Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Waziri Mhagama ‘awapiga mkwara’ wakurugenzi
Habari Mchanganyiko

Waziri Mhagama ‘awapiga mkwara’ wakurugenzi

Jenister Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Spread the love

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenister Mhagama amesema wakurugenzi wote wa Halmashauri nchini watakaoshindwa kutenga asilimia tano ya mapato kwa ajili ya vijana na wanawake watachukuliwa hatua, anaandika Dany Tibason.

Mbali na kutakiwa kutenga asilimia hizo pia Wakurugenzi wote wametakiwa kutenga maeneo ya kufanyia biashara ambazo zinafikaka kwa urahisi.

Mhagama amesema kumekuwa na tabia ya Wakurugenzi wengi kutenga maeneo ili mradi tu kutimiza wajibu, lakini maeneo hayo hayana miundombinu na wala hakuna wateja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!