangaza kiama kwa waendesha magari yaendayo mikoani ambao watatupa takataka pembezoni mwa barabara zote zilizopo katika...
By Danson KaijageDecember 19, 2023BARAZA la Usuluhishi wa Migogoro ya Ardhi Kata ya Bahi mkoani Dodoma limeahirisha kesi ya malalamiko ya ardhi iliyofunguliwa na Askofu mkuu wa...
By Danson KaijageDecember 7, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope inaendelea na shughuli kubwa inayofanyika kwa sasa ni kufungua mitaa yote ya mji...
By Danson KaijageDecember 6, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameiagiza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kushirikiana na Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) kuweka utaratibu endelevu wa...
By Danson KaijageDecember 1, 2023MKOA wa Dodoma umeshika nafasi ya kwanza kati ya mikoa 31 kwa mwaka 2023 katika miradi iliyokaguliwa na kuzinduliwa na mbio za Mwenge...
By Danson KaijageNovember 29, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa mkandarasi atakayetekeleza ujenzi kwa kiwango cha lami barabara ya Bigwa – Mvuha – Kisaki (km 133.28),...
By Danson KaijageNovember 28, 2023WAKANDARASI wazawa nchini wametakiwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea badala yake wafanya kazi zenye viwango bora na tija katika miradi wanayoipata ili waendelee...
By Danson KaijageNovember 25, 2023WATAKWIMU wa halmashauri, wizara, idara na taasisi za umma wametakiwa kuhakikisha wanatoa takwimu za kweli badala ya kutoa takwimu za kupika. Pia wametakiwa...
By Danson KaijageNovember 22, 2023ILI kutimiza malengo ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwajengea uwezo na kuwainua wakandarasi wa ndani, katika mwaka wa fedha 2023/204, jumla ya miradi...
By Danson KaijageNovember 21, 2023JAMII imetakiwa kufanya kazi ambazo zitawaingizia kipato kwa ajili ya kuinua uchumi wao badala ya kujenga fikra ya kupata miujiza kwa kununua udogo,...
By Danson KaijageNovember 20, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Ujenzi kufanya usanifu wa kina wa barabara za Mwanza Mjini hadi Round about ya Usagara na...
By Danson KaijageNovember 12, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameahidi kuendelea kudumisha ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya...
By Danson KaijageNovember 12, 2023MRADI wa reli ya kisasa ya umeme (SGR) kipande cha kutoka Morogoro, Dodoma na Makutupora, unatarajiwa kukamilika Januari mwaka 2024. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageNovember 11, 2023Mkuu wa mkoa wa Singida, Peter Serukamba amewaagiza viongozi na watendaji mkoani humo kuhakikisha kaya zote zinakuwa na vyoo bora na kuchukua hatua...
By Danson KaijageNovember 8, 2023KANISA la Gospel Christ Church Tanzania (GCC) limetoa wito kwa jamii kuwajengea watoto misingi ya elimu na hofu ya Mungu ili kuwaandaa kuwa...
By Danson KaijageNovember 7, 2023SERIKALI imezindua Kampeni ya ‘Tumewasikia Tumewafikia’ ambayo inawataka wakuu wa mikoa yote 26 na wakurugenzi wa halmashauri zote 184 nchini, kuandaa mikutano na...
By Danson KaijageNovember 2, 2023MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Alhaji Jabir Shekimweri ameeleza kukerwa uchafu uliokithiri katika kata ya Madukani Jijini Dodoma licha ya kuwa inaongozwa...
By Danson KaijageOctober 28, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema tangu Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, Serikali imeajiri jumla ya walimu 29,879 wa Shule...
By Danson KaijageOctober 28, 2023MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemerry Senyamule anatarajia kuongoza zoezi la usafi kesho tarehe 28 Oktoba 2023 utakaofanyika katika Barabara ya 7,...
By Danson KaijageOctober 27, 2023MCHUNGAJI kiongozi wa kanisa la Tanzania Assembles of God (TAG) URCC lililopo Aread D Jijini Dodoma, Salum Vangast ametoa wito kwa mamlaka zote...
By Danson KaijageOctober 23, 2023MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule anatarajiwa kushirikiana na waumini kutoka madhehebu mbalimbali ya dini katika ibada maalum kusimikwa kwa viongozi wa...
By Danson KaijageOctober 18, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema ujenzi wa daraja la John Pombe Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa kilomita tatu na Barabara...
By Danson KaijageOctober 12, 2023KAMPUNI ya Songoro Marine imepewa siku 4 kuhakikisha inakamilisha ukarabati wa kivuko cha MV. Mara kinachofanya safari zake kati ya Iramba wilaya ya...
By Danson KaijageOctober 11, 2023HATIMAYE kata ya Kilimani katika Jiji la Dodoma imeanza ujenzi wa shule ya msingi itakayogharimu kiasi cha Sh 80 milioni kwa kuanza na...
By Danson KaijageOctober 11, 2023KATIKA harakati za kuondokana na msongamao wa magari barabarani Serikali inatarajia kutenga Sh 81 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa mizani ya kupima...
By Danson KaijageOctober 11, 2023JUMLA ya Sh 16.2 bilioni zimetolewa na Serikali kwa ajili ya kulipa fidia kwa wananchi ambao watapisha ujenzi wa barabara mbalimbali nchini....
By Danson KaijageOctober 9, 2023SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu wenye ulemavu nchini kupitia fursa ya uwakala na uuzaji wa mkaa mbadala wa...
By Danson KaijageSeptember 29, 2023MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba amesema Mwenge wa Uhuru ambao umetoa mkoani humo kutokea Tabora, unatarajiwa kuzindua miradi yenye thamani ya...
By Danson KaijageSeptember 22, 2023MSEMAJI wa Jeshi la polisi Tanzania David Misime SACP amewataka waandishi wandishi wa habari kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kukuza maslahi...
By Danson KaijageSeptember 19, 2023MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Selukamba ametoa siku saba kwa halmashauri ya Iramba, Mkarama, Singida Dc na Manispaa kuhakikisha miradi ya elimu...
By Danson KaijageSeptember 18, 2023WADAU wanaoshughulika na malezi na makuzi ya watoto wametakiwa kushirikiana ili kufanikisha malengo ya Programu Jumuishi ya Malezi Makuzi na Maendeleo ya awali...
By Danson KaijageSeptember 16, 2023ASKOFU Mkuu wa kanisa la Glory to God Ministry for All Nations lenye makao makuu Mailimbili Jijini Dodoma, Dk. Benson Rutta amewataka watanzania...
By Danson KaijageSeptember 9, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameuagiza Wakala wa Majengo (TBA) kuhakikisha unakusanya deni la Sh 81.5 bilioni wanazodai kwa wapangaji wao sambamba na...
By Danson KaijageSeptember 8, 2023VIJANA wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuchangamkia fursa katika sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji ili waweze kujiajiri na kuajiri wezao...
By Danson KaijageSeptember 8, 2023MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) jijini Dodoma, Wisdom Gowele ametoa wito kwa vijana kutumia nguvu zao ujanani kuwekeza...
By Danson KaijageSeptember 1, 2023LICHA ya Serikali kuhamasisha kilimo kwa ajili ya kuwainua wakulima kipato cha chini, wakulima wa zao la vanila katika kata ya Kanyangereko Wilaya...
By Danson KaijageAugust 26, 2023MTENDAJI wa Kijiji cha Huzi Kata ya Huzi Wilayani Chamwino mkoani Dodoma, Sospeter Ngalongwa amewataadharisha baadhi ya watu wanaoingia kijijini hapo kununua ardhi...
By Danson KaijageAugust 15, 2023WAFANYABIASHARA wanaotarajia kukopa ili kuendesha biashara wameshauriwa kuchukua mikopo kwenye taasisi za kifedha ambazo zimesajiliwa na Benki Kuu (BoT). Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageAugust 8, 2023HALMASHAURI ya Wilaya ya Bahi imewaomba wawekezaji kuwekeza kwenye sekta za kilimo, mifugo na uvuvi wilayani humo ili kuongeza uzalishaji na kuleta...
By Danson KaijageAugust 4, 2023MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema maonesho ya wakulima ya nane nane yanatakiwa kulenga zaidi kutoa elimu kwa wakulima ili kilimo...
By Danson KaijageJuly 31, 2023WATANZANIA wameshauriwa kuwa na utamaduni wa kutumia gesi kwa matumizi ya kawaida ili kuepukana na matumizi ya mkaa ambao ni chanzo cha uharibifu...
By Danson KaijageJuly 29, 2023BUNDI ametua rasmi kwenye huduma ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship jimbo la Dodoma baada ya uongozi wa jimbo kudaiwa kuvamia kanisa...
By Danson KaijageJuly 28, 2023SHIRIKA la Light for the World Tanzania wametoa pikipiki 20 za kuwawezesha walimu wa elimu maalumu na vifaa mbalimbali vya kufundishia kwa watoto...
By Danson KaijageJuly 26, 2023VIONGOZI wa dini zote nchini wametakiwa kuacha mafundisho yanayolenga kupandikiza chuki kati ya dini na dini na badala yake wahimize upendo, amani na...
By Danson KaijageJuly 25, 2023ASKOFU wa Kanisa la Baptist Kanda ya Kati, Anthony Mlyashimba ametoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake kukubali kuufumua mkataba...
By Danson KaijageJuly 23, 2023