Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Wananchi watahadharishwa bidhaa ‘feki’
Habari Mchanganyiko

Wananchi watahadharishwa bidhaa ‘feki’

Spread the love

WATANZANIA wameshauriwa kutumia bidhaa zenye nembo ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS), ili kuepukana na utitiri wa vyakula vinavyozalishwa bila viwango kwa matumizi ya mlaji, anaandika Dany Tibason.

Ushauri huo umetolewa na meneja wa kampuni ya Chef Asili Co. LTD mkoani Dodoma, Lupyana Chegula, alipokuwa akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo kuhusiana na bidhaa zinazotegenezwa ambazo hazina viwango.

Aidha, amewataka wafanyakazi kufanya kazi zao kwa bidii na kwa ubunifu, ili waendane na kasi iliyopo ya serikali ya awamu ya tano ambayo imekuwa ikisisitiza kila Mtanzania kuwajibika kwenye eneo lake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

Spread the love  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

Spread the love  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

Spread the loveBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi wampongeza Rais Samia kuimarisha vyombo vya habari, demokrasia

Spread the love  UBALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, umempongeza Rais Samia Suluhu...

error: Content is protected !!