Wednesday , 8 May 2024

Month: November 2019

Habari za SiasaTangulizi

Taifa njia panda

UCHAFUZI uliofanywa na wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa, umelifikisha taifa njia panda. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kauli mbalimbali zinazoashiria kuharibika kwa uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Wazee ACT-Wazalendo: Tusilaumiane

SIKU moja baada ya Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazakendo kusema ‘tusilaumiane’, kauli hiyo imerejewa na wazee wa chama hicho. Anaripoti...

Habari za Siasa

Spika Ndugai azipiga stop AZAKI kujihusisha na siasa

JOB Ndugai, Spika wa Bunge amezitaka Asasi za Kiraia nchini (AZAKI) kufanya shughuli zao walizosajiliwa na kuachana na masuala ya siasa, kwani wenyewe...

Habari za Siasa

CUF wajitafakari kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitafanya kikao, kwa ajili ya kujadili ushiriki wake katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajia kufanyika tarehe 24...

Habari za Siasa

CHAUMMA nao wajiondoa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), kimetangaza kutoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).  Uamuzi huo umetangazwa leo tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe abanwa kizimbani, apangua hoja

FREEMAN Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, kuwa ametoa maelezo...

Habari za Siasa

Vyama 11 vyamjibu Zitto, vyaeleza walipo wagombea wake

VYAMA 11 visivyo na uwakilishi bungeni, vimeeleza mahali viliposimamisha wagombea wake, wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Maelezo...

Habari Mchanganyiko

Ummy Mwalimu mgeni rasmi, kampeni ya linda ardhi ya mwanamke

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Kampeni ya Linda ardhi...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo ‘wachomoa betri’

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amekiondoa chama hicho kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika tarehe 24 Novemba, 2019....

Afya

Jengeni tabia ya kupima presha ya macho – CCBRT

WATANZANIA wamewatakiwa kuwa na utaratibu wa kupima presha ya macho angalau mara moja kwa mwaka, pia kufika hospitali kupata matibabu ya macho kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe Kortini: Katika hili, namshangaa Rais Magufuli

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwamba anamshangaa Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama 11 kushiriki uchaguzi, Zitto ahoji walipo wagombea wao

VYAMA vya Siasa 11 visivyokuwa na uwakilishi bungeni, vimetangaza kushiriki uchaguzi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Vyama hivyo ni...

Habari za Siasa

Uhuru wa kisiasa: JPM atoa neno zito

RAIS John Magufuli, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) amesema, uhuru wa kisiasa hauna maana kama nchi za Afrika zitaendelea...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo kuifuata Chadema?

UKAKASI, hujuma na mbinu chafu zinazofanywa na wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa, zinaelekea kuvuruga maana ya uchaguzi huo. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wasusia Uchaguzi Serikali za Mitaa

KAMATI Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewaamuru wanachama, viongozi na wafuasi wake, kujiondoa katika mchakato wa uchaguzi wa serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole ‘awanyea’ wapinzani

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kinachowatesa vyama vya upinzani nchini ni uchaguzi kuugeuza sherehe badala ya kufuata...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema, ACT-Wazalendo waingia ‘mzigoni’

WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema, kikijifungia leo tarehe 7 Novemba 2019, kikijadili mikiki inayokumbana nayo kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa,...

Michezo

Baada ya Zahera, Yanga wavunja Kamati ya Mashindano

KAMATI ya Utendaji ya Klabu ya Yanga, imeivunja Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa...

Habari za Siasa

Huko twitter, Nape hapumui

NAPE Nnauye, Mbunge wa Mtama mkoani Lindi, mara kadhaa aandikapo kwenye ukuraswa wake wa twitter, ujumbe wake huzua mjadala na kurejelea kauli yake...

Habari za Siasa

Wizi wa kura 2015: Msigwa ‘amkomalia’ Spika Tulia

MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini ameanzisha upya mjadala wa wizi wa kura, wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

DC Mvomero awapa somo wavunaji misitu

MWALIMU Mohamed Utaly, Mkuu wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, amewataka wavunaji wa misitu, wabebaji na wauzaji wa mkaa kwenye pikipiki na fuso...

Habari za Siasa

Hujuma za uchaguzi zatua bungeni

HUJUMA zinazofanywa na wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa, zimetua bungeni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Baadhi ya wabunge leo tarehe 5 Novemba...

Habari za Siasa

Msajili aing’ang’ania Chadema 

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imetoa siku sita kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuwasilisha ratiba ya mkutano mkuu. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo yameharibika: CUF, Chadema, NCCR joto lapanda

MIKASA katika uchukuaji na urejeshaji fomu imetamalaki katika maeneo mbalimbali nchini, viongozi wa upinzani sasa wanaelekeza kilio cha kwa serikali. Anaripoti Regina Mkonde …...

Michezo

Zahera alia na Dk. Msolla, adai amemgeuka

MWINYI Zahera, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, ametoa hadharani siku moja baada ya kufutwa kazi katika klabu hiyo, na kudai kuwa Mwenyekiti wa...

Michezo

Hiki ndicho kilichomuondoa Kocha Mwinyi Zahera Yanga

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetangaza kuachana na kocha wake, Mwinyi Zahera baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hizi...

Habari Mchanganyiko

Sam Misago, Charles, Rwenyagira wamfuata Zembwela Wasafi Radio

KITUO cha Radio cha Wasafi kimezidi kuibomoa East Afrika Radio baada ya kuwang’oa watangazaji wengine watatu ambao wamejiunga na radio yao hivi karibuni....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yabisha hodi Ikulu 

KUSHAMIRI kwa vituko, ghiliba na mikasa ya kuogofya, kwenye zoezi la uchukuaji fomu za kugombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, kumeisukuma Chadema...

Habari za Siasa

Serikali: Mwaka 2015 – 19 tumeajiri watu 184,141

SERIKALI imesema, imeajiri watu 184141, kuanzia mwaka 2015 hadi 2019. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Takwimu hizo zimetolewa leo tarehe 5 Novemba 2019,...

Habari za Siasa

Maalim Seif awatia ‘ndimu’ Wazanzibari

MAALIM Seif Shariff Hamad, anaendelea kukaza ‘msuli’ dhamira yake ya kuichomoa Zanzibar katika mikono ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Jabir Idrisa, Zanzibar…(endelea). Mwansiasa...

Habari za Siasa

Utetezi wa Mbowe neno kwa neno Kisutu

NOVEMBA 4, 2019 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba akiongozwa na Wakili Peter Kibatala, Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema alianza...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Anglikana atuhumiwa kusafirisha meno ya Tembo

SHEKANDI Ashery Mkombola (44), Mchungaji wa Kanisa la Aglikana, lililopo katika Kijiji cha Chinyika, Mpwapwa jijini Dodoma, na watu wengine 21 wanatuhumiwa kukutwa...

Habari za Siasa

Posho za wenyeviti zazua mjadala bungeni

KIWANGO cha posho wanacholipwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa nchini, kimezua mjadala bungeni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mjadala huo ulianza baada ya Hassani...

Habari za SiasaTangulizi

Jibu la hekima la Prof. Assad

PROFESA Mussa Assad, aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), anatarajiwa kukabidhi ofisi leo tarehe 5 Novemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Ofisi ya CAG ni chafu

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ni chafu, hivyo  Charles Kichere nenda kaisafishe. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za Siasa

Kauli ya Prof. Assad baada ya utenguzi

UTEUZI wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), umefanyika huku, Prof. Mussa Assad akiwa hajui lolote. Anaripoti Regina Mkonde …...

Habari za Siasa

‘Uhuru wa kujieleza umeporomoka’ 

RIPOTI ya Shirika la Utafiti la Afrika Mashariki la Twaweza, inaonesha kwamba uhuru wa watu kujieleza, umeporomoka katika nchi za ukanda huo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba ya Jamhuri inasemaje kuhusu kuondolewa CAG?

RAIS John Magufuli amemteua Charles Kichere, kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi huo umetangazwa leo...

Habari za Siasa

Rais aagiza Kilombero, Ifakara kufanyiwa mabadiliko

RAIS John Magufuli amemuelekeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suleman Jafo kufanya mabadiliko kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Assad awekwa kando, Spika Ndugai kupumua?

PROFESA Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amewekwa kando na sasa Charles Kichere ameteuliwa kuchukua nafasi hiyo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Tweweza ladai kupokea vitisho

SHIRIKA lisilo la kiserikali linalojihusisha na utafiti  la Twaweza, limedai kuwa limelazimika kufuta mkutano wake na waandishi wa habari, uliolenga kutoa tathimini ya hali...

Habari Mchanganyiko

OSHA kuwafikia wajasiriamali katika mazingira hatarishi

WAKALA wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA) umesema uko katika mkakati wa kuwafikia wajasiriamali, wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi. Anaripoti Regina...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baraza la Habari: Wanahabari waachwe huru

BARAZA la Habari Tanzania (MCT), limeitaka serikali kuhakikisha wanahabari wanatekeleza majukumu yao kwa uhuru. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Wito huo umetolewa na...

Michezo

Gidabuday aweka wazi sababu ya ya kujiuzuru RT

ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Riadha Tanznia (RT), Wilhelim Gidabuday amejiuzuru nafasi yake kwenye shirikisho hilo baada ya kushaulina na kukubaliana na kamati...

Habari Mchanganyiko

Atakayewarudisha kwenye mapigano wakulima, wafugaji kukiona

SERIKALI wilayani Mvomero mkoani Morogoro imesema, itashughulikia mtu yeyote ambaye atathubutu kuwarejesha nyuma kwenye mapigano ya wakulima na wafugaji ambayo wameshayasahau. Anaripoti Christina...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yawaita viongozi wa dini, wastaafu kutuliza joto

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimewataka viongozi wa dini na viongozi wa serikali waliostaafu kukemea hujuma zinazojitokea katika uchaguzi Serikali za Mitaa kwani zinaweza kusababisha...

Habari Mchanganyiko

‘Utatu mtakatifu’ wa kupinga rushwa ya barabarani wazinduliwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na wadau mbalimbali wa kupinga rushwa nchini imezindua...

Habari Mchanganyiko

Ushirikiano wa EWURA, Wizara ya Madini waokoa Bil 121.6

EWURA kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati na Madini iliandaa Mfumo wa Uagizaji wa Pamoja (BPS) wa mafuta nchini, Utafiti wa UDSM, Aprili...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro aagiza aliyetishia kwa bastola, akamatwe

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro amesema kijana aliyefahamika kwa jina moja la Shaban, atakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo...

Habari Mchanganyiko

Idris atuhumiwa kuchapisha habari za uongo, kujifanya rais

BENEDICT Ishabakaki, Mwanasheria wa Idris Sultan, mshindi wa Shindano la Big Brother 2014, amesema mchekeshaji huyo anatuhumiwa kwa kosa la kusambaza habari za...

error: Content is protected !!