Saturday , 27 April 2024
Home danson
968 Articles62 Comments
Habari Mchanganyiko

Wazazi, walezi watakiwa kuwa karibu na watoto wao

  WAZAZI na walezi wameagizwa kuwalea watoto wao katika maadili mema yenye kuwa na hofu ya Kimungu pamoja na wanafamilia hao kuishi kwa...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji awapa mbinu Watz kutunza amani

Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kiluther Tanzania (KKKT) Usharika wa Nyakabanga, Johanitha Yona amewataka watanzania na jamii kwa ujumla wake kujenga...

Habari za Siasa

Bashungwa amuondoa mkandarasi kiwanda cha sukari Mkulazi- Morogoro

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameuagiza Wakala wa Barabara (TANROADS) kumuondoa Mkandarasi wa kampuni ya Kay Bouvet Engineering Ltd. ya nchini India na...

Habari Mchanganyiko

CWT yampiga ‘stop’ kigogo aliyegomea uteuzi

BUNDI ameendelea kukiandama Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya Baraza la Kuu la chama hicho kumsimamisha ukatibu mkuu Japhet Maganga. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Bashungwa acharuka barabara kuharibika kabla ya muda

WAZIRI  wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaagiza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kutafuta ufumbuzi kuhusu suala la kuharibika kwa barabara kabla ya muda uliopangwa...

Habari Mchanganyiko

RC Dodoma atangaza vita kwa madereva wanaotupa taka hovyo

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rossemary Senyamule ametangaza kiama kwa waendesha magari yaendayo mikoani ambao watatupa takataka pembezoni mwa barabara zote zilizopo katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu aliburuza kanisa la Kakobe mahakamani

BARAZA la Usuluhishi wa Migogoro ya Ardhi Kata ya Bahi mkoani Dodoma limeahirisha kesi ya malalamiko ya ardhi iliyofunguliwa na Askofu mkuu wa...

Habari za Siasa

Bashungwa: Katesh kutafanyiwa usafi wa hali ya juu

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope inaendelea na shughuli kubwa inayofanyika kwa sasa ni kufungua mitaa yote ya mji...

Habari Mchanganyiko

Waziri Bashungwa aagiza wahandisi kujengewa uwezo

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameiagiza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kushirikiana na Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) kuweka utaratibu endelevu wa...

Habari za Siasa

Dodoma kinara ukaguzi miradi mbio za mwenge 2023

MKOA wa Dodoma umeshika nafasi ya kwanza kati ya mikoa 31 kwa mwaka 2023 katika miradi iliyokaguliwa na kuzinduliwa na mbio za Mwenge...

Biashara

Ujenzi waiva barabara ya Bigwa – Kisaki

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa mkandarasi atakayetekeleza ujenzi kwa kiwango cha lami barabara ya Bigwa – Mvuha – Kisaki (km 133.28),...

Biashara

Bashungwa awataka wakandarasa kuacha kufanya kazi kwa mazoea

WAKANDARASI wazawa nchini wametakiwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea badala yake wafanya kazi zenye viwango bora na tija katika miradi wanayoipata ili waendelee...

Habari Mchanganyiko

Dk. Chuwa aonya watakwimu kuacha kupika takwimu

WATAKWIMU wa halmashauri, wizara, idara na taasisi za umma wametakiwa kuhakikisha wanatoa takwimu za kweli badala ya kutoa takwimu za kupika. Pia wametakiwa...

Biashara

Kilometa 220 za barabara zatengwa kwa wakandarasi wa ndani

ILI kutimiza malengo ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwajengea uwezo na kuwainua wakandarasi wa ndani, katika mwaka wa fedha 2023/204, jumla ya miradi...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji USA: Watanzania fanyeni kazi, miujiza ya mafuta, maji ni ulaghai

JAMII imetakiwa kufanya kazi ambazo zitawaingizia kipato kwa ajili ya kuinua uchumi wao badala ya kujenga fikra ya kupata miujiza kwa kununua udogo,...

Habari Mchanganyiko

Samia aagiza barabara Mwanza Mjini- Usagara, Igoma kujengwa kwa njia 4

RAIS Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Ujenzi kufanya usanifu wa kina wa barabara za Mwanza Mjini hadi Round about ya Usagara na...

Habari Mchanganyiko

Bashungwa aahidi Tanzania Bara, Zanzibar kudumisha ushirikiano sekta ya ujenzi

WAZIRI wa  Ujenzi, Innocent Bashungwa ameahidi kuendelea kudumisha ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi SGR mbioni kukamilika Januari-2024

MRADI wa reli ya kisasa ya umeme (SGR) kipande cha kutoka Morogoro, Dodoma na Makutupora, unatarajiwa kukamilika Januari mwaka 2024. Anaripoti Danson Kaijage,...

Afya

Serukamba aagiza kaya Singida kujenga vyoo bora kudhibiti kipindupindu

Mkuu wa  mkoa wa Singida, Peter Serukamba amewaagiza viongozi na watendaji mkoani humo kuhakikisha kaya zote zinakuwa na vyoo bora na kuchukua hatua...

Habari Mchanganyiko

Askofu Chidawali atoa mbinu kupata viongozi waadilifu

KANISA la Gospel Christ Church Tanzania (GCC) limetoa wito kwa jamii kuwajengea watoto misingi ya elimu na hofu ya Mungu ili kuwaandaa kuwa...

Habari Mchanganyiko

Nape akoshwa ubunifu mikutano ya wakuu wa mikoa na waandishi wa habari

SERIKALI imezindua Kampeni ya ‘Tumewasikia Tumewafikia’ ambayo inawataka wakuu wa mikoa yote 26 na wakurugenzi wa halmashauri zote 184 nchini, kuandaa mikutano na...

Habari Mchanganyiko

DC Dodoma ashangaa mtaa anaoishi Meya kukithiri kwa uchafu

  MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Alhaji Jabir Shekimweri ameeleza kukerwa uchafu uliokithiri katika kata ya Madukani Jijini Dodoma licha ya kuwa inaongozwa...

Elimu

Walimu 29,879 waajiriwa miaka 2 ya Rais Samia

  WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema tangu Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, Serikali imeajiri jumla ya walimu 29,879 wa Shule...

Habari Mchanganyiko

RC Dodoma kuongoza jopo la watumishi kufanya usafi

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemerry Senyamule anatarajia kuongoza zoezi la usafi kesho tarehe 28 Oktoba 2023 utakaofanyika katika Barabara ya 7,...

Habari za Siasa

Mchungaji ataka haki itendeke chaguzi 2024, 2025

MCHUNGAJI kiongozi wa kanisa la Tanzania Assembles of God (TAG) URCC lililopo Aread D Jijini Dodoma, Salum Vangast ametoa wito kwa mamlaka zote...

Habari Mchanganyiko

RC Dodoma kuongoza usimikwaji wa Askofu mkuu PHC

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule  anatarajiwa kushirikiana na  waumini kutoka madhehebu mbalimbali ya dini katika ibada maalum kusimikwa kwa viongozi wa...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi daraja la Magufuli wafikia asilimia 78

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema ujenzi wa daraja la John Pombe Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa kilomita tatu na Barabara...

Biashara

Bashungwa atoa siku 4 Kivuko MV. Mara kikamilike

KAMPUNI  ya Songoro Marine imepewa siku 4 kuhakikisha inakamilisha ukarabati wa kivuko cha MV. Mara kinachofanya safari zake kati ya Iramba wilaya ya...

Elimu

Ujenzi shule ya kwanza kata ya Kilimani washika kasi

HATIMAYE kata ya Kilimani katika Jiji la Dodoma imeanza ujenzi wa shule ya msingi itakayogharimu kiasi cha Sh 80 milioni kwa kuanza na...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Bilioni 81 kumaliza foleni kwenye mizani

KATIKA harakati za kuondokana na msongamao wa magari barabarani Serikali inatarajia kutenga Sh 81 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa mizani ya kupima...

Habari za Siasa

Bilioni 16.2 kulipa fidia watakaopisha ujenzi barabara nchini

  JUMLA ya Sh 16.2 bilioni zimetolewa na Serikali kwa ajili ya kulipa fidia kwa wananchi ambao watapisha ujenzi wa barabara mbalimbali nchini....

BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu wenye ulemavu nchini kupitia fursa ya uwakala na uuzaji wa mkaa mbadala wa...

Habari Mchanganyiko

Mwenge wa Uhuru kuzindua miradi ya bilioni 224 Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba amesema Mwenge wa Uhuru ambao umetoa mkoani humo kutokea Tabora, unatarajiwa kuzindua miradi yenye thamani ya...

Habari Mchanganyiko

Polisi waahidi ushirikiano kwa waandishi wa habari, wataka masilahi ya Taifa yalindwe

MSEMAJI wa Jeshi la polisi Tanzania David Misime SACP amewataka waandishi wandishi wa habari kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kukuza maslahi...

Elimu

Rc Singida atoa siku 7 kukamilisha miradi elimu ya sekondari

MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Selukamba ametoa siku saba kwa halmashauri ya Iramba, Mkarama, Singida Dc na Manispaa kuhakikisha miradi ya elimu...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa malezi, makuzi ya mtoto wapigwa msasa

WADAU wanaoshughulika na malezi na makuzi ya watoto wametakiwa kushirikiana ili kufanikisha malengo ya Programu Jumuishi ya Malezi Makuzi na Maendeleo ya awali...

Habari Mchanganyiko

Askofu aonya Watanzania kufanya kazi badala ya kutegemea misaada

ASKOFU Mkuu wa kanisa la Glory to God Ministry for All Nations lenye makao makuu Mailimbili Jijini Dodoma, Dk. Benson Rutta amewataka watanzania...

Habari za Siasa

Bashungwa aanza na wadaiwa sugu TBA, aagiza watimuliwe

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameuagiza Wakala wa Majengo (TBA) kuhakikisha unakusanya deni la Sh 81.5 bilioni wanazodai kwa wapangaji wao sambamba na...

Habari za Siasa

UVCCM yakemea vijana kuilalamikia Serikali, yawataka kugeukia kilimo, ufugaji

VIJANA wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuchangamkia fursa katika sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji ili waweze kujiajiri na kuajiri wezao...

Biashara

MC ajenga ukumbi wa bilioni 1.5, vijana wapewa ujumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) jijini Dodoma, Wisdom Gowele ametoa wito kwa vijana kutumia nguvu zao ujanani kuwekeza...

Biashara

Wakulima walia anguko bei ya Vanila, Serikali yawa bubu

LICHA ya Serikali kuhamasisha kilimo kwa ajili ya kuwainua wakulima kipato cha chini, wakulima wa zao la vanila katika kata ya Kanyangereko Wilaya...

Habari Mchanganyiko

Genge la matapeli latua Chamwino, wananchi watahadharishwa

MTENDAJI wa Kijiji cha Huzi Kata ya Huzi Wilayani Chamwino mkoani Dodoma, Sospeter Ngalongwa amewataadharisha baadhi ya watu wanaoingia kijijini hapo kununua ardhi...

Habari Mchanganyiko

RC Singida atahadharisha wafanyabiashara kukopa katika taasisi zilizosajiliwa

WAFANYABIASHARA wanaotarajia kukopa ili kuendesha biashara wameshauriwa kuchukua mikopo kwenye taasisi za kifedha ambazo zimesajiliwa na Benki Kuu (BoT). Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Bahi waomba wawekezaji sekta ya kilimo, mifugo

  HALMASHAURI ya Wilaya ya Bahi imewaomba wawekezaji kuwekeza kwenye sekta za kilimo, mifugo na uvuvi wilayani humo ili kuongeza uzalishaji na kuleta...

Habari Mchanganyiko

RC Dodoma: Nane nane iwe na tija kwa wakulima, wafugaji

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema maonesho ya wakulima ya nane nane yanatakiwa kulenga zaidi kutoa elimu kwa wakulima ili kilimo...

Habari Mchanganyiko

DC Dodoma awataka Watanzania kutumia gesi badala ya mkaa

WATANZANIA wameshauriwa kuwa na utamaduni wa kutumia gesi kwa matumizi ya kawaida ili kuepukana na matumizi ya mkaa ambao ni chanzo cha uharibifu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bundi atua kanisa la Kakobe, mchungaji atimuliwa

BUNDI ametua rasmi kwenye huduma ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship jimbo la Dodoma baada ya uongozi wa jimbo kudaiwa kuvamia kanisa...

Habari Mchanganyiko

Watoto 900 kunufaika na mradi LFTW

SHIRIKA la Light for the World Tanzania wametoa pikipiki 20 za  kuwawezesha walimu wa elimu maalumu na vifaa mbalimbali vya kufundishia kwa watoto...

Habari Mchanganyiko

Viongozi washauriwa kutopandikiza chuki za udini

VIONGOZI wa dini zote nchini wametakiwa kuacha mafundisho yanayolenga kupandikiza chuki kati ya dini na dini na badala yake wahimize upendo, amani na...

Habari za Siasa

Askofu ashauri jopo la wanasheria liundwe kujadili upya mkataba uwekezaji bandari

ASKOFU wa Kanisa la Baptist Kanda ya Kati, Anthony Mlyashimba ametoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake kukubali kuufumua mkataba...

error: Content is protected !!