Monday , 5 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Waziri Mhagama ‘awapiga mkwara’ wakurugenzi
Habari Mchanganyiko

Waziri Mhagama ‘awapiga mkwara’ wakurugenzi

Jenister Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Spread the love

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenister Mhagama amesema wakurugenzi wote wa Halmashauri nchini watakaoshindwa kutenga asilimia tano ya mapato kwa ajili ya vijana na wanawake watachukuliwa hatua, anaandika Dany Tibason.

Mbali na kutakiwa kutenga asilimia hizo pia Wakurugenzi wote wametakiwa kutenga maeneo ya kufanyia biashara ambazo zinafikaka kwa urahisi.

Mhagama amesema kumekuwa na tabia ya Wakurugenzi wengi kutenga maeneo ili mradi tu kutimiza wajibu, lakini maeneo hayo hayana miundombinu na wala hakuna wateja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

Habari Mchanganyiko

Bandari ya Kigoma kuongezewa uwezo wa kutoa huduma zake

Spread the love  SERIKALI kupitia mamlaka ya Bandari nchini (TPA), imewekeza takribani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha mwanafunzi UDOM: Tume yamsafisha naibu waziri

Spread the loveTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini (THBUB),...

error: Content is protected !!