Tuesday , 5 December 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Walimu wanawake walilia ndoa zao
Elimu

Walimu wanawake walilia ndoa zao

Prof. Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu
Spread the love

WALIMU wanawake wamelalamikia hatua ya serikali kuwapangia kazi katika vituo vya mbali kwa kuwa kunahataraisha ndoa na waume zao, anaandika Dany Tibason.

Kauli hiyo imetolewa mwalimu Joyce Kaishozi ambaye ni mwakilishi kitengo cha walimu wanawake katika manispaa ya Dodoma, wakati akisoma risala mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Christina Mdeme.

Mwalimu Kaishozi alisema walimu wanawake wanafanya kazi kubwa ya kuelimisha jamii, lakini wamekuwa wakikutana na changamoto kubwa ambazo zinawafanya kufanya kazi bila kuwa na utulivu wa kiakili.

Amesema baadhi ya changamoto wanazokutana nazo ni walimu wanawake kuhamishwa vituo vya kazi na kupelekea mbali na hivyo kutengana na familia zao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Spread the loveAfisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri...

Elimu

150 wahitimu Shahada ya Udaktari HKMU

Spread the loveCHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali...

Elimu

Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri

Spread the love MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi...

Elimu

Janeth Mbene apongeza HKMU, ataka wahitimu wajiajiri

Spread the loveWAHITIMU wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), ...

error: Content is protected !!