Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Huyu ndiye Lissu, alianza kupinga dhuluma akiwa mdogo
Habari za SiasaTangulizi

Huyu ndiye Lissu, alianza kupinga dhuluma akiwa mdogo

Spread the love

MDOGO wake, mwanasiasa machachari, Tundu Lissu, Vincent Lissu amefunguka na kueleza maisha ya kaka yake tangu akiwa anasoma shule ya msingi,  huku akisema ndugu yake alianza harakati za kupinga  ufisadi na kuonewa tangu miaka miaka ya 80.

Lissu ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa sasa ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema).

Vincent akizungumza na MwanaHALISI online, amesema ndugu yake Lissu ana msimamo usioyumba tangu akiwa mdogo na kwamba ameendelea kuishi hivyo mpaka leo.

“Kaka yangu amekuwa mtetezi wa haki tangu akiwa mdogo sana na hakupenda kuona uonevu mbele ya macho yake,” ndivyo anavyosema Vincent.

HAYA NI MAELEZO YA VICENT KUHUSU KAKA YAKE LISSU PAMOJA NA KUTOA HISTORIA YAKE, USISAHAU KU-SUBSCRIBE CHANNEL YETU YA YOUTUBE (MwanaHALISI TV)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

error: Content is protected !!