Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wananchi watahadharishwa bidhaa ‘feki’
Habari Mchanganyiko

Wananchi watahadharishwa bidhaa ‘feki’

Spread the love

WATANZANIA wameshauriwa kutumia bidhaa zenye nembo ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS), ili kuepukana na utitiri wa vyakula vinavyozalishwa bila viwango kwa matumizi ya mlaji, anaandika Dany Tibason.

Ushauri huo umetolewa na meneja wa kampuni ya Chef Asili Co. LTD mkoani Dodoma, Lupyana Chegula, alipokuwa akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo kuhusiana na bidhaa zinazotegenezwa ambazo hazina viwango.

Aidha, amewataka wafanyakazi kufanya kazi zao kwa bidii na kwa ubunifu, ili waendane na kasi iliyopo ya serikali ya awamu ya tano ambayo imekuwa ikisisitiza kila Mtanzania kuwajibika kwenye eneo lake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!