Friday , 3 May 2024

Month: July 2017

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji wadogo Sikonge wamwaga fedha serikalini  

KIKUNDI  cha wachimbaji wadogo kinachomiliki mgodi wa dhahabu wa Kapumpa uliopo tarafa ya Kitunda wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora kimeongoza kwa kulipa mrabaha...

Habari Mchanganyiko

Mongella atoa neno kwa wakazi wa Mwanza

WANANCHI mkoani Mwanza wametakiwa kupenda kushiriki kikamilifu katika kupima Afya na kufanya usafi wa mazingira yanayowazunguka na wanayofanyia kazi ili kuweza kuondokana adha...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wamtimua kazi mwenyekiti wa kijiji

WANANCHI wa kijiji cha Bulige kata ya Bulige katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamemkataa mwenyekiti wa kijiji hicho, mtendaji pamoja...

Habari Mchanganyiko

Bodi mpya NCAA yaahidi kutatua changamoto

BODI ya Mamlaka ya Ngorongoro (NCAA), imesema itakabiliana na changamoto zinazoikabili mamlaka hiyo kufikia dira ya uhifadhi, anaandika Mwandishi Wetu. Kaimu Mwenyekiti mpya...

Habari Mchanganyiko

Wakili Makene alilia fedha za ada ya TLS

WAKILI wa kujitegemea ambaye pia ni mwanachama wa Chama Cha Mawakili Tanzania Bara(TLS), Emmanuel Makene amekilalamikia Chama hicho kuwa hakiwasaidii wanachama wake wakati...

Habari za SiasaTangulizi

Fatma Karume naye amvaa Rais Magufuli

FATUMA Karume, wakili wa Tundu Lissu, Mwanasheria mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema kila mtu ana haki ya kumkosoa Rais,...

Habari za Siasa

JPM amewataka Watanzania kuvumiliana

RAIS John Magufuli, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka Watanzania kuwa na mioyo ya kuvumiliana, anaandika Hellen Sisya. Rais Magufuli ameyasema...

Habari Mchanganyiko

Wenye ulemavu waiangukia serikali ya JPM

CHAMA cha walemavu Tanzania (CHAWATA), kimeiomba serikali ya awamu ya tano kuwaangalia kwa jicho la tatu katika swala zima la uchumi wao, anaandika Victoria...

Habari za SiasaTangulizi

Hekima za Ndugai kuokoa wabunge nane wa CUF

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa bado anaitafakari barua ambayo ameipokea kutoka kwa, Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti...

Habari za Siasa

Mbunge akumbuka wanawake Sumbawanga

MBUNGE wa jimbo la Sumbawanga mjini, Aesh Hilaly (CCM), ameahidi kukabidhi vitanda vitano maalumu kwa ajili ya kujifungulia wakina mama wajawazito pamoja na...

Habari za Siasa

Jiji la Arusha lawaonya wanaoleta vurugu

HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, limeonya kuwachukulia hatua za kisheria wanaojihusisha na mgogoro wa maduka yake yaliyopo eneo la standi ndogo, anaandika Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mrisho Gambo ‘awapiga mkwara’ wafugaji

MKUU wa Mkoa Arusha, Mrisho Gambo amesema mwananchi yeyote atakayeshindwa kutoa ushirikiano wa kujua idadi ya mifugo aliyo nayo atatiwa nguvuni, anaandika Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wapewa somo la unyonyeshaji

WANAWAKE wamehimizwa kunyonyesha watoto kwa kipindi kinachoshauriwa kitaalamu ili kuwaepusha na madhara ya utapiamlo na udumavu wa akili, anaadika Mwandishi Wetu. Mratibu wa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Manyanya avutiwa ujenzi wa madarasa

NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya amewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kuwa wazalendo kwa nchi yao...

Habari Mchanganyiko

‘Mifupa ya binadamu yazagaa Mwanza’

ANGELINA Mabula, NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, ameitaka halmashauri ya Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela, kuhakikisha zinamaliza uhaba wa...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu kumkuta ya Lema?

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, amenyimwa dhamana baada ya kufikishwa katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashtaka ya kutoa...

Habari za Siasa

Madiwani Kongwa wamtega Rais Magufuli

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, limemuomba Rais John Magufuli kujenga reli ya treni ya abiria ya mwendo...

Kimataifa

Rais Kabila kushinikizwa kuachia ngazi mwaka huu

CHAMA cha Upinzani cha Union For Democracy and Social Progress (UDPS) cha DRC kimebainisha mpango wake wa kumshinikiza rais Joseph Kabila kuondoka madarakani,...

Habari za Siasa

Wakili awalipua wasaidizi wa Rais Magufuli

WAKILI wa kujitegemea Mchungaji Kuwayawaya Stephen, amesema kuwa viongozi waliopo madarakani katika serikali ya awamu ya tano wengi wao bado hawajaonyesha uwezo wao...

Habari za Siasa

UVCCM wang’ata na kupuliza Mwanza

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umewataka viongozi wa wilaya kuwachukulia hatua watendaji wao wa chini wanaotoa mikpo kwa vikundi hewa,...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa awatoa hofu wananchi Shinyanga

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, amewatoa hofu wananchi wa Kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga kwamba hakuna mtu atakayechukuliwa...

Habari Mchanganyiko

Bendera azifunda halmashauri zake Manyara

HALMASHAURI ya Wilaya ya Simanjiro, imeendelea kupata hati safi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG), kwa mwaka...

Elimu

DC Muheza apiga marufuku mitihani siku za Ibada

SERIKALI wilayani Muheza mkoani Tanga imepiga marufuku shule zote za msingi na sekondari wanafunzi kufanyishwa mitihani siku za ibada ikiwamo Ijumaa, Jumamosi na...

Kimataifa

Bunge la Congress kufanya maamuzi kwa Trump

BUNGE la Congress limetaka Urusi iadhibiwe kwa kosa la kuingilia uchaguzi wa rais uliofanyika mwaka jana nchini Marekani, anaandika Catherine Kayombo. Bunge hilo...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu afikishwa mahakamani Kisutu muda huu

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), baada ya kuwekwa mahabusu siku nne, hatimaye amefikishwa katika...

Habari za SiasaTangulizi

Lipumba azidi kusulubiwa Dar

WENYEVITI wa Serikali za mitaa wa Chama cha Wananchi (CUF) mkoa wa Dar es Salaam, wamemuunga mkono Katibu Mkuu wa chama hicho Maalim...

Habari za Siasa

Chadema kumburuza DC Chemba mahakamani

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Chemba, Dodoma, umejipanga kwenda mahakamani kumfungulia kesi Mkuu wa Wilaya hiyo Samson Odunga,...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto kigeugeu

ZIARA ya Rais John Magufuli mkoani Kigoma, imethibitisha kuwa Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo) ni kigeugeu, anayeweza kubadili kauli yake wakati...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ugonjwa wa ajabu watesa wanafunzi Tanga

WANAFUNZI wanaosoma shule ya sekondari ya Kwamkabara kata ya Kwamkabara wilayani Muheza mkoani Tanga wamepatwa na ugonjwa wa ajabu unaosababisha kuanguka hovyo, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Lukuvi awabana watumishi sekta ya ardhi

SERIKALI imewaagiza Maofisa ardhi wa Manispaa ya Iringa pamoja na halmashauri zote nchini kufanya kazi kwa weledi pamoja na kutatua kero za wananchi...

Elimu

Walimu wanaorubuni wanafunzi kukiona

SERIKALI Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma  imeahidi kuwachukulia hatua za kisheria walimu wote ambao watatajwa kujihusisha kimapenzi na watoto wa kike wanaosoma katika shule...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atangaza neema mkoani Songwe

WAZIRI Mkuu,  Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga Sh. Bilioni 1.669 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji katika wilaya ya Ileje mkoani...

Kimataifa

Msemaji wa White House ya Trump aachia ngazi

MSEMAJI wa rais wa Marekani, Donald Trump amejiuzulu kufuatia uteuzi wa rais wa mkurugenzi mpya wa mawasiliano nchini humo, anaandika Catherine Kayombo. Sean...

Habari Mchanganyiko

Vijana 40 wakumbukwa kiuchumi Morogoro

MAKUNDI mawili ya vijana wapatao 40 kutoka wilaya ya Kilosa mkoani hapa wamepatiwa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh. 10 milioni...

Habari Mchanganyiko

AMDT imejipanga kuwafikia wakulima 500,000

TAASISI ya kuendeleza mifumo ya masoko kwenye kilimo nchini (AMDT), imepanga kuwafikia wakulima 500,000 wa zao la alizeti wa mikoa 12 ya Tanzania...

Kimataifa

Marekani yaitishia Nyau Sudan Kusini

MAREKANI imetishia kusitisha misaada kwa viongozi wa Sudan Kusini endapo hawatashiriki katika mazungumzo ya ngazi ya juu na kushindwa kuheshimu muda wa mwisho...

Habari Mchanganyiko

NSSF kukusanya Sh. trilioni 1.3 kwa mwaka

SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatarajia kukusanya kiasi cha Sh.trilioni 1.3 kwa mwaka wa fedha 2018/2019, anaadika Christina Haule. Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu 45 kwa tuhuma mbalimbali pamoja na kukamata silaha, mali za wizi na madawa ya kulevya katika...

Kimataifa

Mwanamuziki apiga gitaa wakati wa upasuaji

MWANAMUZIKI nchini India apiga gitaa kwenye meza ya kufanyia upasuaji ili kuwasaidia madaktari kutibu mishipa (involuntary muscle spasms) katika vidole vyake, anaandika Jovina...

Habari Mchanganyiko

Jela kwa ujangili wa meno ya tembo

MAHAKAMA ya Wilaya ya Manyoni, imewahukumu kifungo cha miaka 25 jela kila mmoja majangili wawili baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mbalimbali ikiwemo...

Kimataifa

Vijana wa Burundi ”wazamia” nchini Marekani

VIJANA sita wakiwamo wavulana wanne na wasichana wawili kutoka  Burundi waliokuwa wakishiriki katika mashindano ya roboti yaliyokuwa yakifanyika  jijini Washington DC, wametoweka nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu azidi kusota polisi Dar

JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limetakiwa kumfikisha Mahakamani, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, badala ya...

Kimataifa

Kim Jong-un aitambia Marekani

Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini  amesema kuwa, vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake, ni...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko katika sekta ya madini

Wizara ya Nishati na Madini imefanya mabadiliko kufuatia kupitishwa kwa sheria mpya ‘the written laws (miscellaneous amendmend ) Act 2017  iliyofanyiwa marekebisho kadhaa...

Kimataifa

Wapinzani Uganda wala ‘kibano’ kama wa Tanzania

POLISI nchini Uganda imewatia mbaroni wapinzani waliofanya mkusanyiko wa kupinga serikali wiki iliyopita, anaandika Hellen Sisya. Emilian Kayima, Msemaji wa jeshi la polisi...

Habari Mchanganyiko

Bonde la Wami Ruvu kutangazwa hifadhi

WIZARA ya Maji na Umwagiliaji kupitia Bonde la Wami Ruvu inakusudia kutangaza  eneo hilo kama  hifadhi ya vyanzo vikuu vya maji nchini, anaandika...

Elimu

Vyuo vikuu vya ‘wababaishaji’ kukiona

TUME ya vyuo vikuu nchini (TCU), imesema itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya vyuo vikuu ambavyo vitatangaza kozi ambazo hazitambuliki na tume...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu akamatwa tena, polisi watoa ufafanuzi

SIKU moja baada ya polisi kumhakikishia Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema kuwa yupo huru na hakuna mpango wa kumkamata, hatimaye leo Jeshi...

Habari Mchanganyiko

ALAT kuhamia mkoani Dodoma mwezi ujao

JUMUIYA ya Tawala ya Mitaa (ALAT) Tanzania inatarajia kuhamia mkoani  Dodoma ifikapo tarehe 1 mwaka huu, ikiwa ni  sehemu ya kutekeleza agizo la Rais John...

Elimu

Vyuo 80 kushiriki maonesho ya elimu ya juu

VYUO takribani 80 vinatarajiwa kushiriki maonesho ya elimu ya juu, sayansi na teknolojia yanayotarajiwa kufanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es...

error: Content is protected !!