Saturday , 30 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Tundu Lissu afikishwa mahakamani Kisutu muda huu
Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu afikishwa mahakamani Kisutu muda huu

Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Singida, akiwasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu
Spread the love

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), baada ya kuwekwa mahabusu siku nne, hatimaye amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusomewa mashtaka yake yanayomkabiri, anaandika Hellen Sisya.

Lissu alikamatwa Alhamisi iliyopita Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dar es Salaam na kushikiriwa na jeshi la Polisi kwa mahojiani, leo asubuhi amefikiwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusomewa mashtaka yake ya uchochezi.

MwanaHALISI Online lipo mahakamani hapo, inaendelea kukujuza kinachotokea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Gari la Mbunge Ole Sendeka lashambuliwa kwa risasi

Spread the loveGARI la mbunge wa Simanjiro (CCM) mkoani Manyara, Christopher Ole...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

error: Content is protected !!